Uchaguzi 2020 Kwa mambo haya 10, mimi kama Mtumishi wa Umma (mwalimu), John Pombe Magufuli sikupi kura yangu asilani

siyo walimu tu. wakulima wa korosho, pamba, kahawa, wote wanalia. dawa ni moja.................... Wafanya biashara, wanafunzi waliomaliza vyuo bila ajira......
Nasema hivi!! tunajambo letu 28!!
 
Kura yangu kwa Magufuli, nina imani na yeye.

sent from HUAWEI
 
JPM kura ya mtumishi ambayo atapata labda ni ya Katibu Mkuu kiongozi tu,Balozi Kijazi.
πŸ˜€πŸ˜€βœŒοΈβœŒοΈβœŒοΈβœŒοΈπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€βœŒοΈβœŒοΈβœŒοΈβœŒοΈ
 
Najilaum sana kuipigia kura fisiemu 2015 saizi kura yangu inaenda chadema awe diwani simjui ,awe mbunge mdee rais ni lisu hii ndio kura yangu mmetutesa sana Ila muda wetu wa kuwatesa ni 28/10 saizi Niko tayari kufa sina Ila nitetee kura yangu
πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘βœŒοΈβœŒοΈβœŒοΈπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Wewe ni mwalimu au ni UVCCM tu uliyejivika koti la ualimu? Kama kweli wewe ni mwalimu, tuwekee check namba yako hapa ili tukuamini.
 
Wewe ni mwalimu au ni UVCCM tu uliyejivika koti la ualimu? Kama kweli wewe ni mwalimu, tuwekee check namba yako hapa ili tukuamini.
Nikuwekee check number yangu ya nini kama huamini endelea kuamini falsafa za kinyumbu kwamba ujenzi wa miundombinu, ununuzi wa ndege, ujenzi wa hospitali, vituo vya afya na zahati havina manufaa kwa watu.
 
Mimi naunga mkono hoja yako, maana katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inasema kuwa hakuna mtu aliye juu ya sheria, lakini mambo yanavyokwenda hakuna haja ya kuuliza kuwa eti kuna mtu yupo juu ya sheria, maana kutomuongezea mtumishi mshahara hii tayari ni majibu tosha kuwa katiba ya nchi watu wameikalia.
 
siyo walimu tu. wakulima wa korosho, pamba, kahawa, wote wanalia. dawa ni moja.................... Wafanya biashara, wanafunzi waliomaliza vyuo bila ajira......
Wakulima wa korosho wamefanywa nini na wafanyabiashara na kikao kikaitishwa na Rais alafu ikawaje. Nasubiri Jibu.
 
hahahaaa ndio umejitahidiiii kuorodhesha...kwani kama hizo zote ni kero sasa si uache hiyo kazi uje huku kitaa uone kama hujarudi faster? Wewe ukiona kazi mbaya na haina maslahi kwako achana nayo. Hivi unajua kuna kina mama mtaani wanatembeza mboga na mtoto mgongoni na jua kali na faida kwa siku haifiki hata buku 3? Leo wewe nyau unalilia hela ya likizo kwani ulipoomba kazi kazi hukujua utatakiwa kurudi kwenu? Acha kazi kama mbaya.
 
Wapo walimu kibao watampigia wanaipenda CCM na JPM wewe kura yako moja haitabadili kitu!
Hao Walimu wanaipenda Ccm kwa yapi kama kweli amewanyima stahiki zao namna hiyo? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
ndio maana hatampa kura magu
 
Kama kweli we ni mwalimu,hakika wanetu wana hasara.
Mwalimu usiejua tofauti ya
Dhalilisha na zalilisha!!

Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…