House4Rent Kwa Mahitaji ya Nyumba, Vyumba na Viwanja karibu hapa

House4Rent Kwa Mahitaji ya Nyumba, Vyumba na Viwanja karibu hapa

Katika watu ambao kwa mawazo yangu, naona hawajielewi ni madalali.
Anaweza akakwambia bei ya nyumba hadi ukawaza, huyu ananiona mjinga au? Na japo hapo utakuta yeye Hana hata shs 10
 
Kuna boya hapo juu anakuambia "Goba nyenyenyeeee, bila laki 5 hupati nyumba"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yani vyumba 2 upangishe laki 6 kisa ma dish?
Mbona nyumba laki tatu unapata i ajitegemea kabisa.
 
Tufanye kiwanja ni mil 70, unataka kusema hiyo nyumba ni mil 230?? Mil 200 nakujengea ghorofa kali sana na chenji nakurudishia
No! Anaamaanisha kiwanja ni Milion 230! Na Ujenzi umegharimu Milion 70, Kama sikosei!!!
 
Lakini wewe una kasoro sometimes. nakufikiria kama mtu mzima mwenye busara za namna ya ku respond to such stimulus. Why harsh language? I guess such language is below your dignity as I can "zoom" you on this JF!
Bujibuji mkongwe jf lkn kuna wakati akili zake za kimafimafi😄
 
Mnalia sana mbona na mna hasira na jamaa 😂 😂 , kwani kawafanya nini? si kataja tuu bei yake au kuna kingine
 
Back
Top Bottom