Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu akijua ana majukumu na anategemewa huwa anapambana haswaa na pia anakuwa na tahadhari so anaheshimu kipato chake zaidNa je kuna uhusiano gani kati ya kuoa na kupata mafanikio baada ya kuoa?
Milioni kumi kwa mwezi ,awe na nyumba ya kisasa mtaa mzuri ,awe anamlipa mkewe million 2 kwa weekAmini kwamba unaweza kua na kibarua cha kawaida tu ambacho kinakupa walau laki 6, 7 - 8 kwa mwezi na ukakosa mke. Wasi wasi ukiwa ni kipato hakitoshi.
Je mliofanikiwa hapa mlianza vipi?
umetisha Ratio analysis inahusika hapo, no.3 inabeba vyoteMkuu budget hutofautiana kutokana na;
1. Makazi sijajua unaishi wapi kijijini, mjini, uswazi au ushuani.
2. Uko bachela au una familia yenye idadi ya watu wangapi.
3. Je, kama familia mnaproject au lengo gani la muhimu mnalotekeleza iwe ujenzi, ununuzi wa gari au biashara.
Inategemea, ndoa nyingine ni mabalaaNdoa baraka
Huu ni uzinifu. Usiharalishe dhambi. #kataa dhambi inaua mapemaMkuu huu ushauri wako nimeshaufanyia KAZI kitambo ,jamii forum nikisima cha maarifa,yes,kuoa kupo Tu ,huwezi ukaoa MTU anahela boss ww unakua mtumwa wake January Tu December,nabado haoni thamani yako,au anakukandia everywhere!!Kua nawatoto kunapunguza pressure zandoa zisizo na afyakwa muoaji,
Kunaongeza room yakutafakari kwakina kabla yakuingia ktk lifelong commitment ya marriage!