Kwa mara ya kwanza nimehisi kuwa na umuhimu


m8 mkuu,

sijawai shika iyo pesa….
 
maisha yanaogopesha sana kwa sisi watoto wa kiume wakubwa😬

sijui nikimaliza chuo itakuwaje
Hata usiwaze kaka mambo hua yanakaaga sawa yenyewe kikubwa ww nae uwe unajitosa 🤔🤔shule ina njia zake na mtaa una njia zake, atakaekusaidia sio unayeamini atakusaidia ukimaliza shule utakutana na watu wengn kbs
 
Usisahau zaka na sadaka hapo tenga kama millioni 1.. then hIyo million 5 iliyobaki nunua uwanja mkubwa sana hata wa million 3 then 2 nenda nayo taratbu kwa mambo mengine

NB; USISAHAU KUJIPONGEZA KWA KUFANYA JAMBO LINALOKUPA FURAHA SANA
Zaka na sadaka ni WIZI.

Mleta mada usipeleke hata Mia kanisani.

Bora hiyo hela ukawape yatima wasio jiweza au walemavu barabarani.
 
Amesema ni Mwl.
Fanya kaanza kazi mwezi wa Kwanza
Fanya hakatwi bodi Wala chama sijui Cha walimu.
Fanya pesa anayolipwa hata kumi hakatwi.
Na huu ni mwezi wa nane.
Jibu ni kuwa Mwl analipwa 1m kwa mwezi na toka mwezi wa Kwanza hajatumia hiyo hela hata Mia
Ndio hiyo 8m ilivokuja Au sio !
 
Akikujibu nitag
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…