Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ratiba yao ya kula mzigo ikoje?Sidhani kama naeza kuwapoteza wote kama kupoteza labda mmoja
Mrembo lips lako linanipaga mchecheto,ila sasa umetuweka GUU LA BIA. Utatuuuua Lool....Nimejitahidi mno kumiliki mwanaume zaidi ya mmoja ila nimeshindwa.hivi ni chuo gani wanatoa hii course aise
Chain haiepukiki......anadhani anapendwa kumbe anachezewa,siku atalia na kusaga menoUnaweza ukakuta nao kila mmoja ana zaidi ya wewe[emoji23]
Atarudia kitabu cha mangasimi na mfalme LAH LAH LAH....Siku wakiikataa mimba ndo utajua kuwa duniani kuna stress
Kwamba atawachongea na kuwabania..hahahaha JF never boringDuh wewe utafanya tuendelee kuwekewa gunia zaidi ya 2 za mkaa. Kwanini usichague the most lovely one? Inamaana unawapenda sawa sawa? Acha ubinafsi bana achia mmoja wengine tumpate huko mtaani[emoji6]
Mwambie huyo😎😎Duh wewe utafanya tuendelee kuwekewa gunia zaidi ya 2 za mkaa. Kwanini usichague the most lovely one? Inamaana unawapenda sawa sawa? Acha ubinafsi bana achia mmoja wengine tumpate huko mtaani😉
Kimaslah zaid au co? Ila kasema anawapenda wote maana yake ana moyo mbili ndan ya mwili mmoja!Angalia mahitaji yako kama umewagawanya kwenye majumu tofauti angalia hitaji kubwa ni lipi na yupi ana mudu jukumu lake vizuri
Hivi kumbe mnaview avatar kimya kimya eee...safi.Mrembo lips lako linanipaga mchecheto,ila sasa umetuweka GUU LA BIA. Utatuuuua Lool....
By the way hongera kwa avatar nzuri
Endelea kuwa nao wote, sambaza upendo, Hata gari linaweza kuwa na matairi 4,6,10 lakini na tairi la akiba linakuwepo.Sikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.
Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.
Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.
Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
Hivi ukimwi upo sikuhizi?..Sikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.
Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.
Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.
Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
Huwez amin,siwez soma comment,nkasepa bila kurudia kuchek avatar yako.Hivi kumbe mnaview avatar kimya kimya eee...safi.
Kufa hamfi ila chamotro mtakiona[emoji3][emoji3][emoji3]
Asante mkuu ubarikiwe.
So hii na ile iliyoipita ipi inakukosha sasa
Ayaaaa...wacha bhanaaa...umenisapraizi ujue 😘😘😘😘😘😘😘..ivi ni tatu na ipi tena jamani si mbili tu ndizo nimewahi kuwekaHuwez amin,siwez soma comment,nkasepa bila kurudia kuchek avatar yako.
NB: nilitamanig umitumie DM zote tatu maana nmedownload ninazo ila naziona quality imenpungua ya pic.
Avatar zako ziko hivi....
1.Good, 2.BETTER 3.BEST....
Iliyopita,tamu sanaAyaaaa...wacha bhanaaa...umenisapraizi ujue [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]..ivi ni tatu na ipi tena jamani si mbili tu ndizo nimewahi kuweka
Asante sana mkuu kwa compliment[emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Which one is the best mkuu..nikutumie sasa hivi.ukichelewa kujibu offer inakuwa expired haraka sana
Unaweza kuta wewe ni side chick kwa woteSikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.
Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.
Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.
Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
Ndio siku atajijua kuwa alikuwa hajui kitu.Chain haiepukiki......anadhani anapendwa kumbe anachezewa,siku atalia na kusaga meno
Afu hiyo mimba inayokuja utasema ni ya yupi?Sikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.
Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.
Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.
Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?