Kwa mara ya kwanza nathubutu kugombea Ubunge

Ukipata usinisahau mimi mwana JF mwenzako; nipatie kibarua cha kuwa dereva wako
 
Tuna engage kitantalila!! 🀣🀣🀣
it's unfair for me to engage mwanainchi in a national or international issues, rather than engaging them on issues affecting their day to day lives and that is my duty, and it is very significant and interesting when someone with ambitions of being a leader of any capacity πŸ’
 
Tunaomba mabomba yatoe maziwa😌
na tutaanza kazi ya ufugaji mang'ombe ya maziwa na nyama kwa kisasa, na ndio sasa tupate maziwa ya kutosha, nyama nzuri, lakini pia ngozi yenye kukidhi viwango vya soko la kitaifa na kimataifa .....πŸ’
 
Mzee Usinikumbushe hii safari ya Majuto kwangu mwaka 2015 Niligombea Nikakosa nikawa Mshindi wa sita kura za maoni..

Mwaka 2020 Nilikuwa Mshindi wa Tatu ila bado Sijakata tamaa Ila hakuna Safari Ngumu kama Siasa utapoteza Pesa nyingi sana
 
we tlaatlaah wewe
 
Dah wewe Ni fa*** 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Malizia story tujifunze kitu mkuu, wengine tuliishia kura za maoni maana 2020 mchuano ulikua mkali sana ndani ya chama.πŸ˜…
 
Yeah! 😊 Hukufika mwisho Bwana.

Wajumbe sio watu wazuri.
🀣sasa mbona ile ya wajumbe ilikua rahisi sana na wala haikua na habari ya kuzunguka kata kwa kata kuomba kura direct kwa wanainchi πŸ’

ya wajumbe ina kastori kake, but very short ukilinganisha na ile ya mara ya kwanza πŸ’
 
kuna hawa vijana myika na zito,
kuna Taasisi moja iko sinza mori huko dar es salaama inaitwa CGG, ilikua inahusika na masuala ya utawala bora na uongozi kwa ujumla
Wewe ni mpuuzi mmoja tu ambaye sidhani hata kama unaelewa unachokijibu!

Sio mara ya kwanza kukuuliza swali hili naomba niliulize tena , wewe ni mbunge wa jimbo gani na waziri wa wizara ipi kama unavyojitanabaisha mara kwa mara humu!

Taja jimbo wapo humu hao wananchi wako unaosema unawaongoza na wengine tusiokuwepo humu tutalichambua hilo jimbo na wizara husika ila sio unaleta hapa hekaya za abunuwasi halafu unataka nizibebe?

sasa mwalimu si unarelax tu, ukiwa una fundisha na kurekebisha Grama za badiko langu muhimu sana la confidence building kwa ambitious youthsπŸ’
Wenye mihemko wapo huko CCM wao hata mvua ikinyesha wanamshukuru Samia!
mihemko sio issues sana ya kubabaika nayo, mimi,
Kumbe unaongoza wanaonchi na sio wananchi ? Hivi huu uandishi wa wapi mara mbambamba ndio vitu gani hivyo ??
wanaonchi na hawa ambitious youths tunasonga pamoja vizuri sana bila mbambamba yoyote aiseπŸ’
 
Malizia story tujifunze kitu mkuu, wengine tuliishia kura za maoni maana 2020 mchuano ulikua mkali sana ndani ya chama.πŸ˜…
ile ya wajumbe haikua nzuri saana ilikua ni kama mechi za mtoano tu πŸ’

but kabla ya hiyo ya wajumbe,

mchuano ulikua mkali sana, maelezo na kujieleza kwako mbele ya wanachama wote, sio wajumbe pekeyake ilikua tamu zaidi.

kama ulikua unakimbia presentation darasani mtaani utakutana nazo tu πŸ’

hadi wazee kabisa wanatetemeka kujieleza 🀣
 
Wananchi
 
mwalimu unababaika sana aise, unakwamia wapi kwani? πŸ’

halafu ni wewe pekeyako ndio hujaelewa, unababaika na grammar, si urekebishe tu taratibu na hawa hawa wangwana wa JF wajifunze na kufahamu usahihi wa hizo grammar taratibu na tusonge mbele pamoja πŸ’

hata hivyo ile muhimu zaidi ni content. ukiona content inakufaa unaichukua na ukiona haina maana unatembea mbele taratibu bila kumkanyaga mwenzio kwa kebehi, dhihaka wala mchecheto πŸ’

Lakini pia hii kazi ya wanainchi, wewe huna haja kubabaika nayo, hiyo nang'ang'ana nayo mimi na wao mpka tufike pale ambapo tumelenga na tumekubaliana kufika πŸ’

Jambo la maana zaidi, nadhani wewe ungesaidia sana kurekebisha sarufi tu kwenye mabandiko ya maana kama haya, hii kazi inakufaa sana mwalimu, inakupendeza sana, na kwakweli nimekufurahia sana kwahilo 🌹

kwako mwalimu Matrix19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…