Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa Dar mna vitukoKu date na mwanaume ambae umemzidi miaka 2 it’s very tough kwakweli, though he is so caring and showers me with love 🥰😘 ila naona ni watoto hawajawa matured.
Ugumu zaidi unakuja kwenye ku get intimate 😮💨 Yani Sijui unaonaje vile 😂😂😂😅😅 . Au it’s only my mentality Lol .
Ila wanajitahidigi kufanya big man things 😉
ila mkiwa umri mnalingana mawazo yanakuwa sawa.umri ni namba tu, mnabagua sana
akiwa na maokoto ya uhakika mtazamo unabadilika....ila mkiwa umri mnalingana mawazo yanakuwa sawa.
Mara nyingi, na heshima pia inapunguwa hasa kwa mwanamke
Anachukulia ata Nambia nini huyo Niko sawa nae.
Hapana aseee..!! Hapo hatu angalii umri tena Hahhhhakiwa na maokoto ya uhakika mtazamo unabadilika....
Weee nitake radhiShukuru Mungu jamaa kakusitiri tu..😁😁
😁😁😁Hamna winning yeyote Mzee unakua robot la ngono tusmashing older women is always a win
Mapenzi hayana formulaBila shaka utakuwa ngazi ya 3..
Mwanamke aliye serious na akili zake kamwe hawezi hata kuwa na mahusiano na mwanaume ambaye yuko nae sawa kiumri...
simaanishi kulelewa😅😁😁😁Hamna winning yeyote Mzee unakua robot la ngono tu
Na ukimkosa wa kukuzidi akapatikana agemateBinafsi siwezi bora anizidi yeye..
Ebu niache nipumue khaaaBaada ya Boss kuoa umeona ujitulize kwa kibaby boy
Maombi yako hayatanifika kamweUmetoka kuumizwa na boss,
Ujatulia vzur usharukia kibenteni,
Soon utapigwa na kitu kizito hutoamini[emoji4]
Huenda ndo kilifanya boss akalala mbele baada ya kugundua mafaili yanachanganywa kabatiniBaada ya Boss kuoa umeona ujitulize kwa kibaby boy
Kama ww zinavokusumbuaga mpaka unaandikaga thread zako za upuuziNyege tu zinakusumbua, ukitombwa utaacha kuandika andika ujinga
Me nashkuru sijakosa ninae amenizidi mbali sana,Na ukimkosa wa kukuzidi akapatikana agemate
Sio hata kulelewa, subir ukutane nayo awe na marafiki zake afu atake kuwaonesha unampenda sana🤣🤣Ndo utajua hujuisimaanishi kulelewa😅