Kwa mara ya kwanza mwaka huu nimeingia Ikulu ya Magogoni

YA KESHO HUTUYAJUI MAMA
Rais wa Guinea Alpha CondΓ© ambaye alibadilisha Katiba na kuweka katiba inayomruhusu kuwania muhula wa tatu wakati wanachi hawamtaki ameangushwa na Vikosi Maalum vya jeshi la Guinea vinavyoongozwa na Kanali Mamadi Doumbouya, Mkuu wa Vikosi Maalum.

Jaribio la mapinduzi lililoanza asubuhi limefanikiwa .

Taarifa kutoka kwa Mkuu wa kikosi cha Couple in Guinea amesema.

Mimi ni Dumbuya ninaeunda kikosi cha CNRD ambacho kitaongoza nchi katika kipindi hiki cha Mpito.
Nimevunja Bunge na Serikali.
Naamuru kusimamishwa kwa Katiba na kuamuru kufungwa kwa mipaka ya ardhini na angani.

Nia yangu ya kuchukua nchi ni kwa sababu ya Rushwa iliyoenea, usimamizi mbaya na ugumu wa maisha unaoonekana nchini.
 
Mbona wanadai wakazi wakuu wa lile jumba kila mmoja kwa wakati wake alipoingia kwa mara ya kwanza ahsubuhi alijikuta ameamkia garden analambwa miguu na kunuswanuswa na wale wanyama wenye mapembe marefu walioko garden
 
Hapo kwenye Annex nikajua tu hawa ni wale wale wa motivated na Pride na delusion fantasies πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚......compromised red ID
 
Hapo kwenye Annex nikajua tu hawa ni wale wale wa motivated na Pride na delusion fantasies πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚......compromised red ID
Mule mule mission
completedπŸ˜‚πŸ€£
 
Niliingia kama mara tatu hivi kipindi cha BM...Magufuli alikua naibu waziri....
 
Inawezekana mkuu miaka inaendaπŸ‘Š.humo ndani nshacheza sana kiasi hata mtaani watu walikua hawanielewi.
Ulitaka wajue unacheza sana ikulu au unapiga sana kale kademu kanakoumwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…