ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 16,993
- 65,237
Itakuwa😂Huenda ndo kilifanya boss akalala mbele baada ya kugundua mafaili yanachanganywa kabatini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa😂Huenda ndo kilifanya boss akalala mbele baada ya kugundua mafaili yanachanganywa kabatini
Umejuaje mtoa mada ni dude...kama sio umbea, fitina na ushankupe.Muwe makini mtoa mada ni dume
Inaonekana hakuna mwanamke mgumu kuishi naye km ww. Hebu angalia hv vikingereza vyako vya kuchomekea.Ku date na mwanaume ambae umemzidi miaka 2 it’s very tough kwakweli, though he is so caring and showers me with love 🥰😘 ila naona ni watoto hawajawa matured.
Ugumu zaidi unakuja kwenye ku get intimate 😮💨 Yani Sijui unaonaje vile 😂😂😂😅😅 .
Au it’s only my mentality Lol.
Ila wanajitahidigi kufanya big man things 😉
Au ni wewe nini?Umejuaje mtoa mada ni dude...kama sio umbea, fitina na ushankupe.
Kwa hiyo wako kalegea wapi?Mapenzi hayana formula
Kuna wanaume wadogo ila wako smart na wanajitambua kuliko hao waliokomaa kila sehemu
Kweli kabisa nina experience na hii,..mko sawa,ila ana maokoto na anajua wajibu wake wee mbona unamwita baba😁akiwa na maokoto ya uhakika mtazamo unabadilika....
Jamani vigezo nane utasema ni ajira?Huwa unapata huyo Mtu mwenye hivyo vigezo nane?Me nashkuru sijakosa ninae amenizidi mbali sana,
Ila Nina vigezo vyangu vya kumkubali mtu vipo name (8) tu Age pia imo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umejuaje mtoa mada ni dude...kama sio umbea, fitina na ushankupe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli kabisa nina experience na hii,..mko sawa,ila ana maokoto na anajua wajibu wake wee mbona unamwita baba[emoji16]
🤣🤣🤣Dad this ,Dad that[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utawaweza hawa? Si Mpaka muianze hiyo safwari. Ukimfikisha halafu akampata mwengine anayemfikisha vizuri kuliko, wewe ni Fala tu!Cha msingi si anakufikisha safari zako.
Nishapata ninaeJamani vigezo nane utasema ni ajira?Huwa unapata huyo Mtu mwenye hivyo vigezo nane?
Hongera aiseee 😅Nishapata ninae