Mohamedy cadinaly
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,449
- 2,245
Kwahyo umekuja kutuambia ww n malaya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea nao wote kwa siri,mbona hayo ni kawaida na kila demu anafanyaSikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.
Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.
Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.
Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
Duh wewe utafanya tuendelee kuwekewa gunia zaidi ya 2 za mkaa. Kwanini usichague the most lovely one? Inamaana unawapenda sawa sawa? Acha ubinafsi bana achia mmoja wengine tumpate huko mtaani😉
🤦🏽♂️🚶🏽♂️🚶🏽♂️Sikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.
Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.
Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.
Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
Siyo fair kabisa! Wengine hatuna hata huyo mmoja yeye wawili kweli why?, nasema hivi aachie mmoja , wanaume wenyewe mlivo wachache hivo😀😀Muache mwenzio ale mema ya nchi
Ndo tatizo mwanamke akianza kucheat, hapo mtoa mda ashazama kwa jamaa wa pili na ni lazma tu iwe ivo ndo penzi jipya linavokua motomoto ivo. Jamaa wa kwanza kampenda binti lakini binti analeta tamaa zake anazama kwa njemba nyingine ati kapoteza mapenzi kwa jamaa wa kwanza. Haya yetu macho tu si ajabu jamaa wa pili ni janja tu ndo kwaaanza miezi 3 sijui ashamuamini na kuwaza ata kumkacha jamaa wa kwanza.
Chukua tahadhari Ukimwi upo.
Siyo fair kabisa! Wengine hatuna hata huyo mmoja yeye wawili kweli why?, nasema hivi aachie mmoja , wanaume wenyewe mlivo wachache hivo😀😀
Mkiwa mnadinyana vaa barakoaSikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.
Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.
Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.
Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
MaIaysSikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.
Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.
Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.
Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
Umeishafuzu mafunzo ya wizi na ujasusi. Kama umeweza wapanga watu wawili na hawajashtukaSikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.
Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.
Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.
Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
tulipotoka ni pagumu kuliko tunapoelekea,itafika wakati mwanaume atahitaji mke ambaye hana zaidi ya mtoto mmoja[emoji848]Hapa tutamkumbuka joka jeusi kuhusu wanawake bikra
Ukute huyo mmoja ndo alipaswa kuwa wangu🤣🤣💔wansemaga wanaume tuko wachache duniani alafu bado umechukua wanaume wawili
kesi ya uhujumu uchumi.