Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,856
- 2,417
- Thread starter
-
- #21
Israel ni miongoni mwa mataifa yanaongoza kwa uvumbuzi wa teknologia , technology inahitaji akili sio hisiaIsrael ni taifa ambalo linaongozwa na watu wenye hisia sana, hisia zikitawala akili ni tatizo.
Israel ilishambulia lini Anga Iran ???Israel wakati mwengine ni kama machizi!
Yakishambulia wenzake yanashangilia!
Yakilipiziwa kisasi yanalalamika kuona yanaonewa!
Kwa hiyo ndo maana katibu ameshindwa kulaani uvamizi wa wazi wa IranHawa jamaa wanajipa umuhimu ambao hawana, sijui wanahisi tuko kipindi cha Musa au Daudi wa kwenye biblia?? Yaani wameua wafanyakazi kibao wa UN..tena kwa makusudi, wameua waandishi wa habari kwa makusudi, wameua watoto, wanawake - wao wanalipua tu - wanajiona wana haki ya kuua watakavyo kisa usalama wao, hawajaki maumivu wanayosababisha kwa raia wengi wasio na hatia. Na huwa hawasemi hata pole - wao ni ubishi na kunyamaza kimya..then leo wanataka et akemee....Safi Gutteres hakuna watakachofanya...
Kuna watu wanakufa kila siku Sudan tu hapo, Congo na maeneo mengi tu..mbona hatujaskia watu wakimlalamikia??
Hawa wayahudi wamezoea kubebwa kwa mbeleko...wapigane vita waache kutaka kutafuta sympathy baada ya kufanya mauaji makubwa ya watoto wasio na hatia
Lini Israel iliwahi kushambuliwa Anga la IranNi nani ana haki ya kijitetea kati ya Iran na Israel ?
Haina umuhimu kwetu alaani uvamizi wa wazi wa Iran juu ya IsraelKatibu mkuu wa UN ni dini gani wakuu?
Ndo umeandika nini mkuuWe unapiga mikelele kuwa upigiki na uhogopi yyte muirani akutata watu wasaau alichosema alaka alaka wakaanza nae kwanza kufika tu Israel kakoswakoswa na wahuni w Yemen ajakaa sawa anapewa taharifa wahuni wa IRAN wanataka kuzaa naww akaona apana amfafute Putin mzee naye kamchunia akaona apa apalaliki mbio India mala tena katupa Taylor kwa katibu w UN alitaka afanye nn.
Kama wafuasi wa mwamposaIsrael ni taifa ambalo linaongozwa na watu wenye hisia sana, hisia zikitawala akili ni tatizo.
Pole Sana Kwa kukosa hoja, Ila usingecoment tusingejua kiwango Cha ujinga wako
Kwa hiyo Katibu amebariki uvamizi wa Iran kwa Israel sioUyo Netanyahu juzi kufika pale UN akaanza kubwatuka kwa asila baada wajumbe wengi wa balaza kutoka awakutaka kumsikiliza mtu anatembeya na dam za wamama watoto wafanyakazi wa UN madoctor afu watu wakae wamsikilize maazimio yote yeye ayafati q
Kufika pale ni vile ipo USA yule ni muharifu kwake mahakamani sio pale na tena kafika anaanza kutoa mikwara aogopi mtu yyte anaweza piga popote akuna mwanaume zaid yao sasa
IRAN akaona ww utishwi ww upigiki ww uhogopi mtu aya anza na ayo mauwa ongea nayo kwanza Leo alitaka katibu alaani wkt ww mwenyewe alisema wao awapigiki Leo unataka mm nilaaan vip ww si upigiki nalaani nn tena.
Sasa wameamua kurusha taulo kwa katibu w UN akili ndogo awajamaa wanapambwa tu 😆😆😆😆
Leta list ya mataifa yanayo ongoza kwa teknolojia dunianiIsrael ni miongoni mwa mataifa yanaongoza kwa uvumbuzi wa teknologia , technology inahitaji akili sio hisia
Waotumia hisia na mihemko ni wale wanautumia tech ya adui yake kumpakia kiongozi mkubwa Kama Rais wa nchi
Wanautumia tech ya adui zao kuwasiliana hao ndo wenye hisia na mihemko Kama ya teenagers
Katibu ana mamlaka gani ya kubariki au kukataza nchi moja isivamie nyingine bana..UN sio executive branch ya dunia, kile ni kama kikundi cha kikoba cha Dunia tu..mataifa yote yana mamlaka rasmi. Wakati NATO wanaingia Libya,Iraq,Serbia,Afghanistan waliomba ruhusa kwa katibu wa UN??Kwa hiyo Katibu amebariki uvamizi wa Iran kwa Israel sio
Hata Hamas alipovamia Israel mwanzoni aligoma kulaani kabisa Hadi aliposhinikizwa sana ndio akalaani Tena kwa kauli fupi sana.Huyu katibu ameonyesha unafiki mkubwa sana
Huyu Mosad wadili nae tu.Shida ilianzia October 7, mashambulizi yalitokea lakini alishindwa kulaani mpaka Israel alipolazimika.
Sasa juzi Iran amepiga Israel lakini hajalaani, maana yake ni halali kuu wayahudi, matukio yote mabaya ya Israel Gaza, Lebanon, Iran alilaani, ila linapokuja suala la Israel anakaa kimya
Hukuona viongoz wa Iran wameuwawa na IsraelLini Israel iliwahi kushambuliwa Anga la Iran
Unaweza kuweka ushahidi wa Israel kushambulia NDANI ya Iran na kuua viongozi wao ??Hukuona viongoz wa Iran wameuwawa na Israel
Kwa hiyo hata Israel ikiiamua kuvamia Iran , ,katibu atulie sio ?Katibu ana mamlaka gani ya kubariki au kukataza nchi moja isivamie nyingine bana..UN sio executive branch ya dunia, kile ni kama kikundi cha kikoba cha Dunia tu..mataifa yote yana mamlaka rasmi. Wakati NATO wanaingia Libya,Iraq,Serbia,Afghanistan waliomba ruhusa kwa katibu wa UN??
Urusi kumchapa Ukraine ilipewa ruhusa na katibu wa UN...
Umesahau kuwa Lebanonon na Hezbullah ni ndugu wa Iran.Unaweza kuweka ushahidi wa Israel kushambulia NDANI ya Iran na kuua viongozi wao ??