Kwa mara nyingine leo hili jambo limenifanya nijisikie vibaya sana moyoni

Kuwaonea huruma wengine ni viwango vya juu zaiidi vya kiutu
 
Umasikini ni kitu cha hovyo sana.

Watu hata kwenda beach weekend tunavunga tukifikiria mfumo wa usafiri,mwendokasi tukadhani ni mwarobaini ila kwa yanayoendelea kimara stop yanakatisha tamaa.
 
Umasikini ni kitu cha hovyo sana.

Watu hata kwenda beach weekend tunavunga tukifikiria mfumo wa usafiri,mwendokasi tukadhani ni mwarobaini ila kwa yanayoendelea kimara stop yanakatisha tamaa.
Kabisaa chief..
 
Gari kwa DSM ni hitaji la msingi.
Hasa kwa Wenye familia.

Baba+Mama + watoto kwenye Daladala kwa kweli haileti picha nzuri. Ukizingatia màadili yalivyoporomoka. Sio ajabu ukashangaa mkeo akibambiwa
 
Ila Mungu alivyokua wa ajabu utakuta hao jamaa hata hawaoni shida.

Lakini kiungwana inaleta Hali ya fedheha, Kila mwanaume anapenda heshima hasa anapokua na familia yake.

Nilikutana na jamaa wa Afghanistan akasema ni kosa lajinai kukubali kufedheheka mbele ya Mke wako, Bora upambane hadi ufe.

Ukiwa peke Yako kutumia usafiri wa umma kwanza ni gharama ndogo na vile vile hauumizi kichwa unapaki wapi au purukushani za uendeshaji.

Nimeiwaza hiyo familia kupata daladala ni mtihani wa kwanza, pili kupata vitu wazi wakae wote Kwa utulivu.

Hata hivyo unaubinadam sana, kuwawazia wengine na kujiweka kwenye nafasi yao.

Hii pia inatukumbusha kushukuru Kwa kile tulichojaliwa na kutupa nguvu kuendelea kutafuta zaidi.
 
Gari kwa DSM ni hitaji la msingi.
Hasa kwa Wenye familia.

Baba+Mama + watoto kwenye Daladala kwa kweli haileti picha nzuri. Ukizingatia màadili yalivyoporomoka. Sio ajabu ukashangaa mkeo akibambiwa
Uko sahihi Mtibeli, mimi napanda sana daladala,si mpenz wa ku drive but inapofika suala la kutoka pamoja na family, siwez kutumia public transport. Siwez aisee. Huwi comfortable halaf pia kama baba lazima utajisikia vibaya sana. Imagine mkeo anabambiana kwa ule mbanano wa daladala ambao hauepukiki, it makes u feel so bad.
Nilijiskia huruma sana jana
 
Ni sahihi usemayo mkuu
 
Usafiri wa umma na hasa daladala ni kero na laana kubwa sana. Ni basi tu hatuna magari binafsi ila asubuhi ukifika stand ya daladala unatamani kurudi home.
Na hamna kitu sipendelei kama kuoanda boda boda.
 
Kwa kweli hapa ni changamoto na mateso makubwa, mie wa Mkoani nilikuja hapo kikazi imagine kwa siku mbili tu nikaona mwaka, nikawaza ivi ningekuwa mkazi wa hapa na hawa wanangu (pacha) siku waumwe ikanilazimu kuwa hospital asubuhi na dada wa kazi hapa tunapandaje haya madude ? Leo umenikumbusha siku ile.
 
Nilipofikisha watoto 4 na mdada wa kazi 1 ndio nikaona umubimu wa kutafuta gari. Ni kero kweli kisafiri kwa usafiri wa umma mkiwa wengi. Inaumiza na kusikitisha.
 
Mungu atusaidie sister, ule mji ni kero sana kama huna pesa.
 
Usemacho ni kwel kabisaa. Mazingira hapo yanakua magum sana. Usafiri (japo wa kawaida tu) unasaidia kukiondolea adha kama hizi
 
Nilipofikisha watoto 4 na mdada wa kazi 1 ndio nikaona umubimu wa kutafuta gari. Ni kero kweli kisafiri kwa usafiri wa umma mkiwa wengi. Inaumiza na kusikitisha.
Huwa tunajikaza tu kama wanaume ila ina pain
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…