Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Kwa mbabe israhell kushinda labda na njaaMbona kila kitu unakisia tu boss!
Andika uhalisia basi,
Nijuavyo, vita vinamaumivu ya pande zote, kwa mbabe na kusiko kwa mbabe, ila mwisho wa siku mbabe hushinda tu, kama ilivyo kwa Ukraine na Russia,