Kwa mara ya kwanza nimekuwa na mahusiano na wanaume wawili

Kwa mara ya kwanza nimekuwa na mahusiano na wanaume wawili

Ongeza ongeza wafike hata wanne watano hivi inaitwa BACK UP ukriseti unaristore tu.
 
Huyo wa pili inaonekanwa anamzibua kisawasawa mara nyingi ndivo inavyokua
Sometimes ni kuchokana tu keshamchoka wa kwanza ko kamtaftia mapungufu yake na uyo pili kamuongezea sifa ata sizizokuepo ili tu airidhishe nafsi yake
 
Endelea kuchimba shimo, halafu uje useme mumeo anakibamia.
 
Ni muelewa na mtu mzuri tu kuna matatizo madogo madogo kati yetu lkn mara nyingi tuna solve na kuendelea. Mimi mwnywe sijui kwann nilikubali kua na mahusiano na huyu kaka wapili lakini nampenda pia na yeye ni muelewa na mpole pia.
My dear huko duniani wapo wapole na waelewa wengi tu, utaweza kuwakusanya wote?
Kila mahusiano yana changamoto zake na suluhisho ni kuyatafutia ufumbuzi na kusonga mbele. Kwa hapa unajichanganya tu na matokeo hayawezi kuwa mazuri kamwe.
 
Tunasubiri uzi wa wanaume wote ni mbwa baada ya miezi 2.pia jichunge risk ya kupata Magonjwa ni kubwa hapo.unasema wanakupenda kwa kipimo kipi?ili hali nyie ni viumbe dhaifu na wengi wenu akili hamnazo ila tacle tu
 
I bet hao wanaume wako wana wapenzi wao wengine vinginevyo usingeweza kuwadanganya muda wote.
 
Its normal gal.
Wapnga tu muhimu wasikutane na kila mmoja ajihisi special
 
Kwa hiyo kimahesabu kwa mwezi unasukumiwa vitu vizito kama mara 16 hivi, bao 48 kwa mwezi na kwa mwaka bao 576. Bao hizi ni sawa na lita moja na robo ya kimiminika kizito, pia upana wa uke unatanuka kwa kasi ya mita 3 kutoka mashariki ya ovary, *****
 
Ndio ukweli huo [emoji16][emoji16][emoji16]

MAPENZI ya tz hayajawahi kuwa salama
Bibie anadhihirisha uTz wake, alidai yuko Canada. Asili haimwachi mtu.
 
Kwa hiyo kimahesabu kwa mwezi unasukumiwa vitu vizito kama mara 16 hivi, bao 48 kwa mwezi na kwa mwaka bao 576. Bao hizi ni sawa na lita moja na robo ya kimiminika kizito, pia upana wa uke unatanuka kwa kasi ya mita 3 kutoka mashariki ya ovary, *****
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji115]
 
Afadhali umesema ukweli!! watu humu wana wanaume 40 mpaka elfu moja! wanapangiwa tu! huyu hivi yule hivi!! Vidume ndo kabisaaa usiseme wana wanawake km elfu kumi net! wanafika km me hujafikisha hiyo idadi jitoe kwenye kundi la wanaume!

wewe inaonyesha bado mdogo ndo unaanza!! watakuja watu ...

1.wanatembelea magoti kisa hako kadude!! vumilia

2 watakuja viongozi wa Dini kisa ...

3,Watakuja wenhye ndinga kali....

4. Watakuja wenye Hela zao kisa hako kdude!

5. watakuja wenye kukujengea maghorofa ajili ya maku tu

Kwa hiyo asikudanganye mtu itunze sana, mpak iwe km inaumuka hivi, kamulia ndimu sana, utamu wa nchi huo! usithubutu kutoa hovyo km ukitaka maisha mazuri walingishie mpaka wakome na minyege yao!! iwajae mpaka kizunguzungu waone, waumwe vichwa!

Mara ghorofa hilooooo! mara unarushwa Ulayaaa! cha msingi usipende kila mtu achungulie huko ni utamu wa ajabu sana huo!! mngejua tunavyo jisikia!!!! tunavyo penya pale kati, mngelinga sana! na kuongoza Dunia.

Mtu analia bila kupigwa mnadhani masihara wanaliaga kiukweli kweli

Hkn utamu km huo Duniani! nani anamjua Mengi humu??? wote nyie bado watoto ham mjui huyu mtu!!!
 
Back
Top Bottom