Kwa mara ya kwanza taifa mwanachama UN kumpiga Maarufuku Katibu wa UN , Alipaswa akemea uvamizi wa Iran kwa Israel, Hongera Israel no unafiki

Kwa mara ya kwanza taifa mwanachama UN kumpiga Maarufuku Katibu wa UN , Alipaswa akemea uvamizi wa Iran kwa Israel, Hongera Israel no unafiki

Israel ni taifa ambalo linaongozwa na watu wenye hisia sana, hisia zikitawala akili ni tatizo.
Israel ni miongoni mwa mataifa yanaongoza kwa uvumbuzi wa teknologia , technology inahitaji akili sio hisia
Waotumia hisia na mihemko ni wale wanautumia tech ya adui yake kumpakia kiongozi mkubwa Kama Rais wa nchi

Wanautumia tech ya adui zao kuwasiliana hao ndo wenye hisia na mihemko Kama ya teenagers
 
Hawa jamaa wanajipa umuhimu ambao hawana, sijui wanahisi tuko kipindi cha Musa au Daudi wa kwenye biblia?? Yaani wameua wafanyakazi kibao wa UN..tena kwa makusudi, wameua waandishi wa habari kwa makusudi, wameua watoto, wanawake - wao wanalipua tu - wanajiona wana haki ya kuua watakavyo kisa usalama wao, hawajaki maumivu wanayosababisha kwa raia wengi wasio na hatia. Na huwa hawasemi hata pole - wao ni ubishi na kunyamaza kimya..then leo wanataka et akemee....Safi Gutteres hakuna watakachofanya...
Kuna watu wanakufa kila siku Sudan tu hapo, Congo na maeneo mengi tu..mbona hatujaskia watu wakimlalamikia??
Hawa wayahudi wamezoea kubebwa kwa mbeleko...wapigane vita waache kutaka kutafuta sympathy baada ya kufanya mauaji makubwa ya watoto wasio na hatia
Kwa hiyo ndo maana katibu ameshindwa kulaani uvamizi wa wazi wa Iran
 
We unapiga mikelele kuwa upigiki na uhogopi yyte muirani akutata watu wasaau alichosema alaka alaka wakaanza nae kwanza kufika tu Israel kakoswakoswa na wahuni w Yemen ajakaa sawa anapewa taharifa wahuni wa IRAN wanataka kuzaa naww akaona apana amfafute Putin mzee naye kamchunia akaona apa apalaliki mbio India mala tena katupa Taylor kwa katibu w UN alitaka afanye nn.
Ndo umeandika nini mkuu

Kwanini katibu ameshindwa kukemea uvamizi wa wazi wa Iran kwa Israel
 
Unafiki ndio unao isumbua dunia.
Unafiki umetawala.
Dunia haina haki, mwenye nguvu ndio mwenye haki.
Vita vya Israeli vitatufunza mengi tusio kuwa tunayajua.
 
Uyo Netanyahu juzi kufika pale UN akaanza kubwatuka kwa asila baada wajumbe wengi wa balaza kutoka awakutaka kumsikiliza mtu anatembeya na dam za wamama watoto wafanyakazi wa UN madoctor afu watu wakae wamsikilize maazimio yote yeye ayafati q

Kufika pale ni vile ipo USA yule ni muharifu kwake mahakamani sio pale na tena kafika anaanza kutoa mikwara aogopi mtu yyte anaweza piga popote akuna mwanaume zaid yao sasa

IRAN akaona ww utishwi ww upigiki ww uhogopi mtu aya anza na ayo mauwa ongea nayo kwanza Leo alitaka katibu alaani wkt ww mwenyewe alisema wao awapigiki Leo unataka mm nilaaan vip ww si upigiki nalaani nn tena.

Sasa wameamua kurusha taulo kwa katibu w UN akili ndogo awajamaa wanapambwa tu 😆😆😆😆
Kwa hiyo Katibu amebariki uvamizi wa Iran kwa Israel sio
 
Israel ni miongoni mwa mataifa yanaongoza kwa uvumbuzi wa teknologia , technology inahitaji akili sio hisia
Waotumia hisia na mihemko ni wale wanautumia tech ya adui yake kumpakia kiongozi mkubwa Kama Rais wa nchi

Wanautumia tech ya adui zao kuwasiliana hao ndo wenye hisia na mihemko Kama ya teenagers
Leta list ya mataifa yanayo ongoza kwa teknolojia duniani
 
Kwa hiyo Katibu amebariki uvamizi wa Iran kwa Israel sio
Katibu ana mamlaka gani ya kubariki au kukataza nchi moja isivamie nyingine bana..UN sio executive branch ya dunia, kile ni kama kikundi cha kikoba cha Dunia tu..mataifa yote yana mamlaka rasmi. Wakati NATO wanaingia Libya,Iraq,Serbia,Afghanistan waliomba ruhusa kwa katibu wa UN??
Urusi kumchapa Ukraine ilipewa ruhusa na katibu wa UN...
 
Shida ilianzia October 7, mashambulizi yalitokea lakini alishindwa kulaani mpaka Israel alipolazimika.

Sasa juzi Iran amepiga Israel lakini hajalaani, maana yake ni halali kuu wayahudi, matukio yote mabaya ya Israel Gaza, Lebanon, Iran alilaani, ila linapokuja suala la Israel anakaa kimya
Huyu Mosad wadili nae tu.
 
Katibu ana mamlaka gani ya kubariki au kukataza nchi moja isivamie nyingine bana..UN sio executive branch ya dunia, kile ni kama kikundi cha kikoba cha Dunia tu..mataifa yote yana mamlaka rasmi. Wakati NATO wanaingia Libya,Iraq,Serbia,Afghanistan waliomba ruhusa kwa katibu wa UN??
Urusi kumchapa Ukraine ilipewa ruhusa na katibu wa UN...
Kwa hiyo hata Israel ikiiamua kuvamia Iran , ,katibu atulie sio ?
 
Unaweza kuweka ushahidi wa Israel kushambulia NDANI ya Iran na kuua viongozi wao ??
Umesahau kuwa Lebanonon na Hezbullah ni ndugu wa Iran.
Umesahau kuwa kwa sasa Israel kaingiza vita Lebanon baada ya kuuwa wapalestina 40,000.
 
Israel anaanzisha fujo anajua kabisa wakupigana ni US, kila kitu anapata bure kwanini asiwe mtoto mtukutu.
 
Back
Top Bottom