Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huu ushauri wako nimeshaufanyia KAZI kitambo ,jamii forum nikisima cha maarifa,yes,kuoa kupo Tu ,huwezi ukaoa MTU anahela boss ww unakua mtumwa wake January Tu December,nabado haoni thamani yako,au anakukandia everywhere!!Kua nawatoto kunapunguza pressure zandoa zisizo na afyakwa muoaji,No money no marriage
At least uwe na kipato Cha 300k kwa mwezi na uwe nakichwa chaku scan icho kipato chako vizuri ili ujue namna yakukitumia .. vinginevyo utagombana na watu bure .. siyo kila kitu ni kwaajili ya kila mtu . Wengine pambaneni mpate watoto tu Kwanza na akina mwajuma then tafuteni pesa
Kwa hiyo tuoe au sioKuoa Ni kumuomba mungu tu akuwekee mkono wake.
Ukisubiri upate pesa ndio uoe, Unaweza ukafa na useja wako mpk unaingia kaburini.
Wengine pesa au Riziki wamezipata baada ya kuoa.
UMESHAAMBIWA USIOEAmini kwamba unaweza kua na kibarua cha kawaida tu ambacho kinakupa walau laki 6, 7 - 8 kwa mwezi na ukakosa mke. Wasi wasi ukiwa ni kipato hakitoshi.
Je mliofanikiwa hapa mlianza vipi?
Kuoa Ni kumuomba mungu tu akuwekee mkono wake.
Ukisubiri upate pesa ndio uoe, Unaweza ukafa na useja wako mpk unaingia kaburini.
Wengine pesa au Riziki wamezipata baada ya kuoa.
Utatombewa tu kwa kipato hicho hiyo hata msela adiye na mke haimtoshiNo money no marriage
At least uwe na kipato Cha 300k kwa mwezi na uwe nakichwa chaku scan icho kipato chako vizuri ili ujue namna yakukitumia .. vinginevyo utagombana na watu bure .. siyo kila kitu ni kwaajili ya kila mtu . Wengine pambaneni mpate watoto tu Kwanza na akina mwajuma then tafuteni pesa NDOA IPO TU...
Ndoa zimewashinda adi kina billgate uko
Ndoa isiwe sababu ya wewe kuishi Kama mjusi (kupauka from January to December .)
NB: never risk your life for anyone..
Mkuu, kipato chochote? Sasa hyo mahari utalipa na nn?Ukioa kupe a.k.a slay queen jiandae kutoa kilio chenye kamasi. Hata kama una kipato cha 3M kwa mwezi kamwe usidiriki kuoa mwanamke anayebinua makalio TikTok utakuja kujuta.
Mwanaume mwenye uhakika wa kuingiza fedha kiasi chochote ana uwezo wa kuwa na familia. Suala la kuoa ni utayari.
Haswaaaaah.Kuoa Ni kumuomba mungu tu akuwekee mkono wake.
Ukisubiri upate pesa ndio uoe, Unaweza ukafa na useja wako mpk unaingia kaburini.
Wengine pesa au Riziki wamezipata baada ya kuoa.
Ni kweli asee...kila kitu ni kumuomba Mungu akuinue, maana mmhKuoa Ni kumuomba mungu tu akuwekee mkono wake.
Ukisubiri upate pesa ndio uoe, Unaweza ukafa na useja wako mpk unaingia kaburini.
Wengine pesa au Riziki wamezipata baada ya kuoa.
Kwahiyo ulienda kutafuta watoto kwanza?[emoji1787][emoji1787][emoji38]Mkuu huu ushauri wako nimeshaufanyia KAZI kitambo ,jamii forum nikisima cha maarifa,yes,kuoa kupo Tu ,huwezi ukaoa MTU anahela boss ww unakua mtumwa wake January Tu December,nabado haoni thamani yako,au anakukandia everywhere!!Kua nawatoto kunapunguza pressure zandoa zisizo na afyakwa muoaji,
Kunaongeza room yakutafakari kwakina kabla yakuingia ktk lifelong commitment ya marriage!
Teh tehUtatombewa tu kwa kipato hicho hiyo hata msela adiye na mke haimtoshi
hakikaWewe oa tu mambo mengine mbele kwa mbele, hakuna aliyekufa kwa njaa,so far.
comment mrua sana hiiUkioa kupe a.k.a slay queen jiandae kutoa kilio chenye kamasi. Hata kama una kipato cha 3M kwa mwezi kamwe usidiriki kuoa mwanamke anayebinua makalio TikTok utakuja kujuta.
Mwanaume mwenye uhakika wa kuingiza fedha kiasi chochote ana uwezo wa kuwa na familia. Suala la kuoa ni utayari.
Kutombewa hata uwe na pesa unatombewa tu kwani hatuwaoni kitaaTeh teh