Kwa mara ya kwanza nimehisi kuwa na umuhimu

Kwa mara ya kwanza nimehisi kuwa na umuhimu

Hivi wale wanaofanya Kwa UN organisation kama UNHCR kwenye Kambi za wakimbizi wanaweza kuwa wanalipwa ngapi
 
Baada ya kumaliza Chuo mwaka jana life ikapiga vibaya mno, kila muda nilikuwa nawaza jinsi gani nitasaidia familia yangu (Ni mtoto wa kiume mkubwa) Ilikuwa inauma sana pale ambapo unaamka asubuhi huna cha kufanya hadi kuna muda unahisi kama kifua kinabana.

Kuna muda nakaa najitafakari naona kama ni mzigo home, but hakuna aliyewahi niambia, sister kuna muda mshahara ukitoka ananitoa laki basi maisha yanaenda.

Mwanzoni mwa mwaka huu kuna mchongo nikaupata katika harakati za kushughulikia ili utiki, nikawa naingia katika mzozo sana na mzee maana mara nyingi nilikuwa narudi usiku anamind, ananisema ila kwa upande wangu inaniuma lakini nakaza ili isionekane kama imeuma (akaanza kuona kama namdharau) sasa kuna muda huna nauli kuomba siwezi so nachukua bike kutoka home hadi kwenye michakato as usual narudi usiku.

Kwenye kuhangaika hivyo mchongo ukatiki nikatumiwa mkataba nikasign nikaenda kazini, nikaona afadhali nimetoka home, mchongo unalipa fresh tu, silipi kodi wala bills kama maji, umeme na utilities zingine, na ni apartment nzuri unyama ni mwingi.

Leo account imesoma kwa newhires wote mzigo umesoma almost M 8, nikatoa M2 nimewatumia home, bi mkubwa ameshukuru mnooo, kuna ile feeling ya kuwa Now na wewe ni wa muhimu, sijawahi jisikia vizuri kama leo, ameninenea maneno ya Baraka hadi nikahisi zinajaa physically. Leo na mimi nimehisi ni wa muhimu.
Kuna usemi huwa nauona kwenye picha ya gari kubwa la mizigo unasema "Nahangaika usiku kucha,ili watoto wangu wakikua waimbe nani kama mama"

Yaani sacrifices zote alizofanya baba yako kukulea na kukusomesha ,kujinyima kwa ajili Yako na ndugu zako,ili mradi tu msome na kukua katika nazingira mazuri haujaziona,umeona mama ndiye anastahili sehemu ya mshahara wako wa kwaza,sio baba?Kwa mujibu Maelezo yako ni kwamba mpaka unaondoka kwenda kuanza kazi ulitoka mikononi mwa baba.Lakini unamuona kama kibwengo tu.Haukusema kwenye Maelezo yako kuwa mama pekee ndiye alikusomesha.Basi ungefabya fair,ukagawa hiyo hela nusu kwa baba ,nusu kwa mama.

Uzuri wa haya mambo ni kuwa wewe ni mwanaume.Utaanzisha familia.Mtapata watoto.Utalala tongo macho ukiwauguza,ukibembeleza wakilia,ukikesha kazini kutafuta mahitaji yao .Utapata stress pale mambo yasipoenda vizuri na mama Yao atakuwa anakuangalia tu, bila msaada wowote kwakuwa wewe utakuwa ndiye kichwa cha familia.Mwisho wa siku watoto wako watakua na kundoka nyumbani.Watatuma hela kwa mama yao,bila wewe kujua na watakuwa wakiimba NANI KAMA MAMA.
 
Baada ya kumaliza Chuo mwaka jana life ikapiga vibaya mno, kila muda nilikuwa nawaza jinsi gani nitasaidia familia yangu (Ni mtoto wa kiume mkubwa) Ilikuwa inauma sana pale ambapo unaamka asubuhi huna cha kufanya hadi kuna muda unahisi kama kifua kinabana.

Kuna muda nakaa najitafakari naona kama ni mzigo home, but hakuna aliyewahi niambia, sister kuna muda mshahara ukitoka ananitoa laki basi maisha yanaenda.

Mwanzoni mwa mwaka huu kuna mchongo nikaupata katika harakati za kushughulikia ili utiki, nikawa naingia katika mzozo sana na mzee maana mara nyingi nilikuwa narudi usiku anamind, ananisema ila kwa upande wangu inaniuma lakini nakaza ili isionekane kama imeuma (akaanza kuona kama namdharau) sasa kuna muda huna nauli kuomba siwezi so nachukua bike kutoka home hadi kwenye michakato as usual narudi usiku.

Kwenye kuhangaika hivyo mchongo ukatiki nikatumiwa mkataba nikasign nikaenda kazini, nikaona afadhali nimetoka home, mchongo unalipa fresh tu, silipi kodi wala bills kama maji, umeme na utilities zingine, na ni apartment nzuri unyama ni mwingi.

Leo account imesoma kwa newhires wote mzigo umesoma almost M 8, nikatoa M2 nimewatumia home, bi mkubwa ameshukuru mnooo, kuna ile feeling ya kuwa Now na wewe ni wa muhimu, sijawahi jisikia vizuri kama leo, ameninenea maneno ya Baraka hadi nikahisi zinajaa physically. Leo na mimi nimehisi ni wa muhimu.
Hiyofeeling uliyoipata, ikufanye upige mambo zaidi ili uipate zaidi
 
Kabla hujamaliza chuo hakikisha una demu wa uhakika wa mwaka wa kwanza, asiwe wa hostel lakini. Utakuja kunishukuru Mkuu.

Wakati unajitafuta atakuwa mtu muhimu sana kwako.

NB: Uhakika sio wa msambwanda na utelezi. Ni uhakika wa uchumi wa Ba Mkwe 😂😂
 
Baada ya kumaliza Chuo mwaka jana life ikapiga vibaya mno, kila muda nilikuwa nawaza jinsi gani nitasaidia familia yangu (Ni mtoto wa kiume mkubwa) Ilikuwa inauma sana pale ambapo unaamka asubuhi huna cha kufanya hadi kuna muda unahisi kama kifua kinabana.

Kuna muda nakaa najitafakari naona kama ni mzigo home, but hakuna aliyewahi niambia, sister kuna muda mshahara ukitoka ananitoa laki basi maisha yanaenda.

Mwanzoni mwa mwaka huu kuna mchongo nikaupata katika harakati za kushughulikia ili utiki, nikawa naingia katika mzozo sana na mzee maana mara nyingi nilikuwa narudi usiku anamind, ananisema ila kwa upande wangu inaniuma lakini nakaza ili isionekane kama imeuma (akaanza kuona kama namdharau) sasa kuna muda huna nauli kuomba siwezi so nachukua bike kutoka home hadi kwenye michakato as usual narudi usiku.

Kwenye kuhangaika hivyo mchongo ukatiki nikatumiwa mkataba nikasign nikaenda kazini, nikaona afadhali nimetoka home, mchongo unalipa fresh tu, silipi kodi wala bills kama maji, umeme na utilities zingine, na ni apartment nzuri unyama ni mwingi.

Leo account imesoma kwa newhires wote mzigo umesoma almost M 8, nikatoa M2 nimewatumia home, bi mkubwa ameshukuru mnooo, kuna ile feeling ya kuwa Now na wewe ni wa muhimu, sijawahi jisikia vizuri kama leo, ameninenea maneno ya Baraka hadi nikahisi zinajaa physically. Leo na mimi nimehisi ni wa muhimu.
Hongera mkuu kila la kheri
Ubarikiwe
 
Ko umebaki na 6million cash? Emu ni piem kuna maelekezo muhimu nataka kukupa [emoji4][emoji4]
Sasa akupm wewe pm yako si imefungwa Na kuchomewa welding kabisa, itabidi tuite mafundi Kwanza kuja kuvunja kama alivyofanya insider kwenye nyumba ya Irene[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Fresh graduate wa MWAKA JANA!! hajasema alsomea kozi gani!! Leo imesoma kwa new hires wote!! Maana yake ni mwajiriwa mpya serikalini / taasisi za umma maana jana na leo ndo wanaingiziwa mpunga wao!! Hakuna mwajiriwa mpya hata mmoja anayeweza kupata net pay ya M8 maana yake basic salary ni zaidi ya M10!! Hadithi ikikosa uhalisia huwa haifikii malengo yake!!

Ila ninavyodhani: Huyu ni mwajiriwa mpya!! alivyopata hako kahela kiduchu baada ya msoto mrefu, hizo pesa anaziona ni nyingi sana kama M8 vile!! hakuzitegemea!! Nakumbuka kuna mtu alivyoanza ajira tu alinunua baiskeli!! Hiyo baiskeli alikuwa anaiita PAJERO!! Wakati huo magari ya Pajero yalikuwa yanavuma sana!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom