Kwa mara ya kwanza leo nimekunywa bia

Kwa mara ya kwanza leo nimekunywa bia

Mimi hapana, kwanza mimi nikinywa huwa nakua mchangamfu sana na kama kuna watoto pembeni watafurahi nitawakusanya pamoja nakuanza kuwafundisha huwa inakuaga kituko sana ila wanainjoi, mimi huwa na kunywa kwa kiasi na pia huwa nazingatia mood,
Pombe zikiisha haujisikii vibaya, namaanisha kuhisi umefanya kitu ambacho usingependa kukifanya?
 
Haya Mambo ya kujaribu.
Kuna dogo alijaribu banana.
Alishindwa kutembea akabaki anacheka Cheka tu

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]! Niko na steady speed, sina haraka ya upgrade kutoka underground hadi Pro.! It is either one or two otherwise I am never going any sip
 
Vip, kingereza kinamwagika sawa sawa, maana niliwahi sikia kuwa ukilewa kingereza unaongea kama maji nanavyo mwagika

Hahaha...! Sijafikia hiyo level Mkuu, Kuna jamaa kanambia hiyo ni kwa ma pro’s
 
Hata Gospel songs zikipigwa wewe haujali ni kucheza tu. Tena unaupenda mziki pale unaanza tu kabla haujajua hata ni wimbo gani wewe unakuwa umeshaupenda.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
image-2021-04-29-22:11:41-202.jpg

SHUGHULI INAENDELEA HAPA...! ASUBUHI NILIPIGA MOJA TU MUDA HUU NINAPIGA CHUPA YA TATU ILA SIONI CHOCHOTE KIKI HAPPEN[emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji481][emoji481][emoji481]
 
Hata Gospel songs zikipigwa wewe haujali ni kucheza tu. Tena unaupenda mziki pale unaanza tu kabla haujajua hata ni wimbo gani wewe unakuwa umeshaupenda.

Soo you have to keep dancing no matter how the music changes right?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nna rafiki angu anacheza hadi matangazo

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app

Haha…! Mie juzi nilipiga Chupa nne nikaona kila mziki unachezeka.! Daaah hiii mambo bhana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom