Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa chupa moja mkuu hutapata kitu aisee. Halafu achana na castle lite na hili baridi hutapata stim mapema, piga konyagi au value. Ila kwakua we ni mgeni ungepiga safari kubwa moja au castle lager.
KARIBU CHAMANI
NAWASILISHA
Kina dada wanakushangaa umekunywa bia yao halafu hata kumaliza huwezi
Ungeanza na k vant utakua imara , lite hizo zinajaza tumbo gas
Mkuu mimi hata energy drink sijui.
Kuna mambo kama hujawahi kufanya ni suala lamkushukuru na kumwomba Mungu usithubutu kuyafanya.Habari za wakati huu wanaJf,
Ni asubuhi tulivu watu mko katika majukum yenu ya kila siku. Eeeh bhana leo kwa mara ya kwanza nimeamua kunywa Bia nijue Inaleta feeling gani mpaka watu wanakesha Bar au Wakati mwingine kutelekeza familia zao.
Nimeanza Castle lite, Ni chungu [emoji36][emoji36]ila ngoja nijikaze tu mpaka iishe nione nitakuwaje baada ya hapo. Sitaki kuwa mtu wa kusimuliwa utamu wakati utamu wenyewe naweza upata kwa hela zangu.
Nimewahi kutumia wine zenye 15% Alcohol, I didn’t feel anything exciting about it. Wacha nijaribu sasa hili dude.
Hapo ilipofikia nimepamvana sana, ila nitajilazimisha iishe ili nione au ni feel hiyo feeling walevi inawachanganya.
Wish Me Luck [emoji18]
Extremely comfortable, confident and talkative. Hata hivo, I gave up drinking.Mara ya mwisho kunywa ulijisikiaje Paula
Bora uache [emoji23][emoji23][emoji23] maana ingekuharibuExtremely comfortable, confident and talkative. Hata hivo, I gave up drinking.
Sawa haujaanza kusikia kila mziki unaopigwa ni mzuri? Kama bado endelea.Nimemaliza chupa moja nataka niongeze nyingine maana sifeel chochote [emoji16][emoji16]
Umenichekesha, ikipigwa sebene unacheza, ukipigwa bolingo unacheza yani mix akili inakua imeruka, umenikumbusha mbali sanaSawa haujaanza kusikia kila mziki unaopigwa ni mzuri? Kama bado endelea.
Wewe inakuharibu? Mimi sikuwa napenda the feeling of being drunk.Bora uache [emoji23][emoji23][emoji23] maana ingekuharibu
Mimi hapana, kwanza mimi nikinywa huwa nakua mchangamfu sana na kama kuna watoto pembeni watafurahi nitawakusanya pamoja nakuanza kuwafundisha huwa inakuaga kituko sana ila wanainjoi, mimi huwa na kunywa kwa kiasi na pia huwa nazingatia mood,Wewe inakuharibu? Mimi sikuwa napenda the feeling of being drunk.
Hata Gospel songs zikipigwa wewe haujali ni kucheza tu. Tena unaupenda mziki pale unaanza tu kabla haujajua hata ni wimbo gani wewe unakuwa umeshaupenda.Umenichekesha, ikipigwa sebene unacheza, ukipigwa bolingo unacheza yani mix akili inakua imeruka, umenikumbusha mbali sana
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Hata Gospel songs zikipigwa wewe haujali ni kucheza tu. Tena unaupenda mziki pale unaanza tu kabla haujajua hata ni wimbo gani wewe unakuwa umeshaupenda.
Redds or savannahHivi bia gani inawafaa beginners
Hujatupa mrejesho mkuu mambo yamekwendaje. Uliongeza nyingine??Value tena ?? [emoji3][emoji3][emoji3] Ila Shukrani sana Mkuu nimekaribia.