RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Kwa mara yakwanza siku ya ijumatatu niliomba kazi. Kuna rafiki yangu alinifowardia message WhatsApp, kuwa kunamahala wanatafuta Mechanical engineer, wakufanya kazi za maintenance katika machines kiwandani. Pamoja nakufanya installation za baadhi ya machines. Basi nikatuma cv, siku hiohio usiku, kesho yake jumanne wakanitumia email kuwa nijiandae na interview siku ya jumamosi kwa njia ya Skype. Sikuijibu ile email, Jumatano wakanipigia kuniuliza kama niliona email ,nikawajibu sijaangalia email,nikasemaa ngoja niangalie.
Nikaangalia nikakuta kweli email yao inayonipa maelekezo namna interview itavyokuwa nikwajibu ndio nimeiona hakuna shida. Jmosi saa nne na nusu asubuhi ( jana) wakanitext Skype nikawajibu, wakaomba wanipigie kwa ajili ya interview nikawambia ok. Wakapiga alikuwa madam wakizungu na muhindi mmoja mshikaji tu.
Wakaniuliza masuali yote nikajibu, interview ilichukua saa moja na dk 47, tukarbagain mshahara wakasema wanipe laki 9 take home. Lkn kazi nimkoani. Wakaniambia basi week hii inaanza kesho nijiandae ,halafu Ile week nyingine niende. Sasa nimekaa nimetafakari nimeona siwezi kwenda kulingana nashughuri zangu binafsi nazofanya. Kwahio kama kuna mtu anauzoefu na.
Callibration of mass, pressure, temperature and underground tanks. Pia awe nacheti cha EIT au OSHA kinachohusu mambo ya safety.
Ana uwezo wakudesign kutumia
Solidworks, AutoCAD, ANSY, CATIA.
Anaweza kutumia microsoft word, power point, Excel ,na unauwezo wakufanya maintenance kwenye steam boiler, feeding machines, pamoja na printing machines ,napia yuko registered na ERB kama GE au PE. Basi ani Dm cv yake nimpe jamaa alieniambia niombe pale halafu atajua namna yakufanya maana mimi sintoenda.
Cv itayokidhi vigezo ndio ntakayoituma.
.........
Naona wadau kwenye comments wamemeza nyembe, naomba atakaekuja pm awe navigezo ntamp email ya wahusika atume moja kwa moja .
Nikaangalia nikakuta kweli email yao inayonipa maelekezo namna interview itavyokuwa nikwajibu ndio nimeiona hakuna shida. Jmosi saa nne na nusu asubuhi ( jana) wakanitext Skype nikawajibu, wakaomba wanipigie kwa ajili ya interview nikawambia ok. Wakapiga alikuwa madam wakizungu na muhindi mmoja mshikaji tu.
Wakaniuliza masuali yote nikajibu, interview ilichukua saa moja na dk 47, tukarbagain mshahara wakasema wanipe laki 9 take home. Lkn kazi nimkoani. Wakaniambia basi week hii inaanza kesho nijiandae ,halafu Ile week nyingine niende. Sasa nimekaa nimetafakari nimeona siwezi kwenda kulingana nashughuri zangu binafsi nazofanya. Kwahio kama kuna mtu anauzoefu na.
Callibration of mass, pressure, temperature and underground tanks. Pia awe nacheti cha EIT au OSHA kinachohusu mambo ya safety.
Ana uwezo wakudesign kutumia
Solidworks, AutoCAD, ANSY, CATIA.
Anaweza kutumia microsoft word, power point, Excel ,na unauwezo wakufanya maintenance kwenye steam boiler, feeding machines, pamoja na printing machines ,napia yuko registered na ERB kama GE au PE. Basi ani Dm cv yake nimpe jamaa alieniambia niombe pale halafu atajua namna yakufanya maana mimi sintoenda.
Cv itayokidhi vigezo ndio ntakayoituma.
.........
Naona wadau kwenye comments wamemeza nyembe, naomba atakaekuja pm awe navigezo ntamp email ya wahusika atume moja kwa moja .