DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Atakwambia kingamuz na ac ndo vimeongeza Bei[emoji4]Kawadanganye wasioishi dar[emoji1]
Sijakataa kuna nyumba za bei hizo, ila vyumba 2 kwa laki 6 hapana..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakwambia kingamuz na ac ndo vimeongeza Bei[emoji4]Kawadanganye wasioishi dar[emoji1]
Sijakataa kuna nyumba za bei hizo, ila vyumba 2 kwa laki 6 hapana..
Nyumba hizi hazipo mbali na UDSM.....Sijui Goba iko wapi. Ni karibu na UDSM?
Natafuta apartment ya kisasa vyumba viwili self contained na full AC karibu na UDSM. Kama we ni dalali naomba tuwasiliane. Apartment iwe available kuanzia September 15, 2022. Naweza kulipa kwa mwaka mmoja au miwili...
Sijui Goba iko wapi. Ni karibu na UDSM?
Natafuta apartment ya kisasa vyumba viwili self contained na full AC karibu na UDSM. Kama we ni dalali naomba tuwasiliane. Apartment iwe available kuanzia September 15, 2022. Naweza kulipa kwa mwaka mmoja au miwili...
Chemba self na sebule bei gani?Wale wanaohitaji Nyumba, vyumba na viwanja maeneo ya Makongo juu na Goba, hapa ni mahali pake..... Utapata nyumba za aina zote Apartments na Stand alone zenye mazingira safi na Tulivu Kwa makazi kulingana na Offer yako....
Contact 0743941142
GobaMaeneo Gani unahitaji mkuu??
Unaweza tumia picha pm150k mpaka 120k inategemea na Mitaa!
Najua,lakini nilitaka makadirio tu ili nijipime ubavu.Viwanja vipo, bei inategemea Mitaa na ukubwa wa eneo.....
Mtu uwe na uwezo wa kulipa 500k per month kwanini usijenge nyumba yako tuHii ipo goba center, Ina 2 bedrooms zote master bedroom kubwaa, Sebule, Jiko, Store na Public toilet..... Umeme na Maji unajitegemea... Parking space ya kutosha... 500k per month 0743941142View attachment 2321143