Kwa mara nyingine Trump akataa kulipwa mshahara wa Urais, Ataugawa kwa wenye uhitaji

Kwa mara nyingine Trump akataa kulipwa mshahara wa Urais, Ataugawa kwa wenye uhitaji

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
1733772143447.png


Ni kwa mara nyingine Trump anaukataa mshahara wa Urais, dola 400,000 kwa mwaka (shilingi bilioni 1 na milioni 40) ili usaidie wenye uhitaji na shughuli za kimaendeleo.

Kama ilivyokuwa katika muhula wake wa kwanza (2916 - 2020) mshahara wake utaendelea kusaidia wahitaji kwenye idara ya afya, marekebisho ya makumbusho ya kitaifa, kusaidia wanafunzi wa vyuo vya sayansi, kuwadaidia waathirika wa majanga ya asili na wastaafu wa jeshi la Marekani

kukataa mshahara wa urais ni hatua nadra katika historia ya Marekani, na Trump aliungana na viongozi wachache waliowahi kufanya hivyo, akiwemo Herbert Hoover na John F. Kennedy.

Wafuasi wa Trump wameona ni hatua ya kihistoria ya kujitolea kwa taifa, huku wakosoaji wakisisitiza kwamba lengo lake ni kutafuta kuungwa mkono na kuimarisha nafasi yake kisiasa.
 
Trump hauhitaji urais kwa sababu ya mshahara.

Kwanza rais wa Marekani wala halipwi hela nyingi.

Mshahara wa Kennedy ulikuwa $100,000.00., kwa mwaka.

Mshahara wa rais wa sasa ni $400,000.00., kwa mwaka.

Dr. Fauci alikuwa na mshahara mkubwa kuliko wa rais.

Just for perspective, Patrick Mahomes’ monthly salary is $4,000,000.00., give or take. And he is not even the highest paid QB in the league.
 
View attachment 3173366

Ni kwa mara nyingine Trump anaukataa mshahara wa Urais, dola 400,000 kwa mwaka (shilingi bilioni 1 na milioni 40) ili usaidie wenye uhitaji na shughuli za kimaendeleo.

Kama ilivyokuwa katika muhula wake wa kwanza (2916 - 2020) mshahara wake utaendelea kusaidia wahitaji kwenye idara ya afya, marekebisho ya makumbusho ya kitaifa, kusaidia wanafunzi wa vyuo vya sayansi, kuwadaidia waathirika wa majanga ya asili na wastaafu wa jeshi la Marekani

kukataa mshahara wa urais ni hatua nadra katika historia ya Marekani, na Trump aliungana na viongozi wachache waliowahi kufanya hivyo, akiwemo Herbert Hoover na John F. Kennedy.

Wafuasi wa Trump wameona ni hatua ya kihistoria ya kujitolea kwa taifa, huku wakosoaji wakisisitiza kwamba lengo lake ni kutafuta kuungwa mkono na kuimarisha nafasi yake kisiasa.
Wanasiasa wanajua kupumbaza sana watu.. Kwa biashara zake na atakavyofaidika na ikulu huo mshahara si lolote si chochote! Maana hata hivyo kila kitu anapata bure bure kabisa
Kuna yule mpuuzi naye karopoka hapa bongo kuwa tangu aajiriwe hajawahi kuugusa mshahara wake.. Wote anautoa sadaka
 
Wanasiasa wanajua kupumbaza sana watu.. Kwa biashara zake na atakavyofaidika na ikulu huo mshahara si lolote si chochote! Maana hata hivyo kila kitu anapata bure bure kabisa
Kuna yule mpuuzi naye karopoka hapa bongo kuwa tangu aajiriwe hajawahi kuugusa mshahara wake.. Wote anautoa sadaka
Hii ingelikuwa ni bongo na nchi zetu hizi za wapenda rushwa na bulebule, hapa ningekuunga mkono, siamini kwa hili iwapo linaweza kutokea kwenye nchi za wenzetu wanaoheshimu sheria za nchi
 
Trump and Kennedy, have something in common, Old Money. To them, that presidential salary is just a peanut.

Kennedy aliwekwa ikulu na baba yake, Trump kawekwa ikulu na wafanyabiashara wakubwa.

In short, America is not a country, America is a business.​
 
Hapa Trump kafanana na BASHITE...
UNAFIKI WA KICHAWI KABISA...
 
Huyu mwamba mhuni. Awamu ya kwanza alikataa harafu baadae akatuhumiwa kwenye ukwepaji kodi. Hii imekaaje. Anajuwa sehemu ya kupigia hela zaidi ya huo mshahara hasa kwenye miradi yake namatajiri anaowasaidia kukwepa kodi.
 
Hivi shoga angu pale maeneo fulani analipwa sh ngapi kwa mwezi.
 
Back
Top Bottom