House4Rent Kwa Mahitaji ya Nyumba, Vyumba na Viwanja karibu hapa

House4Rent Kwa Mahitaji ya Nyumba, Vyumba na Viwanja karibu hapa

HizoView attachment 2291710View attachment 2291711View attachment 2291712View attachment 2291713
IMG_20220706_102505_367.jpg
 
Apartment ipo makongo juu, vyumba viwili kimoja master bedroom, Sebule,Jiko la kisasa na Public toilet..... Nyumba Ina parking space kubwa sana, Umeme na Maji Dawasa na ni uhakika, umbali mchache kutoka Barabara kuu ya Lami. Terms za malipo ni kuanzia miezi 3 Kodi ni 500k per month. Contact me now 0743941142.
IMG_20220717_091606_703.jpg
IMG_20220717_090944_802.jpg
IMG_20220717_090633_533.jpg
IMG_20220717_090613_228.jpg
IMG_20220717_090516_754.jpg
IMG_20220717_090503_052.jpg
IMG_20220717_090454_286.jpg
 
Apartments Kali za kisasa zinapangishwa Goba Makongo juu road!
  • Vyumba viwili kimoja master bedroom
  • Sebule kubwa with Open kitchen
  • Store na Public toilet
  • Full Ac
  • Zote zimesetiwa Dish Dstv na Azam Tv
  • Parking space kubwa....
  • Fenced with electric wires...
  • Mtaa wenye Utulivu na good neighborhood...
  • Umbali wa metre 900 from Goba makongo juu Main road.
Asked Price 600k- 500k per month.
Contacts 0743941142 au 0717569086.
IMG_20220807_122303_838.jpg
IMG_20220807_122226_402.jpg
IMG_20220807_122132_117.jpg
IMG_20220807_122046_410.jpg
IMG_20220807_122027_300.jpg
 
Vyumba 2 kwa laki 6[emoji4], kisa hayo madish na AC ama?

Hata mjini nyumba aina hiyo hazifiki hiyo bei..
Kwa goba nyumba za kupanga sahivi kupata nyumba nzuri haipungui 500k!
Ukitaka za 250 au 300 chumba na sebule na choo utazikuta za kizaman uswahilini ambako hata parking hamna!

Kuna yule jamaa zeruzeru pale goba anapangisha hadi 1million apartment na watu wamejaa na hawataki kuhama!
 
Kwa goba nyumba za kupanga sahivi kupata nyumba nzuri haipungui 500k!
Ukitaka za 250 au 300 chumba na sebule na choo utazikuta za kizaman uswahilini ambako hata parking hamna!

Kuna yule jamaa zeruzeru pale goba anapangisha hadi 1million apartment na watu wamejaa na hawataki kuhama!
Kawadanganye wasioishi dar[emoji1]

Sijakataa kuna nyumba za bei hizo, ila vyumba 2 kwa laki 6 hapana..
 
Kawadanganye wasioishi dar[emoji1]

Sijakataa kuna nyumba za bei hizo, ila vyumba 2 kwa laki 6 hapana..
HUNA HELA wewe kaa pembeni! Na hujui lolote kuhusu soko la nyumba!

Narudia tena kwa maeneo ya Goba sahivi nyumba yenye hadhi apartment, parking, kitchen, pt, master room and roooms, fenced lazima 500k kwenda juu
Kama unataka ya 300k nitafte nikupangishie magwepande manzese iko ndani ya fence na maji na umeme
 
Apartments Kali za kisasa zinapangishwa Goba Makongo juu road!
  • Vyumba viwili kimoja master bedroom
  • Sebule kubwa with Open kitchen
  • Store na Public toilet
  • Full Ac
  • Zote zimesetiwa Dish Dstv na Azam Tv
  • Parking space kubwa....
  • Fenced with electric wires...
  • Mtaa wenye Utulivu na good neighborhood...
  • Umbali wa metre 900 from Goba makongo juu Main road.
Asked Price 600k- 500k per month.
Contacts 0743941142 au 0717569086.View attachment 2317593View attachment 2317594View attachment 2317595View attachment 2317596View attachment 2317597
Ingekuwa full furnished angalau. Lakini kwa hiyo bei bila furniture too expensive na huko goba siyo strategic area
 
Iko Mbweni Ubungo barabara ya Tanganyika, Opposite na Mbweni Teta High School, imepakana na eneo la Muhimbili Orthopedic Institute (MOI), ukubwa sqm 1000, vyumba vya kulala vitatu kimoja master, dinning room, kitchen, sitting room, public toilet na toilet ya nje Nyumba iko insured, inaanzia 300m maongezi yako wazi.... Contact 0743941142 au 0717569086

IMG-20220726-WA0010.jpg
 
Back
Top Bottom