Kwa mara ya kwanza Tsh Milioni 350 imeingia kwenye account

Kwa mara ya kwanza Tsh Milioni 350 imeingia kwenye account

Hahahahaha mkuu umekuja kuchokoza walio lala utatukanwa balaa Kama Mr god love wakule mjini naniii kule
 
wengi hapa watamtolea maneno makali yenye wivu mkali sana!

Hapana werevu tunamuelimisha mambo ya pesa ni magumu sana, dola 150k isimfanye akatukana wazazi wa watu wengine nachofahamu kuna wapambanaji wakubwa sana na walipambana kwa muda mrefu lakini hawakufanikiwa, na kuna watu walikufa wakiwa wanapambana kutimiza ndoto zao kihalali kabisa, hivo RESPECT hua ni muhimu kamwe hatutomtukana tutamweleza kua wapo watu wanacho zaidi yake na wala hawatukani wengine,
 
Nilidhani utaonesha hizo mil 350 ama useme ulipozipata,, kumbe umekuja kutukana wazazi wetu????

We kweli hamnazo.... shukuru Mungu umezaliwa ulipozaliwa ila usitukane wazazi wa wenzako, maana hakuna aliyechagua pa kuzaliwa.
Milioni 350 ya urithi inakupa jeuri ya kutukana watu hata huwajui na matusi yako based na hisia kuwa Baba zao walikimbia umande na waliendekeza ngono?..
Wewe bado sio tajiri..na hiyo mentality itaku cost very soon
Miaka mitano? Kwa mwendo huu mwakani tu tarehe kama ya Leo muulize amebakiwa na kiasi Gani.
kipato huleta majivuno.
Kuna mzee aliuza nyumba yake kwa billion kadhaa prime area. Akawagaia watoto wake kama 500m kila mmoja. Hivi ninavyoandika Kuna mmoja hata hela ya vocha anaomba na mzee kashafariki.
Kuna makini na hela ya urithi.
Kwa hizo akili ulizonazo hiyo mil 350 haitofika popote
Mwanaume anayeendesha gari ya baba yake , hapaswi hata kusimama kutoa maoni kwenye baraza la wanaume wanaomiliki baiskeli zao wenyewe !! M*nina zako mleta mada
Nimeweka angalizo mpambanie kombe wajukuu/watoto wenu wasije kuteseka Kama mnavyoteseka nyinyi
 
Pesa ya urithi ni pesa ya aibu, hata ukanunulia gari utaishia kudhalilikantu, maana kila utakapojaribu kuoshea utasikia, pesa ya urithi...,
Acha wivu wako! Binafsi sina nililoachiwa lakini yote ni heri tupu, >>>hata kwenye biblia imeandikwa Baba mwenye hekima huacha urithi kwa wanawe, <<<<<<ambao hatukuachiwa kitu tu struggle tupate vya kuwaachia wenetu.
 
Acha wivu wako! Binafsi sina nililoachiwa lakini yote ni heri tupu, hata kwenye biblia imeandikwa Baba mwenye hekima huacha urithi kwa wanawe, ambao hatukuachiwa kitu tu struggle tupate vya kuwaachia wenetu.
Sawa, ila roho za urithi husababisha watu kuua wazazi wao, hata huyo usikute kamuua mzazi wake 😂😂, pesa ya urithi ni pesa ya aibu.
 
Sawa, ila roho za urithi husababisha watu kuua wazazi wao, hata huyo usikute kamuua mzazi wake 😂😂, pesa ya urithi ni pesa ya aibu.
Kwa kuwa baba zetu hawakutuachia chochote tukae kimya hakuna pesa ya aibu duniani mara nyingi wenye wivu mkali huwaonea kijicho.
 
Nijuavyo Mimi, mtu mwenye pesa Huwa hajitangazi kuwa anapesa Bali pesa yake ndo humtangaza, so nadhani huyu jamaa ni Kwa kuwa hii ni pesa ya urithi.
 
Milioni 350 unaziona ni nyingi sana hadi unaona fahari kutoa lugha za maudhi kwa wengine? Kumbuka si kila aliye masikini leo wazee au babu zake walipuuza elimu na waliuza ardhi na kuendekeza ngono. Jifunze kutuliza ubongo wako kabla ya kufunua domo lako na kuanza kubwabwaja.
 
Back
Top Bottom