Kwa mambo haya acha vijana wa sasa wadharau Mila za Wazazi na Wazee wao

Si mwehu huyo. Hana ajuacho alafu anajiita TAIKUN wa Fasihi. Wao wameiga utamaduni qa kimagharibi ikiwe.o kushikishwa ukuta.

Ndio nikakuuliza swali dogo tuu. Wewe kuiga jina la kizungu Jimmy unataka Watu huku tukutambue kama mshikishwa ukuta? Naona unarukaruka.
 
Hayo unayoyasema na kuyaponda ndiyo yamekufanya uonekane ulivyo hii Leo....

Huenda wewe umezaliwa kwa mama akiwa mke wa 3 wa baba yako....

Hakuna ukoo au jumuiya isiyokuwa na miiko na taratibu zinazoi guide hiyo Jamii kuishi...

Kusoma kwako Digrii hiyo kusikufanye ukaidharau miiko ya jamii iliyokulea...
 
Ukute mama na baba yako wamezaliwa kwenye Mitala alafu wewe unakuja kutuambia ya kwamba Mitala ni mila potofu.

Tatizo lenu vijana wa siku hizi mna uzungu mwingi. Mimi kama nina uwezo wa kuoa wake 6 na nikawalidhisha na nikawahudumia vizuri. Tatizo liko wapi?

Hao wanaowapangia wao ni mashoga, wanaowapangia muwe na mke mmoja ili na wao wapate wa kuwasugua.

Kama una nguvu oa hata 10. Hacha kutetea upumbavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…