Kwa 'Mapungufu' haya ya 'Kimsingi' kati ya Makamu Mwenyekiti wa Yanga Mwakalebela na Mhamasishaji Nugaz bado tu tukisema Yanga kuna 'Shida' mtabisha?

Kwa 'Mapungufu' haya ya 'Kimsingi' kati ya Makamu Mwenyekiti wa Yanga Mwakalebela na Mhamasishaji Nugaz bado tu tukisema Yanga kuna 'Shida' mtabisha?

Wanajiita Mabingwa Wa Kombe Ambalo Sijawahi Kusikia Linachezwa Wapi, Lini, Sangapi, Dhidi Ya Timu Zipi? {kihistoria} Au Wanacheza Saa 8 Za Usiku Kule Kaunda Graves De Gsm Stadium? Washiriki
Ni Vyura Fc
Manyan Fc
Mbwambwa Fc
Konokono Fc
Kobe Fc
Kaa Fc
Minyoo Fc
Chambo Fc
Mumi Fc
Ndoana Fc
Kenge Fc
Wote Hawa Kutoka Kaunda Bwawani, Sasa Hapo Lazima Waendelee Kutetea Taji Lao La Kihistoria.
Mnyero fc
 
Kwenye kiswahili hakuna neno mapungufu,ni upungufu,neno hilo halina uwingi,likiwa moja ni upungufu na yakiwa mengi ni upungufu

Sasa kama ni 'Nguli' hivi wa Kiswahili kwanini hujawa Mkuu wa BAKITA au hujawa Mkufunzi wa Kiswahili Chuo Kikuu chochote hapa nchini Kwetu?
 
Manara, wewe na nduguyo okwi boban Sunzu kwa siku uzi kuhusu yanga
 
Tabia za wanawake Malaya nikufuatilia wanaume was watu!! Nao una elelment za kufuatilia wanaume wa watu ngoja siku ya mwananchi tukutafutie kidume kitakachokuweza uache kiherere na yasiyokuhusu😂😂
 
Mnyero+umbumbumbu=tak moko
Matako Juu FC katika ubora wenu. Watoto wanajua kubong'oa duh!
FB_IMG_1586931024261.jpg
 
Back
Top Bottom