Kwa mahitaji ya nyumba, mashamba, viwanja vya aina zote, fremu, maofisi Dodoma iwe kupanga au kununua tafadhali wasiliana nami

Kwa mahitaji ya nyumba, mashamba, viwanja vya aina zote, fremu, maofisi Dodoma iwe kupanga au kununua tafadhali wasiliana nami

pale square meter moja ni elfu kumi. Hiyo heka kwa milioni tano utaitolea wapi?
Duh,uko wapi mkuu??eka moja ni 4000 square metre.kwa madai yako ni milioni 4 si ndio?kuna vigezo vingi vya ziada mkuu
 
Nahitaji eneo lililopimwa bajet yangu mil3 ila sikufichi mimi ni mwanajeshi ulinidhulumu utarud kuwahadithia humu yatakayokusibu. Natanguliza shukrani
Hahahaha mkuu mbona tambo za kizamani izo ata si tulishaziacha toka niko 824jkt kanembwa miaka iyo.nakuomba PM tuyajenge
 
Duh,uko wapi mkuu??eka moja ni 4000 square metre.kwa madai yako ni milioni 4 si ndio?kuna vigezo vingi vya ziada mkuu
Nimempa taarifa kuwa yeye anataka heka moja kwa 5mln pale mkalama area. nimempa taarifa kuwa mkalama walikuwa wanauza 1sqr meter kwa elfu kumi. je nimekosea wapi?
 
Nimempa taarifa kuwa yeye anataka heka moja kwa 5mln pale mkalama area. nimempa taarifa kuwa mkalama walikuwa wanauza 1sqr meter kwa elfu kumi. je nimekosea wapi?
Vizuri sana mkuu.
 
Habari zenu wakuu!
Naomba kuwashauri watu wote wanaotaka kuhamia dodoma na wana mpango wa kujenga na hawana viwanja kuwa muda wa kununua viwanja ni sasa endapo utachelewa basi gharama itakuwa kubwa zaidi.maeneo yapo mengi na mazuri kwa makazi,biashara na huduma zingine za kijamii kama vile shule,hospitali,n.k!!!kwa mfano mdogo kuna maeneo kama unaenda machinjion dodoma mjini yako bado wazi afu kuna makazi mengi sana jirani yake,na watu wanafata huduma za kijamii mbali.hakuna shule wala hospital jiran!!!nina eneo pia la ekari 5 maeneo ya mnadani kwa atakayehitaji naomba tuwasiliane.nauza milioni 5 kwa ekari moja(4000square metres) bei sawa na bure.karibuni sana muda ndio huu
Contact; 0767833496
Nawasilisha
sawa.
 
Habari zenu wakuu!
Naomba kuwashauri watu wote wanaotaka kuhamia dodoma na wana mpango wa kujenga na hawana viwanja kuwa muda wa kununua viwanja ni sasa endapo utachelewa basi gharama itakuwa kubwa zaidi.maeneo yapo mengi na mazuri kwa makazi,biashara na huduma zingine za kijamii kama vile shule,hospitali,n.k!!!kwa mfano mdogo kuna maeneo kama unaenda machinjion dodoma mjini yako bado wazi afu kuna makazi mengi sana jirani yake,na watu wanafata huduma za kijamii mbali.hakuna shule wala hospital jiran!!!nina eneo pia la ekari 5 maeneo ya mnadani kwa atakayehitaji naomba tuwasiliane.nauza milioni 5 kwa ekari moja(4000square metres) bei sawa na bure.karibuni sana muda ndio huu
Contact; 0767833496
Nawasilisha
Mimi nipo interested kununua ....ila nataka kufahamu background ya umiliki wako je ? ulinunua ama ulirirhishwa? na una docs
 
Utabaki ivo ivo mkuu darcity.utapata mrejesho kwa watakaonunua
Hapana mkuu, umenifurahisha style yako ulivyoanza kwa kichwa kinachovutia then nakuja realize unauza kiwanja. Natamani kununua na kuwekeza Dom ila nafasi imenibana
 
Back
Top Bottom