Kwa mara ya kwanza nimehisi kuwa na umuhimu

Kwa mara ya kwanza nimehisi kuwa na umuhimu

Sasa ukotaka kupata pesa zaidi hebu kuwa muumini wa pale kidimbwi au kc alafu tunamalizia na wavuvi mzee huko ndipo watu wanapeana madili ww chomoka na 500k kila siku kale maisha kabla hazijaisha hizo 6m unakua u.eshapata mchongo wa over 120m 😂😂😂
 
Kutokana na maisha ya kukosa wazazi wa kunisomesha ili nibidi ni hustle kwanza na kuanza bachelor nikiwa na miaka 25..!!!!

Hivyo kuwa chuo sio udogo.

#YNWA
Gotcha! Lakini huyu alivyoongea si kama ana situation kama yako! Seems like ni fresher huyu! Anyways,this is JF
 
Vitu vingine ni simple sana! Me nilianza kazi as a fresher nikavuta 21M mkopo baada ya miezi 6! Inategemea na ulipoajiriwa kijana! Tena sio miaka mingi kiivo ilikuwa 2015
Mimi sio kijana bwana mdogo. Loan na grants zinaeleweka sio utuambie net payment yako ni 8M. Kwa soko gani la ajira lililopo Tanzania..?
 
Baada ya kumaliza Chuo mwaka jana life ikapiga vibaya mno, kila muda nilikuwa nawaza jinsi gani nitasaidia familia yangu (Ni mtoto wa kiume mkubwa) Ilikuwa inauma sana pale ambapo unaamka asubuhi huna cha kufanya hadi kuna muda unahisi kama kifua kinabana.

Kuna muda nakaa najitafakari naona kama ni mzigo home, but hakuna aliyewahi niambia, sister kuna muda mshahara ukitoka ananitoa laki basi maisha yanaenda.

Mwanzoni mwa mwaka huu kuna mchongo nikaupata katika harakati za kushughulikia ili utiki, nikawa naingia katika mzozo sana na mzee maana mara nyingi nilikuwa narudi usiku anamind, ananisema ila kwa upande wangu inaniuma lakini nakaza ili isionekane kama imeuma (akaanza kuona kama namdharau) sasa kuna muda huna nauli kuomba siwezi so nachukua bike kutoka home hadi kwenye michakato as usual narudi usiku.

Kwenye kuhangaika hivyo mchongo ukatiki nikatumiwa mkataba nikasign nikaenda kazini, nikaona afadhali nimetoka home, mchongo unalipa fresh tu, silipi kodi wala bills kama maji, umeme na utilities zingine, na ni apartment nzuri unyama ni mwingi.

Leo account imesoma kwa newhires wote mzigo umesoma almost M 8, nikatoa M2 nimewatumia home, bi mkubwa ameshukuru mnooo, kuna ile feeling ya kuwa Now na wewe ni wa muhimu, sijawahi jisikia vizuri kama leo, ameninenea maneno ya Baraka hadi nikahisi zinajaa physically. Leo na mimi nimehisi ni wa muhimu.

Umuhimu wako haupo kwenye Pesa.
Na mzazi au MTU anayeomba umuhimu wako Kwa sababu umempa Pesa huyo ni Tapeli, sio MTU sahihi.
 
Sema nini watoto wa kiume wakati mwingine tunazingua sana, kwa nini usimtumie mzee hiyo pesa ukizingatia yeye ndiye kichwa cha familia

Watoto wetu watakuja kututendea hivyohivyo tukishazeeka. Hapo ndo ujue wanaume tumeumbwa mateso

Wasure wanazingua wakishazeeka unatuma ela wapambanie msosi siku ukikatiza home anakuvuta chemba anakuchana usimwambie mama yako Kama ulituma ile ela nilirekebishia mlango au kitu gani sijui nje ya kununua misosi inabidi uue so kwa kutoa ela ya chakula so unaingia gharama Mara mbili kwa kitu kile kile, true story!
 
Wakati mwing

Wakati mwingine hadithi kama hizi huwa zinamriwaza mtu!! unajitungia hadithi nzuri angalau ikutie moyo huku ukiomba siku moja iwe kweli!! Ila hata kama ni hadithi, ungejaribu kuipa uhalisia kidogo!! hapo kwenye M8 bongo hii umechapia sana!! Kama ni upigaji sawa!! lakini new hire??? jaribu kutunga kwa uhalisia wakati mwingine!!
amepika data vibaya au sio??
 
Asante Mungu wewe huna choyo. Jina lako lipewe sifa, baba bariki na wengine ambao hawana kazi wapate hata kidogo.

Baba wakumbuke wote wasio na kazi wanaangaika bila msaada , kwa wakati huu ambapo hawawezi kuhudumia wazazi baba wewe simama walinde na maradhi na majanga ya aina yeyote.

Baba hata wale walio na kazi bariki hicho kidogo wanachokipata lakini pia wakumbuke kusaidia wazazi pia wengine.

Baba na nakuomba sala hii nakuomba uipokee kwa niaba ya wote tuliosoma hapa, najua kabisa sijui kuomba ipasavyo ila pokea pokea maombi haya hivyo hivyo.

Mungu baba kubwa kuliko yote, ninakuomba utulindie wazazi waone mafanikio yetu. Amina.
Ameen
 
Mzee kahangaika sana kutafuta pesa za kuwasomesha na kuwalisha ila mtoto akipata anaekumbukwa ni Mama, DUH!!

Pesa ilibid umtumie aliekuwa na majukumu yakuwatafutia pesa (baba), mama nae akipewa anashukuru.

Hii na wewe inaweza kukurudia ukipata watoto.
Pengine mama ndie kichwa cha familia yao. Usimlaumu.
 
Mimi sio kijana bwana mdogo. Loan na grants zinaeleweka sio utuambie net payment yako ni 8M. Kwa soko gani la ajira lililopo Tanzania..?
Okay bwana mkubwa manake unapenda ukubwa bloo😀😀
Huyu mleta mada hajasema hiyo ni salary,labda ni mkopo au nini! Sio payment
 
Baada ya kumaliza Chuo mwaka jana life ikapiga vibaya mno, kila muda nilikuwa nawaza jinsi gani nitasaidia familia yangu (Ni mtoto wa kiume mkubwa) Ilikuwa inauma sana pale ambapo unaamka asubuhi huna cha kufanya hadi kuna muda unahisi kama kifua kinabana.

Kuna muda nakaa najitafakari naona kama ni mzigo home, but hakuna aliyewahi niambia, sister kuna muda mshahara ukitoka ananitoa laki basi maisha yanaenda.

Mwanzoni mwa mwaka huu kuna mchongo nikaupata katika harakati za kushughulikia ili utiki, nikawa naingia katika mzozo sana na mzee maana mara nyingi nilikuwa narudi usiku anamind, ananisema ila kwa upande wangu inaniuma lakini nakaza ili isionekane kama imeuma (akaanza kuona kama namdharau) sasa kuna muda huna nauli kuomba siwezi so nachukua bike kutoka home hadi kwenye michakato as usual narudi usiku.

Kwenye kuhangaika hivyo mchongo ukatiki nikatumiwa mkataba nikasign nikaenda kazini, nikaona afadhali nimetoka home, mchongo unalipa fresh tu, silipi kodi wala bills kama maji, umeme na utilities zingine, na ni apartment nzuri unyama ni mwingi.

Leo account imesoma kwa newhires wote mzigo umesoma almost M 8, nikatoa M2 nimewatumia home, bi mkubwa ameshukuru mnooo, kuna ile feeling ya kuwa Now na wewe ni wa muhimu, sijawahi jisikia vizuri kama leo, ameninenea maneno ya Baraka hadi nikahisi zinajaa physically. Leo na mimi nimehisi ni wa muhimu.

I love payin' rent when the rent's due
I hope you got the diamond necklace that I sent to you
'Cause when I was low you was there for me
And never left me alone, because you cared for me
And I could see you comin' home after work late
You're in the kitchen, tryin' to fix us a hot plate

-2Pac "Dear Mama".
 
Back
Top Bottom