Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Shangazi Umeonewa Huruma Umeanza Kuwa Na Kiburi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliekudanganya ukitulia Ndio unaolewa nani😅 waliotulia wanazeeka tu kwao Alaf wale wanaojichanganya Ndio wanaolewaTulia uolewe sasa hizo mambo za kudate waachie vibinti vya kuanzia 2005
Kwakua unafumuliwa marinda unafikiri kila mtu anafanya, ila kwakua wewe ni strong and fearless mimi nitacheza na mtaro wako tu, yaani nakupigia Congo dust kabisaKama ww zinavokusumbuaga mpaka unaandikaga thread zako za upuuzi
Na ww ukifumuliwa marinda utaacha
😂😂😂😂 kwanza ngapi ya tatu Ndio nnUkifika ngazi ya tatu afu bado akili yako inawaza wishful flan za vijana wa 20-25yrs aiseee kusonga fowadi inakua kipengele sana
Kuna watu mna myiyo kweli yaani labda nisijuwe umri wake akinitajia tu,Mapenzi hayana formula
Kuna wanaume wadogo ila wako smart na wanajitambua kuliko hao waliokomaa kila sehemu
Sema kula maisha awe mkubwa awe mdogo we tanua tu Haya maisha ukiwa na misimamo utajinyima vingi na hamna Cha maana utafanya😂😂😂😂 kwanza ngapi ya tatu Ndio nn
Sasa hao Ndio agemates zangu kuliko watu waxima mwisho wa siku wanaenda kuoa mwanamke age go
Sitaki video call na wabibi, hatuoi whoresAliekudanganya ukitulia Ndio unaolewa nani😅 waliotulia wanazeeka tu kwao Alaf wale wanaojichanganya Ndio wanaolewa
On for the record mm Bado binti
Au nikupigie video call Ndio uone
Siku akipata size yake usizingue, u act kama mama mkweKu date na mwanaume ambae umemzidi miaka 2 it’s very tough kwakweli, though he is so caring and showers me with love 🥰😘 ila naona ni watoto hawajawa matured.
Ugumu zaidi unakuja kwenye ku get intimate 😮💨 Yani Sijui unaonaje vile 😂😂😂😅😅 . Au it’s only my mentality Lol .
Ila wanajitahidigi kufanya big man things 😉
Mwanamke aliye serious na akili zake kamwe hawezi hata kuwa na mahusiano na mwanaume ambaye yuko nae sawa kiumri...
[emoji16][emoji16][emoji16]akiwa na maokoto ya uhakika mtazamo unabadilika....
Na mm staki kuolewa na lizee la kupambana na maisha ya watuSitaki video call na wabibi, hatuoi whores
Age is a number tu, angalia namna mwanaume wako anavyoku treat,,ila mkiwa umri mnalingana mawazo yanakuwa sawa.
Mara nyingi, na heshima pia inapunguwa hasa kwa mwanamke
Anachukulia ata Nambia nini huyo Niko s1awa
Kama unamchanulia mapaja hovyohovyo huyo uliyemzidi miaka 2 haudeserve kuwa mke wangu au mwanamume yeyote anayejielewaNa mm staki kuolewa na lizee la kupambana na maisha ya watu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Na bado hana utulivu. Soma uzi wake btn lines.. hajapata bado wa kumfikia boss
Easy!Ebu niache nipumue khaaa
Nimemove on