Kwa mara ya kwanza leo nimekunywa bia

Kwa mara ya kwanza leo nimekunywa bia

Kwa chupa moja mkuu hutapata kitu aisee. Halafu achana na castle lite na hili baridi hutapata stim mapema, piga konyagi au value. Ila kwakua we ni mgeni ungepiga safari kubwa moja au castle lager.
KARIBU CHAMANI

NAWASILISHA
 
karibisha na manabii wengine maana TBL wamepata sana hasara na wanashindwa kuchangia kodi ili pato la taifa likue , nadhani unafahamu kama tuko kwenye uchumi wa katikati yaani kitovuni
 
Mimi nikinywa huwa napenda sana kupiga story na huwa haziishi yani ule upole unatoweka, nikiwa karibu na watoto huwa nakaa katika yao na naanza kuhadithia
 
Wenzako walianza hivyo hivyo hatimaye sasa hawalewi,ni lazima azipige hizo kama 5 ndio asikie zinaanza kumuingia kichwani...
 
Habari za wakati huu wanaJf,

Ni asubuhi tulivu watu mko katika majukum yenu ya kila siku. Eeeh bhana leo kwa mara ya kwanza nimeamua kunywa Bia nijue Inaleta feeling gani mpaka watu wanakesha Bar au Wakati mwingine kutelekeza familia zao.

Nimeanza Castle lite, Ni chungu [emoji36][emoji36]ila ngoja nijikaze tu mpaka iishe nione nitakuwaje baada ya hapo. Sitaki kuwa mtu wa kusimuliwa utamu wakati utamu wenyewe naweza upata kwa hela zangu.

Nimewahi kutumia wine zenye 15% Alcohol, I didn’t feel anything exciting about it. Wacha nijaribu sasa hili dude.

Hapo ilipofikia nimepamvana sana, ila nitajilazimisha iishe ili nione au ni feel hiyo feeling walevi inawachanganya.
Wish Me Luck [emoji18]

Achana na Pombe.
 
Karibu kwenye vikao vya maendeleo, bia tamu ukiwa na wadau mnajadili na kupeana michongo mbalimbali ya maana.
 
Back
Top Bottom