watoto wa mjini wanahitaji malezi serious sana vinginevyo ni hasara tupu mbeleni
nakua disappointed sana kuona blunders za uswahililini hasa kwa dar
kwa hawa watoto wakike ni ama wasome waje kua na kazi za maana
au waolewe na wanaume wanajielewe vinginevyo wapo kwenye risk ya kua hasara .
tupo kwenye generation ambayo imekosa ambition ya vitu vya maana manake ujingaujinga ndo unapewa promo.
mzazi kua mkali okoa kizazi
nakua disappointed sana kuona blunders za uswahililini hasa kwa dar
kwa hawa watoto wakike ni ama wasome waje kua na kazi za maana
au waolewe na wanaume wanajielewe vinginevyo wapo kwenye risk ya kua hasara .
tupo kwenye generation ambayo imekosa ambition ya vitu vya maana manake ujingaujinga ndo unapewa promo.
mzazi kua mkali okoa kizazi