Kwa mara ya kwanza, Jaribio la nchi jirani lakwama Tanzania

Jirani anatapa tapa!!

Baada ya kujenga Bandari ya Lamu akitegemea kulikamata soko la Afrika Mashariki huku akitarajia kuiwekea gati zaidi ya 30 ambazo zitaendeshwa na sekta binafsi...
Hata hueleweki. Huyo jirani wenyewe mnasema anashusha mzigo kwa siku moja na hajakodisha bandari kwa mwarabu wa dubai.

Nyie siku tano ili kufika siku moja mnataka kuhonga bandari waarabu. Mbona haina logic. Labda kama ni mpango wenu kupiga hela kwa kuuza bandari za umma.
 
Unajua kuwa baadhi ya Gati za bandari ya Mombasa zinaendeshwa na private sector?
 
Mkuu kwani ulishindwa kuhalalisha hoja yako ya kupiga promo bila kujaza taarifa ambazo ukiambiwa uthibitishe huna uwezo huo?
Toa maoni yako independent, bila kuhusisha vyombo kupigia promo ushubwada wako.
 
Yaani umekaa hapo kimara unaandika huu ujinga na kuuhusisha nao TISS??
 

Kachukue 7000 yako
 
Kama huna la maana la kusema si ufunge bakuli lako mwanangu. Kumbaff kabisa. Unatetea ufisadi na ukumbaff au umetumwa au ni mnufaikaji na dili hili la kimalaya kisiasa?
 
Upuuzi mtupu
Yaani Vilaza na division four zenu serikali nzima na wabunge mumekaa kwa niamba ya watu million 60 mkaamua watanzania hatuwezi kuendesha Bandari. Mkaona tena si tabu mkaenda na mkataba mbovu. Mkaona haitoshi mkaja kutetea maamuzi JF. Mungu awasamehe
 

Idiot, unaweza fikiri labda wewe siyo Mtanzania, au kinachopiganiwa generation yako haitafaidika, mbuzi kabisa!!

Hakuna aliyekataa uwekezaji na ndani ya bandari, serikali iingie mkataba wenye tija kwa nchi na hao wawekezaji!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…