Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Swali nzurikimisingi ipi?...ajira au kutamkika mdomoni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali nzurikimisingi ipi?...ajira au kutamkika mdomoni?
Mech eng vip mkubwa!! Au nayo ni shida kwa kaz hapa TanzaniaHiyo Petrolium Engineering kimeo waliongia kichwa kichwa wanajuta...kazi zipo za kuvizia
Biomedical Engineering haina inshu kama inavyopambwa na watu wameshaanza kujaa na kwa Watanzania utaishia kuwa fundi wa maintenance ya vifaa vya kawaida tu vya hospital,Radiology equipment zikizingua mpaka atoke fundi nje ya nchi Biotechnology sio kwa nchi hii kazi zake ni chache sana
Computer engineering inapigwa bao na Software engineering...Tanzania sasa hivi inahitaji watu wa software kuliko wa hardware
Hiyo haina taabu kwa nnchi hii,, zipo tuuMech eng vip mkubwa!! Au nayo ni shida kwa kaz hapa Tanzania
Huyo anachopinga et Marine transportation haiusiani na uchumi.Sijaelewa mantiki ya unachopinga
mtoa mada ameandika program ya maritime transportation kwa aliesoma economics ni nzuri
Unachopinga ni nin?kwamba aliesoma economics hawezi kusoma maritime transportation?
Edit hapo kwenye attachI doubt the ability to critic of most members on this platform.
Only few people read the topic and share their views relative to the context.
Mleta mada amesema kwa maoni yake "He listed the top 5 courses in Tanzania":
Now see how people attach him instead of giving their opinion.
Open your brains before you open your mouth.
Thank you.
Ngoja bi faizafoxy aje kusoma comment yakoElimu ya bongo hainaga fomyula nilikua vizuri tu kwene pisibii mwisho wa siku nimekua muwasibu.
Thank you.Edit hapo kwenye attach
Tatizo bado una mawazo ya kuangalia bongo tu!Hiyo Petrolium Engineering kimeo waliongia kichwa kichwa wanajuta...kazi zipo za kuvizia
Biomedical Engineering haina inshu kama inavyopambwa na watu wameshaanza kujaa na kwa Watanzania utaishia kuwa fundi wa maintenance ya vifaa vya kawaida tu vya hospital,Radiology equipment zikizingua mpaka atoke fundi nje ya nchi Biotechnology sio kwa nchi hii kazi zake ni chache sana
Computer engineering inapigwa bao na Software engineering...Tanzania sasa hivi inahitaji watu wa software kuliko wa hardware
Hii kamba mkuu ivi unajua hii course ni mpya asee sasa before hapo hizo hospital equipments zilikuwa zinafanyiwaje analysis na maintenance kwa tarifa tu ni kuwa Hospital Nyingi zinategemea mafundi wq Electronic na UmemeTatizo bado una mawazo ya kuangalia bongo tu!
Biomedical engineering ni kiboko!
Wataalamu wake ni adimu na hawakubali kuajiriwa! Akifanya kazi kwa wiki moja KIPATO chake ni zaidi ya mshahara wa daktari wa mwaka mzima!
Una akili sana.Hizo ni fitina, mbona umeshau walimu waliosomea Mathematics, Physics, Chemistry, Biology kama umeegemea kwenye sayansi. Bila hao walimu unafikili ungegraduate hizo kozi.
Utakuwa injinia wewe. Kiingereza kibayaaa.bloodful kabisa fungi wew unaona kwenye post ka type what and u you type what makinikia mna tabu sana