Kwa Makala Hii ya Daraja la Kigamboni Mwanakijiji Kachemsha

Kwa Makala Hii ya Daraja la Kigamboni Mwanakijiji Kachemsha

1. kuliko reli? describe!
Reli gani?...
Of course kuna TZ-UG railway ambayo ishasainiwa, but please don't argue khusu Kigamboni bridge based on feasibility.
It's highly feasible and important.
 
Mkuu Wabe, nadhani hakuna ubaya tukithink 100years ahead!. Walalii wote sasa wataishia Tanzania, mimi Venice nimeiona kwenye picha tuu na ule ukanda wa mahoteli kule Rio, ndio Kigamboni its like a dream!.

Pasco ni nje ya mada lakini utaburudika
angalia interesting documentary ya exisiting version of Venice in africa. Inaitwa Makoko. iko Lagos.
 
Last edited by a moderator:
Waberoya, kabla ya kwenda mbali, hiyo makala ya Mwanakijiji uliyosoma kwenye gazeti la Mwanahalisi inafanana na hiyo niliyoweka hapo juu kutoka tovuti ya freemedia.co.tz? Vichwa vya hizo makala vinatofautiana?
 
Nimeisoma vyema hiyo makala ya MMM ,nakiri kuwa ina mapungufu kutokana na mtiririko wa habari zima.

Napata wasiwasi kuwa mwanzisha thread hii ana mwelekeo gani kimtazamo kuhusu MMM.Kinachojadiliwa kwenye thread hii kimekosa mwelekeo kutokana na ukweli kuwa mtoa mada ameonyesha wazi kuwa huwa hakubaliani na MMM.
Binadamu ana hulka ya kutafuta makosa kwa adui yake ili aweze kumshambulia kuuonyesha uma kuwa kwa nini yeye hakubaliani /anapingana na adui yake. Mtazamo wangu ni kwamba watanzania ni washabiki wa mambo hata kama hayafai kushabikia.
 
Waberoya, kabla ya kwenda mbali, hiyo makala ya Mwanakijiji uliyosoma kwenye gazeti la Mwanahalisi inafanana na hiyo niliyoweka hapo juu kutoka tovuti ya freemedia.co.tz? Vichwa vya hizo makala vinatofautiana?

Ndio hapa tunapooona umhumu wa kutazana shilingi kwa pande mbili. Kwa analysys ya weberoya niliona kabisa Mwanakijiji kachemka wa 90%. Lakini hiyo makala uliyoweka kama ndiyo yenyewe mchemko sio mkubwa kivile
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Lol Topical japo mimi si mwanakijiji ebu tufafanulie U
Unatakiwa uwe Pro nani ili usiwe na maradhi makubwa au usiwe na maradhi kabisa. Au unatakiwa uwe against nani ili dunia ikuone mzima na utende haki.

otheriwise kila mtu na upande una maradhi yake makubwa kinachobaki ni yepi yenye hoja

Tatizo kigezo cha kupima hoja! mkuu..

Mimi namuona ni mgonjwa fulani kuwa pro-nyerereism (or anything else) hadi unatia kichefuchefu..
 
Makala original ni hiyo ya Tanzania Daima. Sikutuna makala nyingine Mwanahalisi.

Asante kwa clarification. Labda Mkuu Waberoya atupe ufafanuzi zaidi juu ya hiyo makala aliyoisoma kwenye gazeti la Mwanahalisi titled: "Daraja la Kigamboni na Utakaso wa Magufuli". Inawezekana Mwanahalisi wame republish hiyo makala halafu waka-spin title?
 
Tatizo kigezo cha kupima hoja! mkuu..

Mimi namuona ni mgonjwa fulani kuwa pro-nyerereism (or anything else) hadi unatia kichefuchefu..

Lol topical inawezekana kweli lakini vile vile kuna watu vile vie kila kibaya na baya lililopiata na linaoendelea kuipata tazania basi nyerere ana share yake.

kumbe hapa najifunza kwako kuwa inabidi tuwe watu wa KIASI. Au Kwa mpinga nyerere yeyote basi hakuwezi kuwa na kichefu chefu.

Anyway tusichakachue mada Tusibiri Real "venice" version of africa in Kigamboni.
 
... article nzuri sana...[SUP]in my opinion![/SUP]
 
Pasco ni nje ya mada lakini utaburudika
angalia interesting documentary ya exisiting version of Venice in africa. Inaitwa Makoko. iko Lagos.

Asante. Wazungu wametengeneza simulator ya hiyo Kigamboni new city kwenye DVD pack of 6 wanaiuza TZS 300,000. Ukiangalia utashindwa kuamini!. Nimetembelea nchi za watu, hazifikii!.
 
Last edited by a moderator:
Kuna ubaya sana mkuu! hizo nyumba zikijengwa leo miaka 100 ijayo hazitafurahishahata spanlife ya concrete structures in 30 yrs to 120 yrs!! tulitakiwa kuweka base fulani ya maisha na uchumi.....baada ya hapo tunaanza kupaa kama DUBAI, ambayo sasa inaongoza duniani kwa boom in construction, architects zake are best worldwide, technology is admirable...........hizo dream structures are similar to what it is in NY now!! aren't they?
Tafuta hizo 6 DVD utaona simulator itakuwa kama Doha!.
 
Umemchimba mwenzio wakati we unashindwa kutofautisha kati ya neno MAKALA na NAKALA!
Hayo maneno umeyavuruga kwenye uzi huu hadi umeboa na wewe.
 
Nakala hii imeandika mambo ambayo kwangu mimi sijaona uhusiano wa kichwa cha habari na habari yenyewe
Nakala haina connection wala mtiririko wa mtu ambaye alikaa chini na kuandika kitu fulani ambacho ni interesting hasa wale wenye njaa ya ubongo!

Nakala inasema kuwa Nyerere ndiyo source ya hilo daraja na Magufuli anataka tuone eti ni Kikwete!! sijajua wai alisema ionekane hivyo, wakati tunajua hata kipindi cha mkapa lilizungumziwa sana!

Kaandika kuwa Magufuli si kiongozi na ya kuwa serikali yake imeoza so hana jipya na hataweza lolote kwani serikali yake yote ni mbovu, magufuli ni mtupu tu!

Kuwa Magufuli hana msimamo wala haeleweki kuwa anasimamia wapi kuhusu scandals za EPA,richmond...anataka magufuli apige kelele kama sita na mwakyembe watu ambao sijui labda yeye anaamini ni wapiganaji!

Anasema kuwa magufuli anatakiwa aombe radhi kwa kuuza nyumba za serikali!, kana kwamba ulikuwa uamuzi wa magufuli tu!


Ukiisoma inaonekana aidha huyu mzee ana gubu fulani, ana hasira ambayo haiko wazi, ni nakala ambayo siyo ya GT hasa kama yeye!

Hivi ukijua Magufuli anapinga au hapingi issues za EPA so what? hao wanaopinga wamefikia wapi mpaka sasa? lets be realistic, ukipinga ufisadi na unapewa uwaziri kwenye serikali ambayo inaongozwa na mtuhumiwa namba moja unapinga ufisadi kweli?????

Hivi MMKJJ unatuaminisha kuwa uuzaji wa nyumba za serikali ni uamuzi wa magufuli na sio wa baraza la mawaziri,pia je, uuzwaji huo wa nyumba za mawaziri sababu hasa ilikuwa ni nini? sometime we tend to think we know too much!!

wangapi wameomba msamaha kwa kulikosea hili taifa, magufuli asipoomba utamfanya nini??

Unasema magufuli sio kiongozi??really??? kipimo gani cha uongozi ulichonacho ambacho wengine wanavyo ndani ya CCM ila magufuli hana??


wakati mwingine tunataka kujionyesha kwa jamii, tunapinga kila kitu, tunawaza sana, tuna akili mno, ni wazalendo sana, na tunampenda Nyerere mno...ila mara nyingi tunaharibu na hatuwi sahihi



Hivi ni lazima uandike nakala kama huna cha kuandika???

Your article was so boring !!!! where is real you???
Ninasimamia kila neno ka kwenye kila sentesi iliyoko kwenye original article ya Tanzania Daima. Kuna madai yanayodai ukweli na kuna maoni. Kwenye maoni niko tayari kushawishiwa vinginevyo kwenye yake yanayodai ukweli nitafurahi wakosoaji waoneshe makosa ni yapi. Kwa personal innuendoes and cheap stupid persona attacks well I can handle any and from anybody. Watu hawafungi safari kwenda kupanda vilima bali milima.
 
Asante. Wazungu wametengeneza simulator ya hiyo Kigamboni new city kwenye DVD pack of 6 wanaiuza TZS 300,000. Ukiangalia utashindwa kuamini!. Nimetembelea nchi za watu, hazifikii!.

Unaelewa maana ya simulation ya a city wide building design project?
 
Makala original ni hiyo ya Tanzania Daima. Sikutuna makala nyingine Mwanahalisi.
Asante kwa clarification. Labda Mkuu Waberoya atupe ufafanuzi zaidi juu ya hiyo makala aliyoisoma kwenye gazeti la Mwanahalisi titled: "Daraja la Kigamboni na Utakaso wa Magufuli". Inawezekana Mwanahalisi wame republish hiyo makala halafu waka-spin title?
......
 
Last edited by a moderator:
Asante. Wazungu wametengeneza simulator ya hiyo Kigamboni new city kwenye DVD pack of 6 wanaiuza TZS 300,000. Ukiangalia utashindwa kuamini!. Nimetembelea nchi za watu, hazifikii!.

Kwa mahesabu ya haraka haraka, DVD moja ya kawaida ina jumla 4.37 GB. Kama hiyo stimulation imekuwa recorded in HD video tutakuwa tunaongelea masaa mawili ya video stimulation per DVD x 6 DVDs = 12 hours of video simulation for the design project. Kama recording ni long-play mode (low resolution) video tutakuwa tunaongelea about 20 hours of video stimulation per a DVD x 6 DVDs = 120 hours of video stimulation.
 
Labda kati ya hizo DVDs mojawapo ni hii?

waandishi wa habari wa Bongo kwa kujipa mamlaka ya vitu wasivyo ujuvi navyo si wadogo!

Hawa si ndo waliowalisha Watanzania kasa aitwae "Kikombe cha Babu" hawa?
 
Back
Top Bottom