Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sometimes ni kuchokana tu keshamchoka wa kwanza ko kamtaftia mapungufu yake na uyo pili kamuongezea sifa ata sizizokuepo ili tu airidhishe nafsi yakeHuyo wa pili inaonekanwa anamzibua kisawasawa mara nyingi ndivo inavyokua
My dear huko duniani wapo wapole na waelewa wengi tu, utaweza kuwakusanya wote?Ni muelewa na mtu mzuri tu kuna matatizo madogo madogo kati yetu lkn mara nyingi tuna solve na kuendelea. Mimi mwnywe sijui kwann nilikubali kua na mahusiano na huyu kaka wapili lakini nampenda pia na yeye ni muelewa na mpole pia.
HahaaaShukrani ziende kwa Laisi wetu[emoji2][emoji2] umeingia mahusiano ya kati sasa
See meMbona tunajuana kama tuna kukula.
Joanah, hata wewe unaonekana una strees muda wote sijui ni kipi kilikusibu kisicho sahaulika!?
🤣🤣🤣
Ndio ujijue kuwa wewe si mwaminifu!Nilikuwa nasemaga siwezi kuwa na mahusiano na wanaume wawili kwa wakati mmoja pia. Lakin sasa hivi nko nao mpk mwenyewe najishangaa [emoji1751]
Bibie anadhihirisha uTz wake, alidai yuko Canada. Asili haimwachi mtu.Ndio ukweli huo [emoji16][emoji16][emoji16]
MAPENZI ya tz hayajawahi kuwa salama
HalafuSio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote
Unatuzuga wewe, OK mmoja mkodishie mbele na mwingine banda la uwaniNifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji115]Kwa hiyo kimahesabu kwa mwezi unasukumiwa vitu vizito kama mara 16 hivi, bao 48 kwa mwezi na kwa mwaka bao 576. Bao hizi ni sawa na lita moja na robo ya kimiminika kizito, pia upana wa uke unatanuka kwa kasi ya mita 3 kutoka mashariki ya ovary, *****
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wengine Wana wanaume saba na ni kawaida, wewe Bado underground kwenye hii sector nini?