Asante kwa soda😀😀😀Hahahahahhaahha hahhahha aiseeee ,ingewezekana ningekurushia ka-Mpesa unywe soda.
Mwanzo nilisoma ckuielewa comments yako,nmerudia nkaelewa hahahaha duh. Aiyah bhn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa soda😀😀😀Hahahahahhaahha hahhahha aiseeee ,ingewezekana ningekurushia ka-Mpesa unywe soda.
Mwanzo nilisoma ckuielewa comments yako,nmerudia nkaelewa hahahaha duh. Aiyah bhn
Mm zote zinanikosha Kama mleta madaHivi kumbe mnaview avatar kimya kimya eee...safi.
Kufa hamfi ila chamotro mtakiona[emoji3][emoji3][emoji3]
Asante mkuu ubarikiwe.
So hii na ile iliyoipita ipi inakukosha sasa
Makubwa haya jamaniIla imani yangu,kwako ni kuwa wewe wa PEKE ANGU.
nirudishie "I love you too " yangu
😅😅😅Nimecheka.!!
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dada yangu inaanzaga hivyo hivyo halafu baada ya muda utaanza kuona TZ kuna tatizo la vibamia.
Sikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.
Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.
Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.
Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
[emoji16][emoji16]Haha wote hao sasa mashavu si yatalala?
Mara 1 kwa mwezi !!!! Mko na Long distance relationship au !?? Hata Mimi jisiyependa ngono siwezi kukaa kipindi chote hicho Bila kusex Kama Nina Mpenzi na mpenzi Huyo Yupo karibuMwaya wala ata niliye naye tu ananishinda anakula mzigo mara moja kwa mwezi inakuwaje 7[emoji849][emoji849][emoji849]
Nakaa mpka miezi 3 sijasex kbsaa...kuna muda nashikwa sana mpk natamani kumuita mpita njia lkn usalit sijauzoeaMara 1 kwa mwezi !!!! Mko na Long distance relationship au !?? Hata Mimi jisiyependa ngono siwezi kukaa kipindi chote hicho Bila kusex Kama Nina Mpenzi na mpenzi Huyo Yupo karibu
Aisee [emoji39][emoji39][emoji7][emoji7] nitakutafuta namba yako ninayoNakaa mpka miezi 3 sijasex kbsaa...kuna muda nashikwa sana mpk natamani kumuita mpita njia lkn usalit sijauzoea