Kwani akiwapa ndugu hawezi kutengeneza hiyo brand?Pale anasaidia kupitia kampuni ya WCB na pesa inatolewa na kampuni kama sehemu ya promo aka kujitangaza kwa kampuni yao. Pale wanatengeneza brand na kutengeneza brand kuna gharama sana na ni strategies za hali ya juu. Hapo ndio utaona tofauti ya WCB na makundi mengine wale wana strategies za kubaki juu kisanaa
kwani unadhani hawasaidii ndugu zake? Kile wanachofanya kwenye harusi kinaratibiwa na WCB na hata pesa utolewa na WCB ile ni mbinu ya kuwafanya waonyeshe kuwa juu kithamani na hivyo hata show zao wanachaji kwa bei ya juu kwa sababu ya vulue yao wanayojitengenezea mbele ya jamii. Huwezi kuelewa kirahisi hii marketing strategy kwa kuwa may be huna upeo ya haya masualaKwani akiwapa ndugu hawezi kutengeneza hiyo brand?
Kumbe romy jons ni ndugu yake Mond?japo hana ulazima.. ila ajifunze kwa bosi wake...
diamond kasaidia wengi sana ndugu zake kuanzia esma, queen darleen, rommy jones wazaz wake pia.. pale WCB asilimia kubwa ya wafanyakazi nje muziki ni anaowajua toka tandale...
so Harmonize nae akumbuke jamaa zake na ndugu
Yawezekana wewe ndo hujui kitu kuhusu family.... familia sio vyeo tu vya undugu, familia ni matendo for as long as hao waliokua nae katika downs na kumpa thamani kama ndugu wanasaidiana inatosha. Hata uwe dada au kaka wa damu for as long hukuwepo pale kwaajili yangu nilipokuhitaji na ulikua na uwezo usitegemee yakininyookea ntajitia kifua mbele kujihusisha na mambo yake.baba hayumo ?ina maana wazazi ni mama tu?shangazi?bibi?babu ?wadogo zake au kaka zake? si watu wa kusaidia hao?mkuu u know nothing about family!
Alitumwa na Diamond. Fuatilia vizuriKwa wanaowafahamu ndugu zake na Monde boy Mtwara harafu Dogo akifika Dar anagawa Pesa kwa wengine inaniuma sana hata kama siyo ndugu zangu! Ingefaa dogo aanze kuwasaidia ndugu zake kwanza wote watoke kimaisha, ndipo umwage pesa ovyo ovyo kuliko kufanya hivi wakati ndugu zake walio wengi tunaowafahamu bado wanapambana na hali zao kwa kulima mhogo huko Mtwara
Kwa watu wa mtwara mtaelewa ninachokisema na kukimaanisha hapa, tofauti na wanaume wa Dar
Wewe utakuwa mmoja wapo wa ndugu zake sasa unalilia na kulazimisha kusaidiwa!!!!Kwa wanaowafahamu ndugu zake na Monde boy Mtwara harafu Dogo akifika Dar anagawa Pesa kwa wengine inaniuma sana hata kama siyo ndugu zangu! Ingefaa dogo aanze kuwasaidia ndugu zake kwanza wote watoke kimaisha, ndipo umwage pesa ovyo ovyo kuliko kufanya hivi wakati ndugu zake walio wengi tunaowafahamu bado wanapambana na hali zao kwa kulima mhogo huko Mtwara
Kwa watu wa mtwara mtaelewa ninachokisema na kukimaanisha hapa, tofauti na wanaume wa Dar
Sidhani kama anawachukiaHapana Mkuu, siku zote Upendo wa Kweli huanzia Nyumbani.
swali nzuriMkuu ungeweka bayana ndugu gani wa huyo kijana wanashida, kabla hujapandikiza chuki kwa wachangiaji.
Ushauri mzuriHata we we hiyo buku 2 ya bando unayotumia kufuatilia maisha ya wenzio kwenye mitandao ingeweza kabisa kumlisha mlo wa siku nzima au kununua panadol kwa ndugu yako huko kijijini kwenu.. So acha ujinga ishi maisha yako na upambane na halo yako.. Period!
Vingi ya vinachofanywa kwenye sherehe za harusi hua ni planned.Kwa wanaowafahamu ndugu zake na Monde boy Mtwara harafu Dogo akifika Dar anagawa Pesa kwa wengine inaniuma sana hata kama siyo ndugu zangu! Ingefaa dogo aanze kuwasaidia ndugu zake kwanza wote watoke kimaisha, ndipo umwage pesa ovyo ovyo kuliko kufanya hivi wakati ndugu zake walio wengi tunaowafahamu bado wanapambana na hali zao kwa kulima mhogo huko Mtwara
Kwa watu wa mtwara mtaelewa ninachokisema na kukimaanisha hapa, tofauti na wanaume wa Dar
Mi nashauri badalaa ya kukaa Mjini anaimba imba tu Bora akawasaidie ndg zake kulima mihogo[emoji41]Kwa wanaowafahamu ndugu zake na Konde boy Mtwara halafu Dogo akifika Dar anagawa Pesa kwa wengine inaniuma sana hata kama siyo ndugu zangu! Ingefaa dogo aanze kuwasaidia ndugu zake kwanza wote watoke kimaisha, ndipo umwage pesa ovyo ovyo kuliko kufanya hivi wakati ndugu zake walio wengi tunaowafahamu bado wanapambana na hali zao kwa kulima mhogo huko Mtwara
Kwa watu wa Mtwara mtaelewa ninachokisema na kukimaanisha hapa, tofauti na wanaume wa Dar