Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana. Kama kweli leo ndo mara yake ya kwanza alitakiwa apate stimuCastle Lite ni soda chungu, siyo bia.
Kushapotoka mkuu
Hapana. Kama kweli leo ndo mara yake ya kwanza alitakiwa apate stimu
Na mkojo wa pombe unatesaAnasema huwa anakunywa wine zenye 15+ alc.
Sidhani kama hiyo moja itampa shida yoyote, labda ataongeza mkojo tu.
Na mkojo wa pombe unatesa
Mara ya mwisho kunywa ulijisikiaje PaulaGood luck Op. Utu-update imeendaje.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Jiandae kuwa maskini wa akili, mali na roho
True.Hili swali ndio limesababisha wanawake wengi kupoteza bikra zao wakingali na umri mdogo.
True.Hili swali ndio limesababisha wanawake wengi kupoteza bikra zao wakingali na umri mdogo.
Habari za wakati huu wanaJf,
Ni asubuhi tulivu watu mko katika majukum yenu ya kila siku. Eeeh bhana leo kwa mara ya kwanza nimeamua kunywa Bia nijue Inaleta feeling gani mpaka watu wanakesha Bar au Wakati mwingine kutelekeza familia zao.
Nimeanza Castle lite, Ni chungu [emoji36][emoji36]ila ngoja nijikaze tu mpaka iishe nione nitakuwaje baada ya hapo. Sitaki kuwa mtu wa kusimuliwa utamu wakati utamu wenyewe naweza upata kwa hela zangu.
Nimewahi kutumia wine zenye 15% Alcohol, I didn’t feel anything exciting about it. Wacha nijaribu sasa hili dude.
Hapo ilipofikia nimepamvana sana, ila nitajilazimisha iishe ili nione au ni feel hiyo feeling walevi inawachanganya.
Wish Me Luck [emoji18]
Nilishajaribu Bangi ikanishinda..! Kitu ambacho siwezi jaribu ni Madawa ya Kulevya.