Kwa mara ya kwanza nimekuwa na mahusiano na wanaume wawili

Kwa mara ya kwanza nimekuwa na mahusiano na wanaume wawili

Sikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.

Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.

Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.

Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
Endelea nao wote kwa siri,mbona hayo ni kawaida na kila demu anafanya
 
Sikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.

Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.

Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.

Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
🤦🏽‍♂️🚶🏽‍♂️🚶🏽‍♂️
 
Ndo tatizo mwanamke akianza kucheat, hapo mtoa mda ashazama kwa jamaa wa pili na ni lazma tu iwe ivo ndo penzi jipya linavokua motomoto ivo. Jamaa wa kwanza kampenda binti lakini binti analeta tamaa zake anazama kwa njemba nyingine ati kapoteza mapenzi kwa jamaa wa kwanza. Haya yetu macho tu si ajabu jamaa wa pili ni janja tu ndo kwaaanza miezi 3 sijui ashamuamini na kuwaza ata kumkacha jamaa wa kwanza.

Chukua tahadhari Ukimwi upo.

Huyo wa pili inaonekanwa anamzibua kisawasawa mara nyingi ndivo inavyokua
 
Siyo fair kabisa! Wengine hatuna hata huyo mmoja yeye wawili kweli why?, nasema hivi aachie mmoja , wanaume wenyewe mlivo wachache hivo😀😀

Penye fungu ndipo penye nyoongeza. Hata wewe ukishaanza kupata mmoja na wengine watakuja tu
 
Sikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.

Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.

Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.

Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
Mkiwa mnadinyana vaa barakoa
 
naomba na mimi niwe wa 3 hapo,ukipoteza hao 2 ntabaki mimi naowajua wawil
 
Sikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.

Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.

Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.

Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
MaIays
 
Sikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.

Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.

Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.

Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
Umeishafuzu mafunzo ya wizi na ujasusi. Kama umeweza wapanga watu wawili na hawajashtuka
 
3c6b673327a574cf159411c7ddf3f126.jpg
 
wansemaga wanaume tuko wachache duniani alafu bado umechukua wanaume wawili

kesi ya uhujumu uchumi.
 
Back
Top Bottom