Upembuzi Yakifu
Member
- Jul 21, 2013
- 13
- 13
Amini kwamba unaweza kua na kibarua cha kawaida tu ambacho kinakupa walau laki 6, 7 - 8 kwa mwezi na ukakosa mke. Wasi wasi ukiwa ni kipato hakitoshi.
Je mliofanikiwa hapa mlianza vipi?
Je mliofanikiwa hapa mlianza vipi?