Kwa mara ya kwanza nathubutu kugombea Ubunge

Kwaiyo kiongozi bado unakunywa maji?
 
Hii 🍡 imekosa muendelezo? Au bado unatafuta mchaichai?
 
Kwaiyo kiongozi bado unakunywa maji?
iko tayari ila hawa watu wa kusumarise sijui wanakwamia wapi,

coz it is true that, the next part ni 5 times long ya part 1.

sasa wananambia every paragraph inamaana na, ni lesson, hawaoni waache kipi wapunguze kipi....

I'm checking it myself then naitupia humu ndugu mwananchi...

Just relax kidogo πŸ’
 
Hashim Rungwe aliulizwa kwanini unasema umeibiwa kura? Akajibu kwasababu pole alizopewa ni nyingi kuliko kura alizopata.
Hon. Adv.H.R.Sipunda sio, wa CHAUMA?🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…