Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana lakin sidhani. Huyu wa kwanza sio mtu wa kujichanganya na watu muda wake wa ziada kama hayuko na mimi basi yuko home au kwa wazazi wake. Angekua na mwingine ningejua.
Endelea kutengeneza Bomu ,na wao pia labda wana kucheat sasa mtajuta wote baadae huku magonjwa ya Ngono yakiwaburuzaSio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.
Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.
Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
Umefanyaje fanyaje mpka umeweza?
Niwe mkweli tu nilishashindwaga kabisa.labda itokee bila kujitambua nijikute kwenye hayo mahusiano mawili.lakini eti nipange sasa nakuwa na mwanaume zaidi ya mmoja,hapana aiseh
Na mimi sitaki kukuaminisha mkuuUnataka kuniaminisha kuwa nikikupa ndoa nitafaidi 'munyewe'![emoji39]
Na mimi sitaki kukuaminisha mkuu
Unaweza ukakuta nao kila mmoja ana zaidi ya wewe[emoji23]
Unawapendea Pesa, ngoja waendelee kukuchangia uendeshe maisha.Sikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.
Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.
Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.
Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
Madogo tuwachie watoto aiseeeMakubwa haya jamani
Thanks you,till death do us apart.View attachment 1700475
Haya hiyo hapo itunze
Itakuwa bila kumwagiliwa mkuuNishaamini tayari, na nimefika bei... saitakuwaje![emoji2957]
Wazungu walituletea ukristo ili watuumize wanaume tu.Sikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.
Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.
Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.
Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
Daah mtakaua haka kabinti mnakanyandua tuu, na hakana uchoyo[emoji3]Aaaah samahani
Kuangalia comment kuchek avatar si nkajua bby wangu @financial services
Haaahaaaaa umejua kunichekeshaShukrani ziende kwa Laisi wetu[emoji2][emoji2] umeingia mahusiano ya kati sasa