Kwa mara ya kwanza Hezbollah watumia kombora zito la Fateh 110

Mbona kila kitu unakisia tu boss!

Andika uhalisia basi,

Nijuavyo, vita vinamaumivu ya pande zote, kwa mbabe na kusiko kwa mbabe, ila mwisho wa siku mbabe hushinda tu, kama ilivyo kwa Ukraine na Russia,
Kwa mbabe israhell kushinda labda na njaa
 

Attachments

  • WhatsApp-Image-2024-11-06-at-11.57.24-640x400.jpeg
    55.6 KB · Views: 3
Imepenyaaaaaa
 
Acha mkwara wa kitoto watu wako serious
 
Kwani mara ya kwanza inapenya?!! 😄 🤣 😂 jambo la kusikitisha watu wa suruali fupi Hisbollah wamesababisha Lebanon irudi stone age
Irudi stoneage kiaje?
Mbona watu wanaendelea na maisha kama kawaida!?
Upo kwenye hallucinations nini kijana😂😂😂😂😂
 
Irudi stoneage kiaje?
Mbona watu wanaendelea na maisha kama kawaida!?
Upo kwenye hallucinations nini kijana😂😂😂😂😂
Nimeamini Ashki majunun imekuvaa
 
Imekaa kishabiki sana
 
BBC wametangaza wamepiga ndani ya ben gurion ila sehemu zakupaki magari ndio imepigwa hii maana yake hata wanapo kaa abiria kunaweza kuchapwa israhell kumbe mweupe hivi
Ndio hivyo zile mbwe za cnn ,bbc na fox kuipamba Israeli ili iogopwe imeshaapita na wakati kwa vita hii ya gaza imewaweka uchi kabisa amna uoga tena
 
Ndio hivyo zile mbwe za cnn ,bbc na fox kuipamba Israeli ili iogopwe imeshaapita na wakati kwa vita hii ya gaza imewaweka uchi kabisa amna uoga tena
Kabisa watu wameona udhaifu wa mazayuni hawaendeshwi tena na propaganda
 

View: https://youtu.be/9lE3QqD6JHE?si=u3vLBuKH8U1wPhlJ
 
Umesoma vizuri habari uliyoleta!?
Kama Lebanon imegeuka kuwa mahame hao displaced kwanini watoe point A kwenda point B!?
Dooh pole sana.
 
Eti "kwa mara ya kwanza" kwahiyo siku zote hizo wameawawa viongozi wao karibu wote walikuwa wanasubiri nini kutumia hizo silaha mpya? Kesho utawasikia " now we are entering a new phase of war" wakati huo huo wanakimbia mahandaki Yao yaliiyojaa silaha huko south Lebanon
 
Umesoma vizuri habari uliyoleta!?
Kama Lebanon imegeuka kuwa mahame hao displaced kwanini watoe point A kwenda point B!?
Dooh pole sana.
Israel 🇮🇱 ndio anae dictator watoke wapi na waende wapi?!! Kama ilivyo Gaza na Hisbollah wala serikali ya Lebanon in short Israel inawapangia. over
 
Israel 🇮🇱 ndio anae dictator watoke wapi na waende wapi?!! Kama ilivyo Gaza na Hisbollah wala serikali ya Lebanon in short Israel inawapangia. over
Kama Hizbollah inavyowapangia wakaazi wa Galilee wakae wapi.
Au umesahau kama Northern Israel raia wamekimbia mashambulizi ya Hizbollah!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…