Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wengi hapa watamtolea maneno makali yenye wivu mkali sana!
Msweden unawaona wanga wako huku 👆👆👆Baada ya miaka 5 ukiwa na hata milioni 20...niite mbwa nmekaa 👉
Nilidhani utaonesha hizo mil 350 ama useme ulipozipata,, kumbe umekuja kutukana wazazi wetu????
We kweli hamnazo.... shukuru Mungu umezaliwa ulipozaliwa ila usitukane wazazi wa wenzako, maana hakuna aliyechagua pa kuzaliwa.
Milioni 350 ya urithi inakupa jeuri ya kutukana watu hata huwajui na matusi yako based na hisia kuwa Baba zao walikimbia umande na waliendekeza ngono?..
Wewe bado sio tajiri..na hiyo mentality itaku cost very soon
Miaka mitano? Kwa mwendo huu mwakani tu tarehe kama ya Leo muulize amebakiwa na kiasi Gani.
kipato huleta majivuno.
Kuna mzee aliuza nyumba yake kwa billion kadhaa prime area. Akawagaia watoto wake kama 500m kila mmoja. Hivi ninavyoandika Kuna mmoja hata hela ya vocha anaomba na mzee kashafariki.
Kuna makini na hela ya urithi.
Kwa hizo akili ulizonazo hiyo mil 350 haitofika popote
Nimeweka angalizo mpambanie kombe wajukuu/watoto wenu wasije kuteseka Kama mnavyoteseka nyinyiMwanaume anayeendesha gari ya baba yake , hapaswi hata kusimama kutoa maoni kwenye baraza la wanaume wanaomiliki baiskeli zao wenyewe !! M*nina zako mleta mada
Miaka mitano yote hiyo!!!??, hii Xmas ikiisha tu, hiyo 10 hanaBaada ya miaka 5 ukiwa na hata milioni 20...niite mbwa nmekaa 👉
Acha wivu wako! Binafsi sina nililoachiwa lakini yote ni heri tupu, >>>hata kwenye biblia imeandikwa Baba mwenye hekima huacha urithi kwa wanawe, <<<<<<ambao hatukuachiwa kitu tu struggle tupate vya kuwaachia wenetu.Pesa ya urithi ni pesa ya aibu, hata ukanunulia gari utaishia kudhalilikantu, maana kila utakapojaribu kuoshea utasikia, pesa ya urithi...,
Kuna watu wana muda watafukua thread zako.Nimeweka angalizo mpambanie kombe wajukuu/watoto wenu wasije kuteseka Kama mnavyoteseka nyinyi
Sawa, ila roho za urithi husababisha watu kuua wazazi wao, hata huyo usikute kamuua mzazi wake 😂😂, pesa ya urithi ni pesa ya aibu.Acha wivu wako! Binafsi sina nililoachiwa lakini yote ni heri tupu, hata kwenye biblia imeandikwa Baba mwenye hekima huacha urithi kwa wanawe, ambao hatukuachiwa kitu tu struggle tupate vya kuwaachia wenetu.
Kupambania kombe muhimu hatukatai! Tunakuzuia mashauzi mtoto wa kiume!! Mungu tu hajablessNimeweka angalizo mpambanie kombe wajukuu/watoto wenu wasije kuteseka Kama mnavyoteseka nyinyi
Kwa kuwa baba zetu hawakutuachia chochote tukae kimya hakuna pesa ya aibu duniani mara nyingi wenye wivu mkali huwaonea kijicho.Sawa, ila roho za urithi husababisha watu kuua wazazi wao, hata huyo usikute kamuua mzazi wake 😂😂, pesa ya urithi ni pesa ya aibu.
Tumpe ndugu yetu mwongozo ulio mwema yaani watu wanamchuria mabaya tu dah ngozi nyeusi banaMiaka mitano yote hiyo!!!??, hii Xmas ikiisha tu, hiyo 10 hana
Hizi ndizo sura halisi za watanzania walio wengi nadhani umejionea sasa kwa hali hii kunakutoboa kweli bila ndumba na ngae? 😁😁😁😁naona uzi umejaa makasiriko kweli