Kwa mara ya kwanza mwaka huu nimeingia Ikulu ya Magogoni

Kwa mara ya kwanza mwaka huu nimeingia Ikulu ya Magogoni

TheDreamer Thebeliever

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2018
Posts
2,490
Reaction score
3,584
Habari wadau..!
Mwaka huu nimepata bahati ya kutinga moja kwa moja white house mjengoni pale Magogoni, asikwambie mtu ikulu patamu.

Wapo wanaosema 2025 mama hatagombea mimi nawaambia ni uongo, yaani hata ningekuwa mimi nisingekubali kuondoka kirahisi mjengoni kuna raha. Mama atagombea na atatoboa tu.

Wala wanaolilia sijuhi Tume Huru Katiba mpya si swala rahisi kama wanavyofikiria,ikulu patamu sana CHADEMA na vyama vingine wataishia tu kukaribishwa kula biliani la ikulu na kupiga picha na marais wapya kila wanapoapishwa,wafanye kazi sana kuitoa CCM ikulu si swala jepesi.
 
Habari wadau..!
Mwaka huu nimepata bahati ya kutinga moja kwa moja white house mjengoni pale Magogoni,asikwambie mtu ikulu patamu.

Wapo wanaosema 2025 mama hatagombea mm nawaambia ni uongo ,yaani hata ningekuwa mm nisingekubali kuondoka kirahisi mjengoni kuna raha.

Wala wanaolilia sijuhi Tume Huru Katiba mpya si swala rahisi kama wanavyofikiria,ikulu patamu sana CHADEMA na vyama vingine wataishia tu kukaribishwa kula biliani la ikulu na kupiga picha na marais wapya kila wanapoapishwa,wafanye kazi sana kuitoa CCM ikulu si swala jepesi.
Tuwekee picha Boss
 
Habari wadau..!
Mwaka huu nimepata bahati ya kutinga moja kwa moja white house mjengoni pale Magogoni,asikwambie mtu ikulu patamu.

Wapo wanaosema 2025 mama hatagombea mm nawaambia ni uongo ,yaani hata ningekuwa mm nisingekubali kuondoka kirahisi mjengoni kuna raha.

Wala wanaolilia sijuhi Tume Huru Katiba mpya si swala rahisi kama wanavyofikiria,ikulu patamu sana CHADEMA na vyama vingine wataishia tu kukaribishwa kula biliani la ikulu na kupiga picha na marais wapya kila wanapoapishwa,wafanye kazi sana kuitoa CCM ikulu si swala jepesi.
Utapaona 'raha' kama agenda yako ni kujinufaisha mwenyewe lakini kama agenda yako ni 'maslahi ya taifa' aisee 'kizungumkuti'.Huku 'mabeberu' huku 'wananchi'.Yaani ni bonge la filamuuu.
 
Waliofaidi hilo jumba BM na JK.
JK nakumbuka alikua waziri kijana enzi za BM.
Sasa akialikwa kuna shughuli mle ndani Wamama mawaziri wengine walikua wanapata tabu sana.
Jamaa nafkiri alitambaa nao wote kwa zamu.
BM yeye alikua hana time na wamama,
Ye ilikua vyombo tu Ballantine ,Whisky JD Twende Na Msosi Mle ndani haukauki Chef Samaki mkubwa kabisa anaeletwa pale feri anapelekwa mle ndani anapikwa mzima mzima.
Na jamaa BM alikua halali nyumba nyeupe.
Kuna Annex kule pembeni,akichoka tu huyooo Annex.
Huku mnabaki na mamma Anna na wadogo zake .
Hapo vyombo sasa ndio vinaliwa mpk kunakucha.
 
Habari wadau..!
Mwaka huu nimepata bahati ya kutinga moja kwa moja white house mjengoni pale Magogoni,asikwambie mtu ikulu patamu.

Wapo wanaosema 2025 mama hatagombea mm nawaambia ni uongo ,yaani hata ningekuwa mm nisingekubali kuondoka kirahisi mjengoni kuna raha.

Wala wanaolilia sijuhi Tume Huru Katiba mpya si swala rahisi kama wanavyofikiria,ikulu patamu sana CHADEMA na vyama vingine wataishia tu kukaribishwa kula biliani la ikulu na kupiga picha na marais wapya kila wanapoapishwa,wafanye kazi sana kuitoa CCM ikulu si swala jepesi.
Karibu tena siku nyingine
 
Waliofaidi hilo jumba BM na JK.
JK nakumbuka alikua waziri kijana enzi za BM.
Sasa akialikwa kuna shughuli mle ndani Wamama mawaziri wengine walikua wanapata tabu sana.
Jamaa nafkiri alitambaa nao wote kwa zamu.
BM yeye alikua hana time na wamama,
Ye ilikua vyombo tu Ballantine ,Whisky JD Twende Na Msosi Mle ndani haukauki Chef Samaki mkubwa kabisa anaeletwa pale feri anapelekwa mle ndani anapikwa mzima mzima.
Na jamaa BM alikua halali nyumba nyeupe.
Kuna Annex kule pembeni,akichoka tu huyooo Annex.
Huku mnabaki na mamma Anna na wadogo zake .
Hapo vyombo sasa ndio vinaliwa mpk kunakucha.
Umemaliza. Itakuwa tunafahamiana mkuu babukijana .
 
Back
Top Bottom