Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli mimi nimeenda leo kwenye Hospital moja hivi Dodoma wakasema system iko down na sijatumia hiyo card since December 2012.Nilipeleka familia..mm hiyo Kadi sijatumia sijui mwaka wangapi huu
Siyo hivyo mfano mimi imenitokea leo na sijaitumia tangu 2012.Tatizo wabongo afya mbovu, kila siku hospital lazima nhif ife.
Sasa kama system haifanyi kazi hiyo card mpya itasaidia nini?Wakikuambia ulipe kataa. Nenda NHIF waambie umepoteza card tafuta loss report renew. It's cheaper.
Ni shingap ku renewWakikuambia ulipe kataa. Nenda NHIF waambie umepoteza card tafuta loss report renew. It's cheaper.
Kama NIDA, elfu 20.Ni shingap ku renew
Hata Sinza Palestina siku hizi ni hosp kubwa tu.Hospitali kubwa tu mkuu
Uzima wako wewe uko wapi kwenye akili hizi? Rubbish and idiot!Tatizo wabongo afya mbovu, kila siku hospital lazima nhif ife.