Kwa mara ya kwanza nimekuwa na mahusiano na wanaume wawili





toa sifa za kila mmoja unazompendea
 
kashapata Mimba tiyar sijui ya yupi? na anataka kuitoa shehjzn type
 
Umeshakuwa malaya
 
Halafu mnasema wanawake mama zetu, shabaaaash kuna wanawake hawako kwenye kundi la mama zetu
 
Nimegundua kumbe una mwanaume mwingine 😬, Leo nakupakia mkongo😂😂
 
Anaogopa matusi..kejeli ..dharau na masimango..atakapo kuwA single mother..

Unafiki kweli mbaya.. ..humu kuna watu mafedhuli mno kwa single mother..kiasi Cha kuvunja moyo kabisa..

Utadhani hizo mimba wanajipa wenyewe..sasa leo..huyo mmoja hataki manyanyaso watu wamemkomalia ile ile...


Zaa mama.inaweza kuwa ni sababu ya nyie kuelewana..au kama una yako mengine...kumbwaga mzee ..Lea mwenyewe..

Huku kwetu tunaoa mwanamke hata kwenye wajukuu..
 
Wagongashe tu hakuna namna
 
Wagongashe tu hakuna namna
 
niongeze na mimi,kisha uwaache hao bawili
 
Mimba ya sasa ni ya yupi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…