Kwa mara ya kwanza jasusi mbombezi Kagame anakwenda kuzidiwa kete DRC

Kwa mara ya kwanza jasusi mbombezi Kagame anakwenda kuzidiwa kete DRC

KWA sababu alijajifunga na dini tofauti na makundi mengine ya kihuni kama alshabab, alqaeda,boko haya yamefunga ndoa na dini japo dini yao inakataza mambo yao
Kwahiyo ugaidi ni maasi yanayofanywa na makundi ya kidini? So,neno Ugaidi linabadilika kutokana na nani anaufanya huo ugaidi?
 
Hapa hakuna anachofanya kukimbilia kwa westerners siyo solution ya uhakika kwa rasilimali za wacongo labda 70% achukue DRC na 30% mwekezaji la sivyo itakuwa anatoka kwenye maji ya moto anaingia kwenye mafuta yaliyochemka. Anatakiwa ajifunze kwetu bongo ukiingalia utaona jinsi gan watu wanaozunguka maeneo yaliyo na madini na hali zao za kimaisha ni very poor.
 
Sio mauaji yote yanaongozwa na ideology.
Ugaidi ni suala la kiitikadi zaidi.
Wote ni wale wale tu
Kuuwa kumekatazwa na dini zote ila hili neno la ugaidi kwanini liwe na ukakasi kwa wengine ?

Suala hapa ni ugaidi unapokuwa na kikosi cha mauwaji ni ugaidi tu

Dini ni pa kujifichia tu na PK ni gaidi tu kwani anawafadhili hao
 
Hali ya kisiasa huko Drc na duniani imemnyima PK 'free ride' ya kuivuruga Drc kama miaka ya nyuma, japo bado hao mamluki wake wa M23 na RDF wanashikilia maeneo makubwa.

mtu chake Moronight walker Count Capone
Wamegundua mabepari wa kizungu wakiendelea kumchekea kagame mchina ataingia drc kibabe wakaona chakupoteza wakaamua kufuata taratibu japo siwaaminigi sana.
 
Kwa mTanzania yeyote duniani angependa DRC iwe na amani sbb DRC ni soko letu kubwa tena la uhakika kama itatulia na sisi kulitumia kwa ufasaha.
 
mashitaki yanaandaliwa Vienna halafu mwendesha mashitaka Mkuu atapelekewa pale The Hague atatoa hati ya Mashitaka na kukamatwa kwake pale ndio maana Centre ipo August kwa wingi pale Kigali
 
Hali ya kisiasa huko Drc na duniani imemnyima PK 'free ride' ya kuivuruga Drc kama miaka ya nyuma, japo bado hao mamluki wake wa M23 na RDF wanashikilia maeneo makubwa.

mtu chake Moronight walker Count Capone
mkuu khs drc,felix na rwanda na pk,nilisema humu kuwa felix anaenda kuweka mambo sawa kule mashariki

Sitaki kusema sana, mie natazama hatua zote
 
Wa miaka mingi Kagame amekuwa kiungo muhimu cha kuhakikisha maslahi ya mabeberu mashariki mwa DRC.

Zaidi ya nusu ya suppy ya madini muhimu yanayotumika kwenye technolia mbalimbali za kisasa kama lithium batteries yanatoka DRC.

Kwa miaka mingi vita na vurugu za wanaoitwa "waasi" vimesababisha sehemu kubwa ya uchimbaji wa madini hayo kuwa wa holela na madini yanauzwa kwa magendo pasipo kuinufaisha DRC.

Mabeberu walijihakikishia suppy ya madini hayo kwa bei ya kutupwa kwani waasi na wauzaji wadogowadogo hawana namna zaidi ya kuuza kwa bei inayopangwa na mnunuaji.

Kagame amekuwa middle man kwenye hiyo biashara kwa miaka mingi, ripoti nyingi za kimataifa zinasema waziwazi kuwa serikali yake imekuwa ikifadhili waasi wa mashariki mwa DRC. In fact wengi wa waasi hao ni wanajeshi na vijana wa kinyarwanda. (Wanajeshi wa TZ walioenda mission DRC wanaujua ukweli).

Sasa DRC imepata rais smart, mtoto wa mjini, bwana Felix. Huyu jamaa kaenda kula dili na mabeberu moja kwa moja, na wamekubali (after all pressure ilianza kuwa kubwa huko kwa mabeberu, wananchi wakitaka unyonyaji unaofanyika DRC ukome). Mabeberu wamehakikishiwa secure supply ya madini itakayo wanufaisha wao na DRC. Plan mpya imewekwa mezani, na PK siyo sehemu ya plan hiyo. Mabeberu wote wamemgeuka PK.

Felix akizicheza karata zake vizuri, basi huu unaweza kuwa ndio mwanzo wa mwisho wa uhalifu wa miongo mingi mashariki mwa DRC, na Kagame anaenda kuachwa peke yake. Akijitutumua sana basi ajiandae kupewa chai.
na ndivyo inavyokwenda kua,felix mshindi.
 
Wa miaka mingi Kagame amekuwa kiungo muhimu cha kuhakikisha maslahi ya mabeberu mashariki mwa DRC.

Zaidi ya nusu ya suppy ya madini muhimu yanayotumika kwenye technolia mbalimbali za kisasa kama lithium batteries yanatoka DRC.

Kwa miaka mingi vita na vurugu za wanaoitwa "waasi" vimesababisha sehemu kubwa ya uchimbaji wa madini hayo kuwa wa holela na madini yanauzwa kwa magendo pasipo kuinufaisha DRC.

Mabeberu walijihakikishia suppy ya madini hayo kwa bei ya kutupwa kwani waasi na wauzaji wadogowadogo hawana namna zaidi ya kuuza kwa bei inayopangwa na mnunuaji.

Kagame amekuwa middle man kwenye hiyo biashara kwa miaka mingi, ripoti nyingi za kimataifa zinasema waziwazi kuwa serikali yake imekuwa ikifadhili waasi wa mashariki mwa DRC. In fact wengi wa waasi hao ni wanajeshi na vijana wa kinyarwanda. (Wanajeshi wa TZ walioenda mission DRC wanaujua ukweli).

Sasa DRC imepata rais smart, mtoto wa mjini, bwana Felix. Huyu jamaa kaenda kula dili na mabeberu moja kwa moja, na wamekubali (after all pressure ilianza kuwa kubwa huko kwa mabeberu, wananchi wakitaka unyonyaji unaofanyika DRC ukome). Mabeberu wamehakikishiwa secure supply ya madini itakayo wanufaisha wao na DRC. Plan mpya imewekwa mezani, na PK siyo sehemu ya plan hiyo. Mabeberu wote wamemgeuka PK.

Felix akizicheza karata zake vizuri, basi huu unaweza kuwa ndio mwanzo wa mwisho wa uhalifu wa miongo mingi mashariki mwa DRC, na Kagame anaenda kuachwa peke yake. Akijitutumua sana basi ajiandae kupewa chai.
Kila kilicho na mwanzo hakikosi mwisho
 
Wamegundua mabepari wa kizungu wakiendelea kumchekea kagame mchina ataingia drc kibabe wakaona chakupoteza wakaamua kufuata taratibu japo siwaaminigi sana.
Hofu yao ni Russia kuingia DRC.Maana Russia mpaka sasa yupo Afrika ya Kati na Niger.
 
Back
Top Bottom