Iwapo toka 2012 hujaitumia je umekuwa unahakiki kwa maana ni karibu kila mwaka kuna uhakiki unafanyika. Kahakiki la sivyo kadi yako haitaonekana kwenye mfumo wa NHIFNi shingap ku renew
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iwapo toka 2012 hujaitumia je umekuwa unahakiki kwa maana ni karibu kila mwaka kuna uhakiki unafanyika. Kahakiki la sivyo kadi yako haitaonekana kwenye mfumo wa NHIFNi shingap ku renew
Wewe inaonesha ni single maza maana una stress sanaUzima wako wewe uko wapi kwenye akili hizi? Rubbish and idiot!
Vip unataka uwe Mariooo?Wewe inaonesha ni single maza maana una stress sana
[emoji23][emoji23][emoji23] inachekesha kusema uhakiki card wakati wanakata pesa Kila mwezi..Wanahakiki vipi wakati kila mwezi wanakata ela
Kwa nini mnakuwa na hoja za kindezi namna hii nyie? Hivi hamna hata Habari kwamba huu mfuko umeyumba? Mbona hata Waziri wa afya aliwapiga stop walipotaka kuweka mfumo wa wanachama kutibiwa kwa ratiba?? Jadilini hoja iliyoletwa badala ya kujadili mifumo ya maisha ya watu, kwa sababu hata kama unafanya mazoezi unaweza kupata ajali hata huko huko mazoezini , au panya road wakakucharanga mapanga. Tukirudi kwenye mada mimi nadhani kuna tatizo la kuusimamia huu mfuko, mnakumbuka kuna kipindi huu mfuko ulitoa gawio serikalini?? Si ndiyo hawa hawa? Au am wrong?? Kingine mimi nakatwa fedha kila mwezi kwa zaidi ya miaka 15.. Kuna kipindi nakaa miaka 2 sijaenda hospital mimi au familia, sasa inakuwaje? Bima ya afya maana yake ni kwamba watu 1000 mnachangia kila mwezi halafu kwenye huo mwezi labda wabaumwa watu 300 tuu..Fanyeni mazoezi ili msijazane hospitalini
Wewe utakuwa mtu wa NHIFSasa kama system haifanyi kazi hiyo card mpya itasaidia nini?
Sasa ukute una Ngoma Kisukari Presha na Moyo umevimba Vidonge sio chini ya ishirini kwa siku.Ila kuna baadhi ya watu wanakunywa dawa hadi unajiukiza hivi ni kweli hivi vidonge ni sumu mwilini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeelewa ulichokijib lkn...Nilipeleka familia..mm hiyo Kadi sijatumia sijui mwaka wangapi huu
Umechagua shortcut badala ya kupambana na ukweli , nssf inasumbua wastaafu, kwamba nao wamekuwa wengi?Tatizo wabongo afya mbovu, kila siku hospital lazima nhif ife.
Aah wapi mimi ni mlalahoi tu. Anyway tatizo liliisha jana.Wewe utakuwa mtu wa NHIF
Ndugu yangu yale masuala ya gawio yalikuwa ni maigizo tu. Taasisi na Makampuni yalikuwa yanalazimishwa kutoa wakati yalikuwa yamepata hasara na gawio lilikuwa linatakiwa litokane na faida.Kwa nini mnakuwa na hoja za kindezi namna hii nyie? Hivi hamna hata Habari kwamba huu mfuko umeyumba? Mbona hata Waziri wa afya aliwapiga stop walipotaka kuweka mfumo wa wanachama kutibiwa kwa ratiba?? Jadilini hoja iliyoletwa badala ya kujadili mifumo ya maisha ya watu, kwa sababu hata kama unafanya mazoezi unaweza kupata ajali hata huko huko mazoezini , au panya road wakakucharanga mapanga. Tukirudi kwenye mada mimi nadhani kuna tatizo la kuusimamia huu mfuko, mnakumbuka kuna kipindi huu mfuko ulitoa gawio serikalini?? Si ndiyo hawa hawa? Au am wrong?? Kingine mimi nakatwa fedha kila mwezi kwa zaidi ya miaka 15.. Kuna kipindi nakaa miaka 2 sijaenda hospital mimi au familia, sasa inakuwaje? Bima ya afya maana yake ni kwamba watu 1000 mnachangia kila mwezi halafu kwenye huo mwezi labda wabaumwa watu 300 tuu..
Ila ulitibiwa?Nilikwenda jana Rabininsia wakaniambia hivyo. Niliacha card na sijui ntaenda tena lini kuifuatilia