Kwa mara ya kwanza nimekuwa na mahusiano na wanaume wawili

Kwa mara ya kwanza nimekuwa na mahusiano na wanaume wawili

Wawili tu unatamba hivi, kumbe wanawake wanaojitunza bado mpo!!
 
Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.

Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.

Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
Endelea kutengeneza Bomu ,na wao pia labda wana kucheat sasa mtajuta wote baadae huku magonjwa ya Ngono yakiwaburuza
 
Umefanyaje fanyaje mpka umeweza?
Niwe mkweli tu nilishashindwaga kabisa.labda itokee bila kujitambua nijikute kwenye hayo mahusiano mawili.lakini eti nipange sasa nakuwa na mwanaume zaidi ya mmoja,hapana aiseh

Unataka kuniaminisha kuwa nikikupa ndoa nitafaidi 'munyewe'![emoji39]
 
Sikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.

Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.

Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.

Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
Unawapendea Pesa, ngoja waendelee kukuchangia uendeshe maisha.
 
Sikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.

Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.

Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.

Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
Wazungu walituletea ukristo ili watuumize wanaume tu.

Afu wao ndo wanongoza kwa divorcing.
Mungu anawaona.
 
Ukiwa na mahusiano na mtu mmoja ni rahisi kujua anakucheati au la ? , Hawajagundua tu kwani nao wana mahusiano mengine kando nawe
 
Unacho fanya hakina tofauti na huyo jamaa hapo kwa avatar
 
Wewe ni shujaa namba moja TZ kwa kujitangaza Rasmi UNADANGA waziwazi.
 
Back
Top Bottom