Kwa maisha ya kawaida ya Mtanzania, angalau awe na kipato cha shilingi ngapi kwa mwezi ndio aweze kuoa?

Kwa maisha ya kawaida ya Mtanzania, angalau awe na kipato cha shilingi ngapi kwa mwezi ndio aweze kuoa?

No money no marriage
At least uwe na kipato Cha 300k kwa mwezi na uwe nakichwa chaku scan icho kipato chako vizuri ili ujue namna yakukitumia .. vinginevyo utagombana na watu bure .. siyo kila kitu ni kwaajili ya kila mtu . Wengine pambaneni mpate watoto tu Kwanza na akina mwajuma then tafuteni pesa
Mkuu huu ushauri wako nimeshaufanyia KAZI kitambo ,jamii forum nikisima cha maarifa,yes,kuoa kupo Tu ,huwezi ukaoa MTU anahela boss ww unakua mtumwa wake January Tu December,nabado haoni thamani yako,au anakukandia everywhere!!Kua nawatoto kunapunguza pressure zandoa zisizo na afyakwa muoaji,

Kunaongeza room yakutafakari kwakina kabla yakuingia ktk lifelong commitment ya marriage!
 
Kuoa Ni kumuomba mungu tu akuwekee mkono wake.

Ukisubiri upate pesa ndio uoe, Unaweza ukafa na useja wako mpk unaingia kaburini.

Wengine pesa au Riziki wamezipata baada ya kuoa.

Unaweza ukawa unasubiri upate pesa ndipo uoe, kumbe Mungu anasubiri uoe ndipo akufungulie milango yako ya Neema…[emoji23][emoji23][emoji23]
 
No money no marriage

At least uwe na kipato Cha 300k kwa mwezi na uwe nakichwa chaku scan icho kipato chako vizuri ili ujue namna yakukitumia .. vinginevyo utagombana na watu bure .. siyo kila kitu ni kwaajili ya kila mtu . Wengine pambaneni mpate watoto tu Kwanza na akina mwajuma then tafuteni pesa NDOA IPO TU...

Ndoa zimewashinda adi kina billgate uko

Ndoa isiwe sababu ya wewe kuishi Kama mjusi (kupauka from January to December .)

NB: never risk your life for anyone..
Utatombewa tu kwa kipato hicho hiyo hata msela adiye na mke haimtoshi
 
Ukioa kupe a.k.a slay queen jiandae kutoa kilio chenye kamasi. Hata kama una kipato cha 3M kwa mwezi kamwe usidiriki kuoa mwanamke anayebinua makalio TikTok utakuja kujuta.

Mwanaume mwenye uhakika wa kuingiza fedha kiasi chochote ana uwezo wa kuwa na familia. Suala la kuoa ni utayari.
Mkuu, kipato chochote? Sasa hyo mahari utalipa na nn?
 
Kuoa Ni kumuomba mungu tu akuwekee mkono wake.

Ukisubiri upate pesa ndio uoe, Unaweza ukafa na useja wako mpk unaingia kaburini.

Wengine pesa au Riziki wamezipata baada ya kuoa.
Haswaaaaah.
 
Kuoa Ni kumuomba mungu tu akuwekee mkono wake.

Ukisubiri upate pesa ndio uoe, Unaweza ukafa na useja wako mpk unaingia kaburini.

Wengine pesa au Riziki wamezipata baada ya kuoa.
Ni kweli asee...kila kitu ni kumuomba Mungu akuinue, maana mmh
 
Mkuu huu ushauri wako nimeshaufanyia KAZI kitambo ,jamii forum nikisima cha maarifa,yes,kuoa kupo Tu ,huwezi ukaoa MTU anahela boss ww unakua mtumwa wake January Tu December,nabado haoni thamani yako,au anakukandia everywhere!!Kua nawatoto kunapunguza pressure zandoa zisizo na afyakwa muoaji,

Kunaongeza room yakutafakari kwakina kabla yakuingia ktk lifelong commitment ya marriage!
Kwahiyo ulienda kutafuta watoto kwanza?[emoji1787][emoji1787][emoji38]
 
Ukioa kupe a.k.a slay queen jiandae kutoa kilio chenye kamasi. Hata kama una kipato cha 3M kwa mwezi kamwe usidiriki kuoa mwanamke anayebinua makalio TikTok utakuja kujuta.

Mwanaume mwenye uhakika wa kuingiza fedha kiasi chochote ana uwezo wa kuwa na familia. Suala la kuoa ni utayari.
comment mrua sana hii

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom