Walipiga mapema leo uwanja wa ben gurionYaan hiko kibaruti cha mwaka mpya ndio ndio kiharibu ndege ?........ama kweli mwenda wazimu hamjui mjomba wake
Hawa magaidi wa Israel wamelala vizuri hapa unawatembezea risasi ya vichwa[emoji23][emoji23]View attachment 3145602
50 bases lakini clip inaonyesha moshi ni uleule tofauti ni zooming na geuzageuza ya cameraHezbollah launched more than 50 rockets into Israel in 15 minutes, with most of the rockets hitting military areas.
Iron dome who?
David sling who?
Arrow who?
Thaad who?
Video[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]
View: https://x.com/SprinterFamily/status/1854221654202699932?t=dcRTeByCZ3oOPRmnnunCjw&s=19
Thaad imepata StrokeKwani THAD ilikuwa haijawashwa?
Mbona kila kitu unakisia tu boss!Ulitaka moshi uweje!! Uko Israel wameniga marufuku kupicha picha matukio y kivita upande wao lkn ukiona tu ivyo vilio vya vijana wa kiIsrael jua ali sio poa. Iyo camera awaoneshi kinachowakimbiza kufatana na iyo sheria yao. Lkn kichapo kinatembea , ukiona Israel inapiga Beirut mji nkuu jua jana yake walipigwa vibaya nao ndio wanaenda kuwapa asala walebanon vita bado ngumu akuna cha taifa teule muimu tuwaombee aman na waache kibri cha kujitanua ktk ardhi yawa pelestine wafate tu sheria mgogolo utaisha lkn ndio kenge asikiii adi damu imvuje sikioni kwaizo Fateh 1 1 0 vilio vitakuwa vingi uko taifa teule.
.
BBC wametangaza wamepiga ndani ya ben gurion ila sehemu zakupaki magari ndio imepigwa hii maana yake hata wanapo kaa abiria kunaweza kuchapwa israhell kumbe mweupe hiviTaarifa niliyoona hapo awali, hawajapiga ben gurion kabisa, ila ni nje ya uwanja wa ndege.