Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wachezaji sio wanafunzi?
Kuna usemi huwa nauona kwenye picha ya gari kubwa la mizigo unasema "Nahangaika usiku kucha,ili watoto wangu wakikua waimbe nani kama mama"Baada ya kumaliza Chuo mwaka jana life ikapiga vibaya mno, kila muda nilikuwa nawaza jinsi gani nitasaidia familia yangu (Ni mtoto wa kiume mkubwa) Ilikuwa inauma sana pale ambapo unaamka asubuhi huna cha kufanya hadi kuna muda unahisi kama kifua kinabana.
Kuna muda nakaa najitafakari naona kama ni mzigo home, but hakuna aliyewahi niambia, sister kuna muda mshahara ukitoka ananitoa laki basi maisha yanaenda.
Mwanzoni mwa mwaka huu kuna mchongo nikaupata katika harakati za kushughulikia ili utiki, nikawa naingia katika mzozo sana na mzee maana mara nyingi nilikuwa narudi usiku anamind, ananisema ila kwa upande wangu inaniuma lakini nakaza ili isionekane kama imeuma (akaanza kuona kama namdharau) sasa kuna muda huna nauli kuomba siwezi so nachukua bike kutoka home hadi kwenye michakato as usual narudi usiku.
Kwenye kuhangaika hivyo mchongo ukatiki nikatumiwa mkataba nikasign nikaenda kazini, nikaona afadhali nimetoka home, mchongo unalipa fresh tu, silipi kodi wala bills kama maji, umeme na utilities zingine, na ni apartment nzuri unyama ni mwingi.
Leo account imesoma kwa newhires wote mzigo umesoma almost M 8, nikatoa M2 nimewatumia home, bi mkubwa ameshukuru mnooo, kuna ile feeling ya kuwa Now na wewe ni wa muhimu, sijawahi jisikia vizuri kama leo, ameninenea maneno ya Baraka hadi nikahisi zinajaa physically. Leo na mimi nimehisi ni wa muhimu.
Hiyofeeling uliyoipata, ikufanye upige mambo zaidi ili uipate zaidiBaada ya kumaliza Chuo mwaka jana life ikapiga vibaya mno, kila muda nilikuwa nawaza jinsi gani nitasaidia familia yangu (Ni mtoto wa kiume mkubwa) Ilikuwa inauma sana pale ambapo unaamka asubuhi huna cha kufanya hadi kuna muda unahisi kama kifua kinabana.
Kuna muda nakaa najitafakari naona kama ni mzigo home, but hakuna aliyewahi niambia, sister kuna muda mshahara ukitoka ananitoa laki basi maisha yanaenda.
Mwanzoni mwa mwaka huu kuna mchongo nikaupata katika harakati za kushughulikia ili utiki, nikawa naingia katika mzozo sana na mzee maana mara nyingi nilikuwa narudi usiku anamind, ananisema ila kwa upande wangu inaniuma lakini nakaza ili isionekane kama imeuma (akaanza kuona kama namdharau) sasa kuna muda huna nauli kuomba siwezi so nachukua bike kutoka home hadi kwenye michakato as usual narudi usiku.
Kwenye kuhangaika hivyo mchongo ukatiki nikatumiwa mkataba nikasign nikaenda kazini, nikaona afadhali nimetoka home, mchongo unalipa fresh tu, silipi kodi wala bills kama maji, umeme na utilities zingine, na ni apartment nzuri unyama ni mwingi.
Leo account imesoma kwa newhires wote mzigo umesoma almost M 8, nikatoa M2 nimewatumia home, bi mkubwa ameshukuru mnooo, kuna ile feeling ya kuwa Now na wewe ni wa muhimu, sijawahi jisikia vizuri kama leo, ameninenea maneno ya Baraka hadi nikahisi zinajaa physically. Leo na mimi nimehisi ni wa muhimu.
😂😂😂Ko umebaki na 6million cash? Emu ni piem kuna maelekezo muhimu nataka kukupa [emoji4][emoji4]
Ukilipwa 12m Mkuu, mimi na Uwakili wangu ntalipwa 15m kwa hiyo organisation yao 😂😂Kama ww na degree Yako ya education unalipwa Milioni 8 basi mimi CPA nitalipwa 12m hapo kwenye organization yenu.
Mimi nitalipwa mil 18Ukilipwa 12m Mkuu, mimi na Uwakili wangu ntalipwa 15m kwa hiyo organisation yao 😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahah kama yote mzee maana si ndio kwenye mzinga wa asaliOya kumbe magogoni na ubalozi wa biden maokoto ni ya kumwaga?
Panga. Appartment yako mzee, ni kozi gani umesomea?
Me nahisi nitakunja 20m kabisa 😂😂😂Ukilipwa 12m Mkuu, mimi na Uwakili wangu ntalipwa 15m kwa hiyo organisation yao 😂😂
Duh kumbe shule bado zipoMaisha yanaogopesha sana kwa sisi watoto wa kiume wakubwa😬
Sijui nikimaliza chuo itakuwaje
Mpwayungu Village mwalimu huku anakunja 8mUalimu
Mimi Nikila hapo shavu nitachezea kwenye 25milMimi nitalipwa mil 18
Hongera mkuu kila la kheriBaada ya kumaliza Chuo mwaka jana life ikapiga vibaya mno, kila muda nilikuwa nawaza jinsi gani nitasaidia familia yangu (Ni mtoto wa kiume mkubwa) Ilikuwa inauma sana pale ambapo unaamka asubuhi huna cha kufanya hadi kuna muda unahisi kama kifua kinabana.
Kuna muda nakaa najitafakari naona kama ni mzigo home, but hakuna aliyewahi niambia, sister kuna muda mshahara ukitoka ananitoa laki basi maisha yanaenda.
Mwanzoni mwa mwaka huu kuna mchongo nikaupata katika harakati za kushughulikia ili utiki, nikawa naingia katika mzozo sana na mzee maana mara nyingi nilikuwa narudi usiku anamind, ananisema ila kwa upande wangu inaniuma lakini nakaza ili isionekane kama imeuma (akaanza kuona kama namdharau) sasa kuna muda huna nauli kuomba siwezi so nachukua bike kutoka home hadi kwenye michakato as usual narudi usiku.
Kwenye kuhangaika hivyo mchongo ukatiki nikatumiwa mkataba nikasign nikaenda kazini, nikaona afadhali nimetoka home, mchongo unalipa fresh tu, silipi kodi wala bills kama maji, umeme na utilities zingine, na ni apartment nzuri unyama ni mwingi.
Leo account imesoma kwa newhires wote mzigo umesoma almost M 8, nikatoa M2 nimewatumia home, bi mkubwa ameshukuru mnooo, kuna ile feeling ya kuwa Now na wewe ni wa muhimu, sijawahi jisikia vizuri kama leo, ameninenea maneno ya Baraka hadi nikahisi zinajaa physically. Leo na mimi nimehisi ni wa muhimu.
Sasa akupm wewe pm yako si imefungwa Na kuchomewa welding kabisa, itabidi tuite mafundi Kwanza kuja kuvunja kama alivyofanya insider kwenye nyumba ya Irene[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ko umebaki na 6million cash? Emu ni piem kuna maelekezo muhimu nataka kukupa [emoji4][emoji4]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Fresh graduate wa MWAKA JANA!! hajasema alsomea kozi gani!! Leo imesoma kwa new hires wote!! Maana yake ni mwajiriwa mpya serikalini / taasisi za umma maana jana na leo ndo wanaingiziwa mpunga wao!! Hakuna mwajiriwa mpya hata mmoja anayeweza kupata net pay ya M8 maana yake basic salary ni zaidi ya M10!! Hadithi ikikosa uhalisia huwa haifikii malengo yake!!
Ila ninavyodhani: Huyu ni mwajiriwa mpya!! alivyopata hako kahela kiduchu baada ya msoto mrefu, hizo pesa anaziona ni nyingi sana kama M8 vile!! hakuzitegemea!! Nakumbuka kuna mtu alivyoanza ajira tu alinunua baiskeli!! Hiyo baiskeli alikuwa anaiita PAJERO!! Wakati huo magari ya Pajero yalikuwa yanavuma sana!!