Uchaguzi 2020 Kwa mara ya kwanza CCM wamefanya kampeni kinyonge na bila agenda za chama bali agenda za mtu mmoja

Uchaguzi 2020 Kwa mara ya kwanza CCM wamefanya kampeni kinyonge na bila agenda za chama bali agenda za mtu mmoja

Sheikh mwenye heshima kubwa hapa Tanzania na Afrika ya Mashariki Alhaji Sheikh Ponda Issa Ponda amesema CCM imeinajisi Nchi kwa miongo mingi Sasa baaasi!!
Waislamu wote wenye akili tunakwenda na mawazo ya shekh wetu Ponda.
 
Kuna muongo kama msaliti wa Nchi Lissu ?

Chadema watajuta kumsimamisha msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu

Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Sheikh Ponda Issa Ponda amemuumbua John Pombe kwa kusema Raisi hapaswi kuwa Muongo kwani Allah huchukizwa na Mtu muongo
 
CCM mwaka huu wameonyesha walilala zaidi ya wapinzani kipindi chote siasa zilipokatazwa. Awakujipanga kuanzia juu Hadi kwenye tawi na kibaya zaidi hata UCHAGUZI wa serikali ya mtaa awakufanya bali waliteuana na walioteuliwa awakuwa chaguo la wananchi hivyo walijitengenezea kukataliwa toka ngazi ya shina. Waliokuwa wanakubalika walitemwa wakapewa wanaofahamiana na wakubwa.

Ni kipindi ambacho badala chama kifanye kampeni kimekwama na mgombea ameingia kuzindua mirafi ambayo baadhi ilishazinduliwa au haina haja yakuzindua.

Ni kipindi pekee ambacho wenye chama wamekaa pembeni wanaleo na kula bata wakati waliokabidhiwa chama wakitapatapa kukusanya watu wakushiriki mikutano.

Nikipindi ambacho nguo za chama zimegawiwa kwa wanafunzi na watoto na wakimaliza zinakusanywa na kupelekwa sehemu nyingine yote hii nikubana matumizi bila kuangalia afya za vaaji.

Ni kipindi ambacho chama kinafika kwenye UCHAGUZI kikiwa hakina mawakala wakueleweka.

Nikipindi ambacho kimegubikwa na watumishi wa Umma kujiandalia safari za uchaguzi huku wakibadilishana mikoa kwa lengo lakupata fedha zakuanzia maisha awamu ya sita.

Nikipindi ambacho walimu awaaminiki Tena Bali vijana wa lumumba. Inshort nikipindi kigumu kwa chama kinachotokana na chama kuruhusu watu kuhodhi chama.
Magafuli ameua ccm kwa ubinafsi wake, ila safi kwa hili.
 
Kuna muongo kama msaliti wa Nchi Lissu ?

Chadema watajuta kumsimamisha msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu

Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Aliyekuwa Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola aliihakikishia USA na EU kuwa Mashoga wa CCM wako salama na Serikali ya CCM inavilainishi lukuki katika Hospital ya TAIFA Muhimbili.
 
CCM mwaka huu wameonyesha walilala zaidi ya wapinzani kipindi chote siasa zilipokatazwa. Awakujipanga kuanzia juu Hadi kwenye tawi na kibaya zaidi hata UCHAGUZI wa serikali ya mtaa awakufanya bali waliteuana na walioteuliwa awakuwa chaguo la wananchi hivyo walijitengenezea kukataliwa toka ngazi ya shina. Waliokuwa wanakubalika walitemwa wakapewa wanaofahamiana na wakubwa.

Ni kipindi ambacho badala chama kifanye kampeni kimekwama na mgombea ameingia kuzindua mirafi ambayo baadhi ilishazinduliwa au haina haja yakuzindua.

Ni kipindi pekee ambacho wenye chama wamekaa pembeni wanaleo na kula bata wakati waliokabidhiwa chama wakitapatapa kukusanya watu wakushiriki mikutano.

Nikipindi ambacho nguo za chama zimegawiwa kwa wanafunzi na watoto na wakimaliza zinakusanywa na kupelekwa sehemu nyingine yote hii nikubana matumizi bila kuangalia afya za vaaji.

Ni kipindi ambacho chama kinafika kwenye UCHAGUZI kikiwa hakina mawakala wakueleweka.

Nikipindi ambacho kimegubikwa na watumishi wa Umma kujiandalia safari za uchaguzi huku wakibadilishana mikoa kwa lengo lakupata fedha zakuanzia maisha awamu ya sita.

Nikipindi ambacho walimu awaaminiki Tena Bali vijana wa lumumba. Inshort nikipindi kigumu kwa chama kinachotokana na chama kuruhusu watu kuhodhi chama.
Wamefeli kila kitu
 
Ccm haiwezi kuunga mkono ushoga

Aliyeunga mkono ushoga ni mgombea wa chadema

Ndio maana magundu yanamfuata kila aendako
Aliyekuwa Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola aliihakikishia USA na EU kuwa Mashoga wa CCM wako salama na Serikali ya CCM inavikainishi lukuki katika Hospital ya TAIFA Muhimbili.
 
CCM ilikuwa ya Mzee Kinana, busara tele.

Sio hii ya Pole pole anayejivunia ma VX kama sera ya kuwavutia wapiga kura

Sio hii ya Bashiru aliyeishiwa nguvu kiasi anatangaza wazi kuwa ccm itatumia dola kushinda. Bashiru anayelia wana ccm kuisaliti

Mzee Mangula ameamua kujikalia kimya!!
Mtu anajibu hoja ya upinzani anatajaV80 kweli !
 
Ccm haiwezi kuunga mkono ushoga

Aliyeunga mkono ushoga ni mgombea wa chadema

Ndio maana magundu yanamfuata kila aendako
Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola aliwahakikishia Mabalozi wa USA na EU ya kuwa Mashoga wako Salama salimini hapa Tanzania
 
"Vilainishi vya Mashoga vinapatika bure katika Hospitali yetu ya Taifa Muhimbili" namnukuu Wazidi wa Afya Mhe Ummy Mwalimu.
 
Mgombea wa Chadema ndio Aliwatetea mashoga

Mwambieni msaliti wa Nchi, Tanzania hatutaki ushoga,
Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola aliwahakikishia Mabalozi wa USA na EU ya kuwa Mashoga wako Salama salimini hapa Tanzania
 
CCM mwaka huu wameonyesha walilala zaidi ya wapinzani kipindi chote siasa zilipokatazwa. Awakujipanga kuanzia juu Hadi kwenye tawi na kibaya zaidi hata UCHAGUZI wa serikali ya mtaa awakufanya bali waliteuana na walioteuliwa awakuwa chaguo la wananchi hivyo walijitengenezea kukataliwa toka ngazi ya shina. Waliokuwa wanakubalika walitemwa wakapewa wanaofahamiana na wakubwa.

Ni kipindi ambacho badala chama kifanye kampeni kimekwama na mgombea ameingia kuzindua mirafi ambayo baadhi ilishazinduliwa au haina haja yakuzindua.

Ni kipindi pekee ambacho wenye chama wamekaa pembeni wanaleo na kula bata wakati waliokabidhiwa chama wakitapatapa kukusanya watu wakushiriki mikutano.

Nikipindi ambacho nguo za chama zimegawiwa kwa wanafunzi na watoto na wakimaliza zinakusanywa na kupelekwa sehemu nyingine yote hii nikubana matumizi bila kuangalia afya za vaaji.

Ni kipindi ambacho chama kinafika kwenye UCHAGUZI kikiwa hakina mawakala wakueleweka.

Nikipindi ambacho kimegubikwa na watumishi wa Umma kujiandalia safari za uchaguzi huku wakibadilishana mikoa kwa lengo lakupata fedha zakuanzia maisha awamu ya sita.

Nikipindi ambacho walimu awaaminiki Tena Bali vijana wa lumumba. Inshort nikipindi kigumu kwa chama kinachotokana na chama kuruhusu watu kuhodhi chama.
Hivi mwaka huu walimu hawajasimamia uchaguzi wa ccm?
 
CCM ya mwisho ilikiwa ya kina COMRED Kinana. Tena aliitwa kuokoa jahazi ...

Hapa hatuna chama wana CCM...ukweli ndio huu.
 
CCM mwaka huu wameonyesha walilala zaidi ya wapinzani kipindi chote siasa zilipokatazwa. Awakujipanga kuanzia juu Hadi kwenye tawi na kibaya zaidi hata UCHAGUZI wa serikali ya mtaa awakufanya bali waliteuana na walioteuliwa awakuwa chaguo la wananchi hivyo walijitengenezea kukataliwa toka ngazi ya shina. Waliokuwa wanakubalika walitemwa wakapewa wanaofahamiana na wakubwa.

Ni kipindi ambacho badala chama kifanye kampeni kimekwama na mgombea ameingia kuzindua mirafi ambayo baadhi ilishazinduliwa au haina haja yakuzindua.

Ni kipindi pekee ambacho wenye chama wamekaa pembeni wanaleo na kula bata wakati waliokabidhiwa chama wakitapatapa kukusanya watu wakushiriki mikutano.

Nikipindi ambacho nguo za chama zimegawiwa kwa wanafunzi na watoto na wakimaliza zinakusanywa na kupelekwa sehemu nyingine yote hii nikubana matumizi bila kuangalia afya za vaaji.

Ni kipindi ambacho chama kinafika kwenye UCHAGUZI kikiwa hakina mawakala wakueleweka.

Nikipindi ambacho kimegubikwa na watumishi wa Umma kujiandalia safari za uchaguzi huku wakibadilishana mikoa kwa lengo lakupata fedha zakuanzia maisha awamu ya sita.

Nikipindi ambacho walimu awaaminiki Tena Bali vijana wa lumumba. Inshort nikipindi kigumu kwa chama kinachotokana na chama kuruhusu watu kuhodhi chama.

Mnalipwa pesa za bure hata kuandika kwenu ni mtihani.Bado siku tatu tu,mtadaiwa hela za watu kwa sababu hazitazaa matokeo.Kuzindua ' MIRAFI' sijui ndiyo nini.Msichanganyikiwe dakika hizi za mwisho kwani bado tunawahitaji mpate hata udiwani viti 50 na angalau wabunge 5.Kumbukeni pilau bila kachumbari halina ladha.
 
Kuna muongo kama msaliti wa Nchi Lissu ?

Chadema watajuta kumsimamisha msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu

Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Bia Yetu ... Ha ha ha ha haaaaa comment ya uongo wa Mugufuli imekuchoma kama pasi ya umeme ... ni kweli M/Mungu hapendi muongo kama alivo sema Sheikh Ponda poleeee haiwezekani tumbadilishe M/Mungu apende uongo!!!

Kuhusu ushoga hili nafkiri tuwaulize nyinyi wenzetu hapo Lumumba veepe au na Nyinyi wenzetu wakatoliki mnaunga mkono juhudi za PAPA
20201015_125137.jpg
 
Back
Top Bottom