Kwa mara ya kwanza katika maisha yangu niliijaribu kuomba kazi, na kufanya interview

Kwa mara ya kwanza katika maisha yangu niliijaribu kuomba kazi, na kufanya interview

RUSTEM PASHA

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2016
Posts
4,707
Reaction score
11,365
Kwa mara yakwanza siku ya ijumatatu niliomba kazi. Kuna rafiki yangu alinifowardia message WhatsApp, kuwa kunamahala wanatafuta Mechanical engineer, wakufanya kazi za maintenance katika machines kiwandani. Pamoja nakufanya installation za baadhi ya machines. Basi nikatuma cv, siku hiohio usiku, kesho yake jumanne wakanitumia email kuwa nijiandae na interview siku ya jumamosi kwa njia ya Skype. Sikuijibu ile email, Jumatano wakanipigia kuniuliza kama niliona email ,nikawajibu sijaangalia email,nikasemaa ngoja niangalie.

Nikaangalia nikakuta kweli email yao inayonipa maelekezo namna interview itavyokuwa nikwajibu ndio nimeiona hakuna shida. Jmosi saa nne na nusu asubuhi ( jana) wakanitext Skype nikawajibu, wakaomba wanipigie kwa ajili ya interview nikawambia ok. Wakapiga alikuwa madam wakizungu na muhindi mmoja mshikaji tu.

Wakaniuliza masuali yote nikajibu, interview ilichukua saa moja na dk 47, tukarbagain mshahara wakasema wanipe laki 9 take home. Lkn kazi nimkoani. Wakaniambia basi week hii inaanza kesho nijiandae ,halafu Ile week nyingine niende. Sasa nimekaa nimetafakari nimeona siwezi kwenda kulingana nashughuri zangu binafsi nazofanya. Kwahio kama kuna mtu anauzoefu na.

Callibration of mass, pressure, temperature and underground tanks. Pia awe nacheti cha EIT au OSHA kinachohusu mambo ya safety.

Ana uwezo wakudesign kutumia
Solidworks, AutoCAD, ANSY, CATIA.
Anaweza kutumia microsoft word, power point, Excel ,na unauwezo wakufanya maintenance kwenye steam boiler, feeding machines, pamoja na printing machines ,napia yuko registered na ERB kama GE au PE. Basi ani Dm cv yake nimpe jamaa alieniambia niombe pale halafu atajua namna yakufanya maana mimi sintoenda.

Cv itayokidhi vigezo ndio ntakayoituma.

.........
Naona wadau kwenye comments wamemeza nyembe, naomba atakaekuja pm awe navigezo ntamp email ya wahusika atume moja kwa moja .
 
Huoni kama huo ni utovu wanidhamu?Umewapotezea muda kuomba,kukuinterview na sasa unaleta nyodo.Hii inaonesha kwamba wewe huna nidhamu na sidhani kama unajisikia fahari kwa ulichofanya.

Ila binafsi nafikiri kwamba umewakosea waliokupa fursa.Cha kufanya wajulishe mapema kwamba huna nia ya kwenda hio habari ya kutafuta replacement yako waachie wao kwani hicho ni kiherehere.
 
Huoni kama huo ni utovu wanidhamu?Umewapotezea muda kuomba,kukuinterview na sasa unaleta nyodo.Hii inaonesha kwamba wewe huna nidhamu na sidhani kama unajisikia fahari kwa ulichofanya.Ila binafsi nafikiri kwamba umewakosea waliokupa fursa.Cha kufanya wajulishe mapema kwamba huna nia ya kwenda hio habari ya kutafuta replacement yako waachie wao kwani hicho ni kiherehere.
Mkuu mbona povu, kwani huwa watu hawaendi kwenye interview kisha hawapewi nafasi,wanakua hawajapotezewa muda?. Au hujawahi ona mpaka watu wanafanyiwa training yakazi kisha wanaambiwa waende wataitwa halafu hawaitwi?.

Kunywa maji ya uvuguvugu mkuu, upunguze hasira.
 
Kwahiyo unataka kutuonesha wewe ni bora kiasi cha kufanyiwa interview tena kwa kuombwa na umekataa kazi na ulivyo na jeuri eti replacement unataka kuwafanyia wewe.

We jamaa inaonekana hata mishe ya kuingiza 10 per day huna.
 
Kwahiyo unataka kutuonesha wewe ni bora kiasi cha kufanyiwa interview tena kwa kuombwa na umekataa kazi na ulivyo na jeuri eti replacement unataka kuwafanyia wewe.

We jamaa inaonekana hata mishe ya kuingiza 10 per day huna.
Mkuu mimi sio bora kuliko wengine, lakini naweza kusema nabahati tu, kuhusu kuingiza ten perday ,inawezekana sina uwezo wakuiingiza mkuu.kunywa maji ya uvuguvugu upunguze hasira.

Hio replacement sifanyi mimi,bali nasaidia kumtumia alienitumia niombe nafasi, Kisha baada yahapo yeye akiipitia atamtafuta muhusika mambo mengi yataendelea mkuu wangu.
 
Kwahy mtoa tumekataa kazi na mshahara wake.? Sijui n lini na mm ntapata uwezo huo
Mkuu nikikuambia baada yakumaliza chuo ,nimekaa garage zaidi yamiezi 5 nikijifunza maintenance za magari(kwakulipia tena), nikaanda kujifunza maintenance za mashine bila kulipwa miezi 6, baada yahapo nikaanza issue za calibration miezi 7, nimesoma certificate za kucalibrate matank, weigh bridge,mizani,force ,mass, pressure, temperature. But all in all kwa Sasa naofisi yangu ambayo inadeal na issue baadhi nilizosotea baada yakumaliza chuo.
 
Aisee 900K, Mkuu nina jambo langu nikuwasilishie PM basi.
Mkuu kama unakidhi vigezo njoo PM. ntakusaidia kukupa email ya wahusika, lkn pia sihitaji unitumie cv maana naona maneno yameanza kuwa mengi. Njoo nikupe email utume mwenyewe, ukiitwa usipoitwa sawa. Maana naona wadau washaanza kumeza nyembe.
 
Mkuu nikikuambia baada yakumaliza chuo ,nimekaa garage zaidi yamiezi 5 nikijifunza maintenance za magari(kwakulipia tena), nikaanda kujifunza maintenance za mashine bila kulipwa miezi 6, baada yahapo nikaanza issue za calibration miezi 7, nimesoma certificate za kucalibrate matank, weigh bridge,mizani,force ,mass, pressure, temperature. But all in all kwa Sasa naofisi yangu ambayo inadeal na issue baadhi nilizosotea baada yakumaliza chuo.
kuna watu muko serious na malengo sijui kama ID hii ila Avatar ni hiyohiyo niki connect napata jibu, kuna uzi nakumbuka jamaa alikuuliza kwanini unaharakia maisha uksema "nina ndoto ya kumiliki garage ya million 100"
 
Hongera aisee sie wengine sijui tunaafanyaje folongofolongo.
Mkuu unakumbuka issue za 2017?. Uko vizuri, kuna mmarekan mmoja kawa billionea baada yakuhitimu degree yake ya mechanical, akaanzisha kampuni nafikiri inaitwa herion, mtu aliemuispaya ni TESLA, Sasa mkuu nawewe be inspired nahuyo jamaa kwenye Avatar yako, uanzishe SPACE TZ.
 
Mkuu unakumbuka issue za 2017?. Uko vizuri, kuna mmarekan mmoja kawa billionea baada yakuhitimu degree yake ya mechanical, akaanzisha kampuni nafikiri inaitwa herion, mtu aliemuispaya ni TESLA, Sasa mkuu nawewe be inspired nahuyo jamaa kwenye Avatar yako, uanzishe SPACE TZ.
Mimi BAED aise
 
Back
Top Bottom