Kwa maisha ya kawaida ya Mtanzania, angalau awe na kipato cha shilingi ngapi kwa mwezi ndio aweze kuoa?

Kwa maisha ya kawaida ya Mtanzania, angalau awe na kipato cha shilingi ngapi kwa mwezi ndio aweze kuoa?

Mkuu budget hutofautiana kutokana na;
1. Makazi sijajua unaishi wapi kijijini, mjini, uswazi au ushuani.
2. Uko bachela au una familia yenye idadi ya watu wangapi.
3. Je, kama familia mnaproject au lengo gani la muhimu mnalotekeleza iwe ujenzi, ununuzi wa gari au biashara.
umetisha Ratio analysis inahusika hapo, no.3 inabeba vyote
 
Wengine walioa ndio wakafilisika na kuongea wenyewe barabarani na wengine wakavuka mpaka na kuokota makopo!

Kwa upande wa kipato Jitahidi ukidhi mahitaji ya familia mengineyo ni majaaliwa
 
Kuoa kunakuja na majukumu. Baada ya hapo utaitwa baba.Jitathmini kama unaweza kuimudu familia kwa chochote kitu maana mbali na mapenzi ndoa ni majukumu.
 
Mbona tulisha kubaliana humi kwamba wanaume tusioe...??
 
Muuza Genge - ana mke!
Konda - ana mke!
Kuli sokoni - ana mke
 
Wengine wameoa kwa mkopo maisha yanaendelea,Usifanye mambo kuwa magumu wakati hujajua ugumu wake.
 
Mkuu huu ushauri wako nimeshaufanyia KAZI kitambo ,jamii forum nikisima cha maarifa,yes,kuoa kupo Tu ,huwezi ukaoa MTU anahela boss ww unakua mtumwa wake January Tu December,nabado haoni thamani yako,au anakukandia everywhere!!Kua nawatoto kunapunguza pressure zandoa zisizo na afyakwa muoaji,

Kunaongeza room yakutafakari kwakina kabla yakuingia ktk lifelong commitment ya marriage!
Huu ni uzinifu. Usiharalishe dhambi. #kataa dhambi inaua mapema
 
Ukweli utabaki palepale ndoa nidaraja la kukuingiza kwenye majukumu. Jambo la kutia moyo ni kwamba baraka za maisha ni zawadi ya Mungu. Hivyo, usiogope kuoa kisa kipato bali ogopa kuoa ikiwa mind Yako haijawa tayari kubeba majukumu.
 
Back
Top Bottom