Kwa mara ya kwanza nimehisi kuwa na umuhimu

Kwa mara ya kwanza nimehisi kuwa na umuhimu

Mishangazi unayoshinda unatongozana nayo itakupa Connection... endelea kupoteza muda tu, uje u-graduate na ngoma na Ka-GPA kako ka mbili "2" ndo uone kwann aloevera ni chungu [emoji4][emoji1474]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]
Mwambie huyo, tukimwambia sisi hasikii!!
 
Usisahau zaka na sadaka hapo tenga kama millioni 1.. then hIyo million 5 iliyobaki nunua uwanja mkubwa sana hata wa million 3 then 2 nenda nayo taratbu kwa mambo mengine

NB; USISAHAU KUJIPONGEZA KWA KUFANYA JAMBO LINALOKUPA FURAHA SANA
We nae ndege tai acha kumpa mawazo huyo Zwazwa kwa pesa zake za kufikirika na kutunga hapa.

Alipwe M8 yeye ni mkuu wa Wilaya au Mkuu wa Mkoa?! Hata DAS na RAS hawalipwi hivyo 😂
Kachanganyikiwa huyo
 
Milioni 8
Mshahara huo ni kampuni gani na kwa fani gani na kwa elimu gani we ZWAZWA?! au wanakukula kiboga?! Okay! Hiyo ni take home, what's an exact amount mliyokubaliana na Kodi ukatwe kiasi gani ibaki 8M?!

Wacha kujipa laana! Hiyo pesa uliyoitaja hapo wanalipwa Ma-DC na Ma-RC, Ma-DAS na Ma-RAS... hata mwenye CPA na ACCIA na CPB na CPI hawalipwi pesa hizo!

Hebu fanya ulale usisahau kutandika vyema utoe mchanga kwenye hilo godoro lako
 
nawambia kitu hapa,,, mtt wa kiume ulie na wazaz wote,,,, ukapata chchte kitu,, jitahid sana kumjali baba ako,, jitahid sana yy ndo atampa mama ako matumiz kwa nn nasema hivyo coz baba alikuwa na mama ako na anamtunza toka ww hujazaliwa, sasa leo unaingilia kaz ya baba kumtunza mke wake, dharau sana hii, kumbuka baba ndo kakuletea mama unaemuona bora kuliko baba ako,, maana bila baba ungemuona huyo mama ako? pia ukumbuke na ww unazaa watt,, na utazeeka unavyomtenga msure hivyohvyo na ww uzeen,na ndo utakumbuķa... hakika nawambia vijana wa kiume tunazingua sana na muwe makina sana na maneno ya uchonganish ya mama kwenda kwa baba ako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana wa kizazi cha mabange wakishakula na kushiba huko keko magurumbasi kwa mashemeji zao na bando zao za buku jero huwa wana shida sana! Wanaandika tu hata wasivyovijua, stimu za bange

MAANINA! 😂
junior employee and fresh from college with no job experience anakula take home ya 8 million. bongo raha sana aise.
 
Unanifaa. Muda wa kumaliza ukikaribia ni-PM. Punguza woga wa maisha mdogo wangu. Humu JF kuna kila kitu, endapo ukiitumia vizuri lakini.
Muulize kwanza yuko level gani?! Kama ni cheti achana nae katafute vijana wanaojitambua walio compentent na wanaojua wanachokifanya huko LinkedIn...

Naamini huyo dogo hata HTML haijui, unabisha panga appointment nae mpe assigment achape Code atengeneze neno "HELLO WORLD!"

Utaona vituko na Utaleta mrejeshi hapa 😂
 
Babu nahaha naye nikiwa na margarita shots [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Afu yeye muda huo katulia kwenye pick up yake ya mkaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huendi mbingunii wee
 
Mimi nisha retire binti yangu, and by the time mimi nashika laki 4, probably wewe ulikuwa hujazaliwa au mostly likely ulikuwa bado unanyonya vidole. Anyways, enjoy your youth na hizo imaginary fantasy zako. I have grandsons pia wenye fantasy kama zako, tofauti tu ni kwamba at least wao wapo in a country where hizo USD 3500 ain't a big deal to stress them out. Uwe na amani 👍🏾
Vitoto vya JF visenge sana hivi... vinasoma username zetu vinahisi tuko tunateseka wote, au vinatafsiri na kuhisi tutakuwa tunasota pamoja kumbe neno linaweza kuwa na maana zaidi ya kumi! Wacha vidanganyane
 
Back
Top Bottom