Kwa Makala Hii ya Daraja la Kigamboni Mwanakijiji Kachemsha

1. kuliko reli? describe!
Reli gani?...
Of course kuna TZ-UG railway ambayo ishasainiwa, but please don't argue khusu Kigamboni bridge based on feasibility.
It's highly feasible and important.
 
Mkuu Wabe, nadhani hakuna ubaya tukithink 100years ahead!. Walalii wote sasa wataishia Tanzania, mimi Venice nimeiona kwenye picha tuu na ule ukanda wa mahoteli kule Rio, ndio Kigamboni its like a dream!.

Pasco ni nje ya mada lakini utaburudika
angalia interesting documentary ya exisiting version of Venice in africa. Inaitwa Makoko. iko Lagos.
 
Last edited by a moderator:
Waberoya, kabla ya kwenda mbali, hiyo makala ya Mwanakijiji uliyosoma kwenye gazeti la Mwanahalisi inafanana na hiyo niliyoweka hapo juu kutoka tovuti ya freemedia.co.tz? Vichwa vya hizo makala vinatofautiana?
 
Nimeisoma vyema hiyo makala ya MMM ,nakiri kuwa ina mapungufu kutokana na mtiririko wa habari zima.

Napata wasiwasi kuwa mwanzisha thread hii ana mwelekeo gani kimtazamo kuhusu MMM.Kinachojadiliwa kwenye thread hii kimekosa mwelekeo kutokana na ukweli kuwa mtoa mada ameonyesha wazi kuwa huwa hakubaliani na MMM.
Binadamu ana hulka ya kutafuta makosa kwa adui yake ili aweze kumshambulia kuuonyesha uma kuwa kwa nini yeye hakubaliani /anapingana na adui yake. Mtazamo wangu ni kwamba watanzania ni washabiki wa mambo hata kama hayafai kushabikia.
 
Waberoya, kabla ya kwenda mbali, hiyo makala ya Mwanakijiji uliyosoma kwenye gazeti la Mwanahalisi inafanana na hiyo niliyoweka hapo juu kutoka tovuti ya freemedia.co.tz? Vichwa vya hizo makala vinatofautiana?

Ndio hapa tunapooona umhumu wa kutazana shilingi kwa pande mbili. Kwa analysys ya weberoya niliona kabisa Mwanakijiji kachemka wa 90%. Lakini hiyo makala uliyoweka kama ndiyo yenyewe mchemko sio mkubwa kivile
 
Reactions: EMT

Tatizo kigezo cha kupima hoja! mkuu..

Mimi namuona ni mgonjwa fulani kuwa pro-nyerereism (or anything else) hadi unatia kichefuchefu..
 
Makala original ni hiyo ya Tanzania Daima. Sikutuna makala nyingine Mwanahalisi.

Asante kwa clarification. Labda Mkuu Waberoya atupe ufafanuzi zaidi juu ya hiyo makala aliyoisoma kwenye gazeti la Mwanahalisi titled: "Daraja la Kigamboni na Utakaso wa Magufuli". Inawezekana Mwanahalisi wame republish hiyo makala halafu waka-spin title?
 
Tatizo kigezo cha kupima hoja! mkuu..

Mimi namuona ni mgonjwa fulani kuwa pro-nyerereism (or anything else) hadi unatia kichefuchefu..

Lol topical inawezekana kweli lakini vile vile kuna watu vile vie kila kibaya na baya lililopiata na linaoendelea kuipata tazania basi nyerere ana share yake.

kumbe hapa najifunza kwako kuwa inabidi tuwe watu wa KIASI. Au Kwa mpinga nyerere yeyote basi hakuwezi kuwa na kichefu chefu.

Anyway tusichakachue mada Tusibiri Real "venice" version of africa in Kigamboni.
 
... article nzuri sana...[SUP]in my opinion![/SUP]
 
Pasco ni nje ya mada lakini utaburudika
angalia interesting documentary ya exisiting version of Venice in africa. Inaitwa Makoko. iko Lagos.
Asante. Wazungu wametengeneza simulator ya hiyo Kigamboni new city kwenye DVD pack of 6 wanaiuza TZS 300,000. Ukiangalia utashindwa kuamini!. Nimetembelea nchi za watu, hazifikii!.
 
Last edited by a moderator:
Tafuta hizo 6 DVD utaona simulator itakuwa kama Doha!.
 
Umemchimba mwenzio wakati we unashindwa kutofautisha kati ya neno MAKALA na NAKALA!
Hayo maneno umeyavuruga kwenye uzi huu hadi umeboa na wewe.
 
Ninasimamia kila neno ka kwenye kila sentesi iliyoko kwenye original article ya Tanzania Daima. Kuna madai yanayodai ukweli na kuna maoni. Kwenye maoni niko tayari kushawishiwa vinginevyo kwenye yake yanayodai ukweli nitafurahi wakosoaji waoneshe makosa ni yapi. Kwa personal innuendoes and cheap stupid persona attacks well I can handle any and from anybody. Watu hawafungi safari kwenda kupanda vilima bali milima.
 
Asante. Wazungu wametengeneza simulator ya hiyo Kigamboni new city kwenye DVD pack of 6 wanaiuza TZS 300,000. Ukiangalia utashindwa kuamini!. Nimetembelea nchi za watu, hazifikii!.

Unaelewa maana ya simulation ya a city wide building design project?
 
Makala original ni hiyo ya Tanzania Daima. Sikutuna makala nyingine Mwanahalisi.
......
 
Last edited by a moderator:
Asante. Wazungu wametengeneza simulator ya hiyo Kigamboni new city kwenye DVD pack of 6 wanaiuza TZS 300,000. Ukiangalia utashindwa kuamini!. Nimetembelea nchi za watu, hazifikii!.

Kwa mahesabu ya haraka haraka, DVD moja ya kawaida ina jumla 4.37 GB. Kama hiyo stimulation imekuwa recorded in HD video tutakuwa tunaongelea masaa mawili ya video stimulation per DVD x 6 DVDs = 12 hours of video simulation for the design project. Kama recording ni long-play mode (low resolution) video tutakuwa tunaongelea about 20 hours of video stimulation per a DVD x 6 DVDs = 120 hours of video stimulation.
 
Labda kati ya hizo DVDs mojawapo ni hii?

waandishi wa habari wa Bongo kwa kujipa mamlaka ya vitu wasivyo ujuvi navyo si wadogo!

Hawa si ndo waliowalisha Watanzania kasa aitwae "Kikombe cha Babu" hawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…